Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hili likikutokea ufanye nini?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Hili likikutokea ufanye nini?

      Huu ni mkasa wa kweli umemtokea ndugu yangu

      Nilikutana na binti mmoja ambaye alikuwa akiishi kwa shemeji yake (mume wa dada yake) ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu sana. Nikampenda sana binti huyu na tukawa na uhusiano wa karibu kwa muda mrefu. Baada ya kuona tabia njema ya binti huyu niliamua kuweka kitu ndani (kumuoa) na nikalipa mahari nyumbani kwao na tukaanza maisha. Baada ya mwaka mmoja mke wangu akajifungua salama mtoto wa kiume. Kuzaliwa mtoto huyu ilikuwa mwanzo wa machungu ya maisha kwangu kwani mtoto alikuwa mweupee wakati mimi na mke wangu ni weusi kama mpoki. Sikuwa na wasiwasi sana kwani nimesoma biology kidogo, nikajua ni rangi ya bibi mzaa babu hiyo. Kadiri mtoto alivyozidi kukua alianza kufanana kwa kila kitu na yule rafiki yangu ambaye ni shemeji ya mke wangu. Mke wangu alikuwa akinifariji kwa kauli za kizamani eti mtoto wetu anafanana na mtoto wa shemeji yake kwasababu wakati mjamzito alikuwa anapenda kukaa naye. Mwenzenu sina raha kabisa kwa sababu mtoto ameota meno na mwanya unaoshabihiana na wa huyu rafiki yangu na kwetu hatuna mwenye mwanya wala ndugu za mke wangu hakuna kitu mwanya. Naombeni ushauri nimechanganyikiwa!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Gamaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2008
      Posts : 825
      Rep Power : 718
      Likes Received
      179
      Likes Given
      168

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Mwambie kitanda hakizai haram shekhe, hata mimi wa kwangu katoka mweupe kama mzungu lakini nampenda kwa moyo wote lol
      Mnyampaa likes this.

    4. CAY
      #3
      CAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 462
      Rep Power : 514
      Likes Received
      84
      Likes Given
      26

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Huyo mtoto wa shemeji si anafanana na dada mtu jamani!Yakiota meno ya utu uzima huo mwanya utapotea!

    5. #4
      NAFIKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 393
      Likes Received
      19
      Likes Given
      25

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Kama ana uwezo akapime DNA!!

    6. #5
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Quote By Gamaha
      Mwambie kitanda hakizai haram shekhe, hata mimi wa kwangu katoka mweupe kama mzungu lakini nampenda kwa moyo wote lol
      Naona kama kutetea Azimio la Arusha vile lazima ujichizishe, vinginevyo kama ulivyoshauri

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Quote By CAY
      Huyo mtoto wa shemeji si anafanana na dada mtu jamani!Yakiota meno ya utu uzima huo mwanya utapotea!
      Mtu na shemejiye hawafanani Mkuu, yaani katoto kakicheka kana dimpoz kama za mshkaji hapana, ndugu yangu kaliwa

    9. #7
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Afadhali!
      Quote By NAFIKA
      Kama ana uwezo akapime DNA!!

    10. #8
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Duh! Na wewe mkuu au unanifariji? Unavumiliaje? Siku 365 uko naye kitandani usiku kucha halafu jamaa anakuzalishia....
      Quote By Gamaha
      Mwambie kitanda hakizai haram shekhe, hata mimi wa kwangu katoka mweupe kama mzungu lakini nampenda kwa moyo wote lol

    11. #9
      cedrickngowi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 118
      Rep Power : 373
      Likes Received
      17
      Likes Given
      23

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Oh man!ni kweli unataka ushauri juu ya hili?just divorce her.or have a DNA test though it may lead to your heart attack.Most important,LISTEN TO WHAT UR HEART TELLS U TO DO.

    12. #10
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      DNA ndo solution pekee..

    13. #11
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,075
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      1194

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Napita tu hapa wakuu
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    14. #12
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,277
      Rep Power : 605
      Likes Received
      329
      Likes Given
      58

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      akipima DNA majibu yakija mtoto si wake je? Ukiona manyoya ujue kashaliwa...Tupa kule mkuu

    15. #13
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,942
      Rep Power : 8261
      Likes Received
      2654
      Likes Given
      3631

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      eti mtoto wetu anafanana na mtoto wa shemeji yake kwasababu wakati mjamzito alikuwa anapenda kukaa naye.
      Hii imenichekesha sana...duh uamuzi wa mtu uko akilini mwake na si moyoni mwake
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    16. #14
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,009
      Rep Power : 8378
      Likes Received
      831
      Likes Given
      694

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Hii kitu ni nzito.Wakati mwingine inabidi mtu ukubali kudanganywa ili kujipunguzia stress.Hiyo imeishatokea, sikubaliani na wanaosema apime DNA, sababu hii inayo itaongeza matatizo.Mwambie jamaa huo ndo ukubwa.Ila huyo shemeji yake ni hatari sana maana amewachanganya mtu na dada yake yake.Yangu ni hayo tu

    17. #15
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,121
      Rep Power : 28889
      Likes Received
      11619
      Likes Given
      4783

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Hana lolote anakudanganya tu huyo. Ukweli ni kuwa huyo mkeo alikuwa anamchukia rafiki yako ndo maana akazaa wa kufanana nae. Kibaiolojia inakubalika kabisa!

    18. #16
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 475
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      huyo mtoto wako tu!as long as he was born under your roof it is your responsibility to care for the baby.hayo mambo ya DNA sijui waachie wenyewe.
      ukikuta si wako then what??utamuacha na kuoa mwingie??then what??una uhakika gani kwamba huyo mwingine hatafanya yale yale?? ulipenda boga..ua lake tunza!
      Please God-if you cant make me thin make my friends FAT!!

    19. #17
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 475
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      Quote By King'asti
      Hana lolote anakudanganya tu huyo. Ukweli ni kuwa huyo mkeo alikuwa anamchukia rafiki yako ndo maana akazaa wa kufanana nae. Kibaiolojia inakubalika kabisa!
      hahaahahah..now thats a fun fact!mmmh..haya bana
      Please God-if you cant make me thin make my friends FAT!!

    20. #18
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default Re: Hili likikutokea ufanye nini?

      DNA ndo solution bila hivyo utoishi kwa amani.

    21. #19
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 470
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By King'asti
      Hana lolote anakudanganya tu huyo. Ukweli ni kuwa huyo mkeo alikuwa anamchukia rafiki yako ndo maana akazaa wa kufanana nae. Kibaiolojia inakubalika kabisa!
      King'ast ar u serious? Yaani unataka kusema ukimchukia mtu ndo sawa na kuadopt genes zake. Hii si ile aloimba RIP mr ebbo. Natamani nikuone

    22. #20
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1009
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By felinda
      DNA ndo solution bila hivyo utoishi kwa amani.
      Kwani hao majibu ya DNA ni wajinga wakwambie mtoto siyo wako waongeze watoto wa mitaani ..........

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...