Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5063
      Likes Received
      3202
      Likes Given
      2661

      Default Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      Hi JF,
      Kuna baadhi ya Members ambao wamejiunga zamani kidogo,kuna tabia wanayo ya kuwakejeli ambao waliojiunga kipindi hichi cha karibuni,ukweli ni kwamba kuna baadhi tulikua tunafatilia JF enzi hizo sema hatujajiunga tulikua tunaingia kama user wa kawaida.

      Haya nyie wazawa ebu tuwekeeni basi kumbukumbu za enzi hizo basi???

      Haya Mie naanza na hizi tatu kwa muonekano wa JF 2008
      1.Komba atuhumiwa kwa ubadhirifu -Ilipostiwa 2008
      2.Manji ajitosa Ze Comedy - ilipostiwa 2008
      3.Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi -Ilipostiwa 2008
      Mamndenyi likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      Mi hata mwezi sijafikisha ila nimepokelewa vizuri na sijaoneshewa dharau. sahv nahisi burudani. Love you all.... Mwaaah!

    4. #22
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,225
      Rep Power : 5106
      Likes Received
      2785
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By Catherine
      Mi hata mwezi sijafikisha ila nimepokelewa vizuri na sijaoneshewa dharau. sahv nahisi burudani. Love you all.... Mwaaah!
      thanks your lordgod kwa miujiza aliyokuoneshea jeiefu...

    5. #23
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,025
      Rep Power : 7213
      Likes Received
      2786
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Catherine
      Mi hata mwezi sijafikisha ila nimepokelewa vizuri na sijaoneshewa dharau. sahv nahisi burudani. Love you all.... Mwaaah!
      Kumbee?
      Kuna aliyekwisha kualika walau kushare nae chakula ?
      Kama jibu ndiyo basi itoshe hapo.
      Kama jibu bado basi nikualike!

    6. #24
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default

      Quote By ndetichia
      thanks your lordgod kwa miujiza aliyokuoneshea jeiefu...
      ahsante ndetichia hata wewe ulinipokea vizuri

    7. #25
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default

      Quote By Judgement
      Kumbee?
      Kuna aliyekwisha kualika walau kushare nae chakula ?
      Kama jibu ndiyo basi itoshe hapo.
      Kama jibu bado basi nikualike!
      naomba mwaliko Judgement. Mi nilialika watu twende saba saba wakanichinjia baharini.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,025
      Rep Power : 7213
      Likes Received
      2786
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Catherine
      naomba mwaliko Judgement. Mi nilialika watu twende saba saba wakanichinjia baharini.
      Pole sana!
      Bora wangekuchinjia Mtoni , your Corpse will b easy to found it !
      Btw una sugest mualiko wa "cha mchana" au "cha usiku" ?

    10. #27
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      Sio umeperuzi ukaktana Na hizo habari.

    11. #28
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,542
      Rep Power : 6990
      Likes Received
      1166
      Likes Given
      580

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      mmh sio mzawa wala nn ila ipo siku ntakuwa mzawa nabii hakubaliki kwao issssh!!!

    12. #29
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1724
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Judgement
      Wadau huyu mvumilieni kidogo niliwaambia wahudumu wampe 3! Mie nikatoka , nimerudi naambiwa keshabugia 6!
      Na sasa ana ya7 mezani , namsubiria tu amalize hii nimrudishe nilipomtoa maana naona taa zake kubwa zishazimika anaonea parking lights tu.

      Povu mixer miudenda...

    13. #30
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1724
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Judgement
      Pole sana!
      Bora wangekuchinjia Mtoni , your Corpse will b easy to found it !
      Btw una sugest mualiko wa "cha mchana" au "cha usiku" ?

      hebu nendeni Facebook...
      Ntoleeni ushuzi wa kachumbari hapa

    14. #31
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,896
      Rep Power : 30221
      Likes Received
      4711
      Likes Given
      3477

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      Wengine BAN za akina PAW zitaendelea kutufanya kila siku tuonekane wageni!
      trachomatis and gambachovu like this.

    15. #32
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,340
      Rep Power : 3366
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      770

      Default

      Quote By Gang Chomba
      kwa niaba ya wakongwe napenda kuwaasa wachangiaji wageni kuwa watulivu na wasiwe wakurupukaji...
      mkumbuke tu hata Jando lilikuwa Govi.

      Naomba kuwakilisha
      Hahaha.... Chomba vipi usajili San siro ... Kaingia nani katoka nani

    16. #33
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,340
      Rep Power : 3366
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      770

      Default

      Tupo tuna wasoma...

    17. #34
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5005

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      mmmhhhhhh! morning chit chatters, morning wazawa! lol!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    18. #35
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,025
      Rep Power : 7213
      Likes Received
      2786
      Likes Given
      12

      Default

      Viazi at works ! Tatizo lako mwanagenzi
      Ubwabwa wa shingo ukikutoka! Na marinda yako yakizoea mirindimo utatulia, mbona we mlaini tu!
      Afu mbona unavijutusi vya kizamani ?
      Vilivyopitwa na muda? Leta mapya bhana!
      En'hee Kachumbari imefanyaje vile ?
      Muheshimiwa , Kiongozi ukasema ushuzi umefanyaje ?
      Hebu funguka Jf mzawa!
      Last edited by Judgement; 10th July 2012 at 10:53.
      trachomatis likes this.

    19. #36
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1724
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Viper
      Hahaha.... Chomba vipi usajili San siro ... Kaingia nani katoka nani
      Flavio roma, zambrota, nesta, gatusso, van bommel, seedorf, na pippo inzaghi wameondoka.

      Walioingia ni sungusungu wa kiyahudi ambao wakija kuungana na sungusungu wa sasa basi tutaua mtu nxt season
      trachomatis likes this.

    20. #37
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,340
      Rep Power : 3366
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      770

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      Quote By Gang Chomba
      Flavio roma, zambrota, nesta, gatusso, van bommel, seedorf, na pippo inzaghi wameondoka.

      Walioingia ni sungusungu wa kiyahudi ambao wakija kuungana na sungusungu wa sasa basi tutaua mtu nxt season
      vipi mnampango wa kwenda unbeaten kama the mighty JUVE!!! Bibi kizee yetu ya Turin! .... NedVed amewaambia vijana histroria lazima ijirudie
      trachomatis likes this.
      “Not only am I better looking….I’m just plain better.”
      Arsenal My heart Juventus My soul

    21. #38
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1724
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Viper
      vipi mnampango wa kwenda unbeaten kama the mighty JUVE!!! Bibi kizee yetu ya Turin! .... NedVed amewaambia vijana histroria lazima ijirudie

      Dah kweli Viper umetoa kali ya mwaka...
      Wakati mwenzako namipango ya kubeba ndoo ya Champios league ya 8 we mwenzangu unafikiria unbeaten?
      Makubwa ya bi ubwa haya......lol
      trachomatis likes this.

    22. #39
      trachomatis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Location : Dar es Salaam,Tanzania.
      Posts : 3,460
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      484
      Likes Given
      235

      Default Re: Kwa wanaojiita wazawa wa JF!

      Wajua si mara zote unatakiwa ule usemi wa kwamba ati ''Kinywa cha mzee kinanuka ugoro lakini hakikosi kuongea maneno ya busara...''
      Revolution is not an apple that falls when it is ripe... You have to make it fall! [Che Guevara]

    23. #40
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,256
      Rep Power : 13084
      Likes Received
      14140
      Likes Given
      15008

      Default

      kumbe kuna wazawa na wakuja?

      Nawasalimu wote.

      Quote By cacico
      mmmhhhhhh! morning chit chatters, morning wazawa! lol!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...