Jamani binti mrembo uliyepo hapa arusha ni pm tafadhari upweke unanimaliza...nimehamia hapa kikazi na niko hotelini tu..karibu japo tubadilishane mawazo na kupata kinywaji kwa muda..ni hilo tu wana familia wa jf arusha.
Jamani binti mrembo uliyepo hapa arusha ni pm tafadhari upweke unanimaliza...nimehamia hapa kikazi na niko hotelini tu..karibu japo tubadilishane mawazo na kupata kinywaji kwa muda..ni hilo tu wana familia wa jf arusha.
kila la kheri. akija utuambie kinywaji kilikaje!
teh teh teh teh.......!
Hiyo hoteli ina wahudumu wa kiume wote?
Mtafute pj akuonyeshe maeneo
Nenda Picnic!
Yani JF sio sehemu ya kuomba msaada kabisa kama presha iko juu,mnanitakia nini mwenzenu na majibu haya yasio na faraja?
Uzinzi !Uzinzi! Uzinzi!
Nakuja, umefikia hotel gani?
Kuna dada mmoja anaweza kukusaidia, ngoja nimwite, sharti usiwe umefikia hoteli za uswahilini maana yeye matawi ya juu.
Erotica , please rescue this lonely heart!
Blessed are hearts that bend but shall never broken
ngoja ntakutafuta maana mie pia niko A town!!!!Funguka hotel uliyofikia!!!
mmh, that's when JF comes in very handy...usikose kutu-update progress
Nenda shivers utaata warembo wa kutosha wa kukutimizia haja zako ili mradi tu mfukoni uwe safi.
Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz
MGENI RASMI: CCM OYEEEEEE!
WANANCHI: HAITOKIIIII. HAITOKI!
(Kwa Hisani ya Wanamtwara)
Follow Us Here