Hivi jamani kwa nini kusianzishwe huu utaribu humu jf,kama mtu akikosea asipewe "ban" bali apewe muda wa kufuta kauli yake kama ilivyo bungeni,na kama akikataa ndio apewe red card!Je,unaonaje haka kautaratibu,
Wanaoafiki waseme ndiyo.....
Wasioafiki waseme....

Reply With Quote


SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA
Follow Us Here