Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 125
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!


      Mzee ODM Asprin

      Ni matumanini yangu ndugu zangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu za kutafuta fedha kama kawaida.

      Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
      Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Swadakta kabisa, haya ndugu zanguni leo sina maneno mengi bali namkaribisha sana Babu Asprin na maswali yangu yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Mzee Asprin swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Mzee Asprin:

      1. Je ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
      4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
      5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
      8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
      9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa?
      10. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
      11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
      14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?

      15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mzee wetu ODM Asprin atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana
      Last edited by Zinduna; 30th June 2012 at 15:23.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,365
      Rep Power : 33548
      Likes Received
      8021
      Likes Given
      7506

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Ahsante ndugu maulid kitenge....ooops ndugu zinduna kwa kunipa fursa hii.
      Vijiswali kwa ndugu asprin:
      1. Ushawahi kuhonga mwanamke gari au nyumba au na wewe ni wale wale asiowataka Smile?
      2. Una ubia na bar ya fyatanga?
      3.humu jf ushawahi kulamba dem kiukweliukweli na si masikhara ya jf?
      4.nikikupa namba ya simu ya Kongosho utanilipa nini?
      Asprin, SALOK, Zinduna and 2 others like this.

    4. #3
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Zinduna

      Mzee ODM Asprin
      Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
      Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Ili kuonyesha nilivyo muadilifu, naitikia wito wako wa salamu...

      Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Niko Gado kujibu maswali yenu yote kwa ufasaha......



      Ila Zinduna nakusihi kwenye haya mahojiano naomba ukae mkao wa heshima nisijeleta matatizo hapa studio.

      Last edited by Asprin; 30th June 2012 at 10:13.
      Remmy, SALOK, Zinduna and 1 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    5. #4
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,365
      Rep Power : 33548
      Likes Received
      8021
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By Asprin
      Ili kuonyesha nilivyo muadilifu, naitikia wito wako wa salamu...

      Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Ila Zinduna nakusihi kwenye haya mahojiano naomba ukae mkao wa heshima nisijeleta matatizo hapa studio.

      Asprin bana,kumbe na wewe unafahamiana na zinduna,hii picha ni ya zamani kidogo lakini,siku hizi kazeeka choka mbaya,unamfahamu bi kidude? Well well she almost looks like her.
      Asprin, SALOK, Zinduna and 1 others like this.

    6. #5
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      1. Je Msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      Swali halijaeleweka, waweza sema ulimaanisha nini?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      Sana tu, tena mi ndo nlikuwa nashika nafasi ya ubaba. Housegirl wetu alikuwa ananikomaje?

      3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
      Nina mke na mabinti wawili wazuri kama mama yao. Hawa lazima waolewe na watu wenye hela zao na ni lazima wawe mahandsome. Vinginevyo ntawaoa mwenyewe

      4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
      Hili si swali, mpaka sasa kina cacico, Yummy na BADILI TABIA wakinipiga kibuti, lazima nirudishe heshima kwa Revola. Uzuri wa sabuni, haijui kupiga mzinga, haina wivu na haihitaji kutumia kondom kwakuwa haina gono, kaswende wala ngoma.

      5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
      Jana tu nlikuwa mitaa ya Ohio.



      6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      Sana tu. Kahaba hakupi mzigo bila kutoa fedha wakati home napewa bure. Utafiti umeonyesha kuwa penzi linalohusishwa na feza linakuwa tamu mara mbili ya penzi la bure. Nshaongea na wife ili niachane na makahaba basi awe ananipiga mzinga kabla hajapanua paja.
      7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
      Mara tatu, mara ya mwisho sikujua kama cacico ni mke wa mtu.


      Remmy, Yummy, Zinduna and 1 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,257
      Rep Power : 26194
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      3792

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Eti ni kweli kuwa baada ya kuwakagua wajukuu zako huwa unawaachia gungu wasiolewe ili uendelee kufaidi wewe tu? Lol
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.

    9. #7
      daughter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 1,243
      Rep Power : 753
      Likes Received
      667
      Likes Given
      307

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      unamzidi lulu miaka mingapi?sasa uliwezaje kumvua chupi na ikasimama?
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.

    10. #8
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
      Yeah Erotica nlijua ana mimba yangu, mpaka alipokana hadharani kuwa si yangu akamuuzia Kaizer. Kaizer alipomtolea nje akarudi kwangu akidai mimba ni yangu na mtoto aliye tumboni anafanana na mimi mpaka kucha.



      9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa?
      Sina asee, nlimwomba gfsonwin anizalie akakataa. Unaweza kunisaidia niwekamo katoto kwa tumbo lako?

      10.Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
      Mkono sweta wangu ulitolewa zamaaani sana. Sina kumbukumbu kwakuwa wakati wanautoa nlikuwa bado nna akili kama za Lusinde
      11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      Nlipomgonga jamaa maeneo ya Victoria akapaa hewani na kurudi juu ya paa la kibajaji changu.

      12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana

      Nilipogundua jamaa nliyemgonga hajaRIP. Naogopa sana kumsaidia ziraili mtoa roho.
      Remmy, Yummy, Zinduna and 2 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    11. #9
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
      Huyu Erickb52 bana, ana mchezo mbaya wa kuwamendea wajukuu zangu.



      14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
      Kumshabikia Rais wetu alipoteuliwa na chama cha Magamba kwa mara ya kwanza kugombea urais.
      Kiongozi wangu huyu ni bone la msomi.



      15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….
      Kidumu na kiwe kigumu kama chama cha magamba..... Naomba kupumzika kidogo hangover inaniua

      Saint Ivuga, Remmy, KARIA and 4 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    12. #10
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Kipipi
      Eti ni kweli kuwa baada ya kuwakagua wajukuu zako huwa unawaachia gungu wasiolewe ili uendelee kufaidi wewe tu? Lol
      Tatizo wananogewa na kunitishia, ndo maana nawaachiaga laana.




      Quote By daughter
      unamzidi lulu miaka mingapi?sasa uliwezaje kumvua chupi na ikasimama?
      Ng'ombe hazeeki maini..... kama vipi nawe hebu njoo ujaribu bahati yako.
      Saint Ivuga, KARIA and Zinduna like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    13. #11
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Bishanga
      Ahsante ndugu maulid kitenge....ooops ndugu zinduna kwa kunipa fursa hii.
      Vijiswali kwa ndugu asprin:
      1. Ushawahi kuhonga mwanamke gari au nyumba au na wewe ni wale wale asiowataka Smile?
      2. Una ubia na bar ya fyatanga?
      3.humu jf ushawahi kulamba dem kiukweliukweli na si masikhara ya jf?
      4.nikikupa namba ya simu ya Kongosho utanilipa nini?
      1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
      2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
      3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
      4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?

      Remmy, Zinduna and charminglady like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    14. #12
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,991
      Rep Power : 31796
      Likes Received
      5917
      Likes Given
      19339

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Asprin unatisha kama nini. la kizushi je umewahi ok nimesahau nitakuja.
      Asprin and Zinduna like this.

    15. #13
      CUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2012
      Posts : 1,237
      Rep Power : 1500
      Likes Received
      582
      Likes Given
      331

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      ulishawai kubaka???
      kugombania mwanamke in ur life?
      ni kitu gani uliwai kufanya na kuokoa life ya mtu au watu...ambacho kinakufanya ujisikie fahari sana ukikumbuka?
      any regrets in ur life??? and why??
      unapendelea nini(hobbies)
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.
      don't cheat in a relatioship..if ur not happy then just leave

    16. #14
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Mamndenyi
      Asprin unatisha kama nini. la kizushi je umewahi ok nimesahau nitakuja.
      Swali rahisi sana, ndiyo nimeshawahi kuvaa kata K na kuimba bongofleva.




      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    17. #15
      mbalu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Ntuzu
      Posts : 214
      Rep Power : 395
      Likes Received
      98
      Likes Given
      68

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Asprin we na Zinduna mboni mnajaribiana kwa mikao yenu hiyo intavyuu ihamie gest house.
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.
      Ong'wizukuru Shimba nawe Shimba.

    18. #16
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By CUTE
      ulishawai kubaka???
      kugombania mwanamke in ur life?
      ni kitu gani uliwai kufanya na kuokoa life ya mtu au watu...ambacho kinakufanya ujisikie fahari sana ukikumbuka?
      any regrets in ur life??? and why??
      unapendelea nini(hobbies)
      Enzi za utoto nlishawahi kubaka mbuzi na kuku....
      Kitu cha kuokoa maisha? Oh Yes nlipomuoa mai waifu manake alinambia hawezi kuishi bila ya mimi. Inamaana nisingemuoa angekuwa ameshaRIP.
      Regrets? Moja tu...my ex gelofrend wangu alipopata ujauzito nikamshauri akaitoe..... Maskini kizazi kikaharibika mpaka leo mtoto anamsikia kwenye bomba. Sijui kama mme wake ameambiwa hiyo habari au anapampu tu akitegemea atapata mtoto siku moja......
      Hobbies?? Hivi uzee una hobby? Penda sana angalia sinema mimi, soma novels, Cheza basketball na volleyball. Ofkozi na kupiga ulabu mwiiiiiingi!!

      Haya ukiwaona kina TANMO na platozoom waambie maswali yao ya uchokozi siyataki.
      Last edited by Asprin; 30th June 2012 at 11:14.
      Yummy, Zinduna and platozoom like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    19. #17
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Nina maswali machache kwa ODM:

      1. Je ulishawahi kuvuta Bhange?
      2. Je ukipewa nafasi ya kutoa maamuzi, utahalalisha Bhange?
      3. Je ulishwahi kupiga puli?
      4. Je mitungi uliianza ukiwa na umri gani?
      5. Je ulishawahi kukalala katoto anda eji?

      ..................nitarejea
      Asprin and Saint Ivuga like this.
      Do Something......

    20. #18
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Unapokagua wajukuu huwa unawakagua nini?vigezo vyako nini kwenye ukaguzi wako?na huwa unajisikiaje unapowakagua?ushauri gani huwa unawapa baada ya kuwakagua?huwa unatoa muhuri baada ya kuwakagua?
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.

    21. #19
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Asprin sina maswali umenitoa machozi kwa majibu na vithibitisho vyako vya picha khaaa!!!!
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    22. #20
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,991
      Rep Power : 31796
      Likes Received
      5917
      Likes Given
      19339

      Default

      Quote By Yummy
      Asprin sina maswali umenitoa machozi kwa majibu na vithibitisho vyako vya picha khaaa!!!!
      Asprin anatisha hata ZINDUNA katimua.
      Asprin and Zinduna like this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...