Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

    Report Post
    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 125
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!


      Mzee ODM Asprin

      Ni matumanini yangu ndugu zangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu za kutafuta fedha kama kawaida.

      Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
      Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Swadakta kabisa, haya ndugu zanguni leo sina maneno mengi bali namkaribisha sana Babu Asprin na maswali yangu yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Mzee Asprin swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Mzee Asprin:

      1. Je ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
      4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
      5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
      8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
      9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa?
      10. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
      11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
      14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?

      15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mzee wetu ODM Asprin atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana
      Last edited by Zinduna; 30th June 2012 at 15:23.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,722
      Rep Power : 19052
      Likes Received
      1455
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Bishanga
      Baby hujambo?
      nipo baby

    4. #42
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,369
      Rep Power : 33548
      Likes Received
      8023
      Likes Given
      7528

      Default

      Quote By The secretary
      nipo baby
      nakumiss baby!

    5. #43
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      babu Asprin nilikwenda site kwenye viwanja vyetu vya mabwepande ndio narudi. mi nna swali moja tu, hivi babu kati ya wajukuu zako cc, yupi ana chata ya ODM kama yangu?? swali la pili ni kwamba wakati wa ukaguzi ushawahi kunirecord???, swali la tatu, kati ya siku ulizonikagua, ipi ulienjoy??
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    6. #44
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,722
      Rep Power : 19052
      Likes Received
      1455
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Bishanga
      nakumiss baby!
      Mi mzima usihofu babito

    7. #45
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,038
      Rep Power : 21903
      Likes Received
      7023
      Likes Given
      7858

      Default

      Quote By cacico
      babu Asprin nilikwenda site kwenye viwanja vyetu vya mabwepande ndio narudi. mi nna swali moja tu, hivi babu kati ya wajukuu zako cc, yupi ana chata ya ODM kama yangu?? swali la pili ni kwamba wakati wa ukaguzi ushawahi kunirecord???, swali la tatu, kati ya siku ulizonikagua, ipi ulienjoy??
      Mkwe cacico how come ukaguzi ukainjoiwa? Nauliza tu mkwe....nimekumiss
      cacico likes this.

    8. Miaka 50

    9. #46
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Kaizer
      Mkwe cacico how come ukaguzi ukainjoiwa? Nauliza tu mkwe....nimekumiss
      muulize hommie wako Asprin akupe majibu muafaka! kwema huko kwako?? gfsonwin hajambo?
      gfsonwin likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    10. #47
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,038
      Rep Power : 21903
      Likes Received
      7023
      Likes Given
      7858

      Default

      Quote By cacico
      muulize hommie wako Asprin akupe majibu muafaka! kwema huko kwako?? gfsonwin hajambo?
      Yaani kumtaja gfsonwin numepata nshtuko, mtoto ananipa raha zote sa ivi anajiandaa
      Na mtoko tukapate mdudu kusindikizie jmosi, tumediss mbavu za tbl na safari zao apo knyama! Odm ako apo..,lol
      gfsonwin likes this.

    11. #48
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,161
      Rep Power : 13065
      Likes Received
      14099
      Likes Given
      14918

      Default

      siku hizi umepata vitoto vipya mie ukanimwaga.
      Nimeamua kutulia na mme tu.

      Nimekumiss lakini hata mie, tukutane Bamboo au G and D

      Quote By Bishanga
      Si mpaka.
      Halafu we konnie ujue nakumiss.

    12. #49
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,680
      Rep Power : 27091
      Likes Received
      10054
      Likes Given
      13953

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Kaizer
      Yaani kumtaja gfsonwin numepata nshtuko, mtoto ananipa raha zote sa ivi anajiandaa
      Na mtoko tukapate mdudu kusindikizie jmosi, tumediss mbavu za tbl na safari zao apo knyama! Odm ako apo..,lol
      ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.

      hata Asprin analitambua hilo.
      cacico likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    13. #50
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8267
      Likes Received
      2672
      Likes Given
      3651

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By gfsonwin
      ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.

      hata Asprin analitambua hilo.
      Haya maneno haya............nikiya-copy na kum-pestia Mr. husband nitakuwa mbea
      gfsonwin likes this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    14. #51
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,680
      Rep Power : 27091
      Likes Received
      10054
      Likes Given
      13953

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By platozoom
      Haya maneno haya............nikiya-copy na kum-pestia Mr. husband nitakuwa mbea
      sasa weye platozoom ina maana hujui ya jamvin yanaishia humu humu? cha ajabu kweli waweza kuwa unamtania na mumeo pasi kujua manake jf siyo ya kuamini aisee.
      platozoom likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    15. #52
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8267
      Likes Received
      2672
      Likes Given
      3651

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By gfsonwin
      sasa weye platozoom ina maana hujui ya jamvin yanaishia humu humu? cha ajabu kweli waweza kuwa unamtania na mumeo pasi kujua manake jf siyo ya kuamini aisee.
      Coming to your senses lol!
      gfsonwin likes this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    16. #53
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,440
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14542
      Likes Given
      22033

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Talk show Klozdi!

    17. #54
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,440
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14542
      Likes Given
      22033

      Default

      Quote By cacico
      babu Asprin nilikwenda site kwenye viwanja vyetu vya mabwepande ndio narudi. mi nna swali moja tu, hivi babu kati ya wajukuu zako cc, yupi ana chata ya ODM kama yangu?? swali la pili ni kwamba wakati wa ukaguzi ushawahi kunirecord???, swali la tatu, kati ya siku ulizonikagua, ipi ulienjoy??
      My love cacico haya maswali nikujibie hapa au nikujibu kesho live kama tulivokubaliana? Ole wako usitokee. Nimeghairi kwenda harusini leo kama nlivokwambia ili niamke na nguvu tosha kwa ajili yako. Come this way babe.....
      cacico likes this.

    18. #55
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,390
      Rep Power : 50811
      Likes Received
      9308
      Likes Given
      14584

      Default

      Quote By The secretary
      babuuu MSWATI ulifikiria nini hadi kumkabidhi ERICK52 kazi ya kukagua wajukuu
      Aliniona nafaa ukinilinganisha na wajukuu wengine

    19. #56
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Asprin ndio nani asimame nimuone.

    20. #57
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,677
      Rep Power : 10167
      Likes Received
      5654
      Likes Given
      12666

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      babu ngoja nikuulize swali la kukukasirisha.. Umeshawahi kutumia sabuni kwenye mambo yetu yale?

    21. #58
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,390
      Rep Power : 50811
      Likes Received
      9308
      Likes Given
      14584

      Default

      Quote By gfsonwin
      ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.

      hata Asprin analitambua hilo.
      Haya maneno ni kujikosha na kumpa kichwa nanii...
      hebu uliza wenzako walowahi kupita anga zetu watakuambia Bishanga na Erick wakoje
      Huoni The secretary kalainika mwenyewe kwa Bishanga?

    22. #59
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,390
      Rep Power : 50811
      Likes Received
      9308
      Likes Given
      14584

      Default

      Quote By gfsonwin
      ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.

      hata Asprin analitambua hilo.
      Haya maneno ni kujikosha na kumpa kichwa nanii...
      hebu uliza wenzako walowahi kupita anga zetu watakuambia Bishanga na Erick wakoje
      Huoni The secretary kalainika mwenyewe kwa Bishanga?
      gfsonwin and charminglady like this.

    23. #60
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,834
      Rep Power : 17526
      Likes Received
      4869
      Likes Given
      5277

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      babu @Aspirin me cmrtaki Bishanga, namtaka naniliu yan kila siku nimekuwa nikijipisha pitisha lakini anajidai hanioni mpka nimeamua kuokoka na kumfungia maombi lakini hola... ila mchungaji kanambia kuwa mambo yanaiva..... na ikishindikana namwendea bagamoyo lol ananiumiza moyo yan hata saiv napost but nipo church mchungaji anawaombea wengine... nakesha kweli ili nimpate!!!!!!
      Zinduna likes this.

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...