Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

    Report Post
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 125
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!


      Mzee ODM Asprin

      Ni matumanini yangu ndugu zangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu za kutafuta fedha kama kawaida.

      Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
      Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Swadakta kabisa, haya ndugu zanguni leo sina maneno mengi bali namkaribisha sana Babu Asprin na maswali yangu yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Mzee Asprin swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Mzee Asprin:

      1. Je ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
      4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
      5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
      8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
      9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa?
      10. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
      11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
      14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?

      15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mzee wetu ODM Asprin atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana
      Last edited by Zinduna; 30th June 2012 at 15:23.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,303
      Rep Power : 13093
      Likes Received
      14171
      Likes Given
      15016

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Bishanga, ukitoa namba yangu nakukata makalio.


      Kwako Asprin, utaacha lini kukopa uroda?

      Haya mabandiko ya picha hapa unayatoa wapi?
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.

    4. #22
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,156
      Rep Power : 31829
      Likes Received
      6029
      Likes Given
      19645

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      makubwa haya ya Bishanga kutungwa ujauzito lol.

    5. #23
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,996
      Rep Power : 8273
      Likes Received
      2695
      Likes Given
      3669

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Mimi nina maswali madoogo ya nyongeza:

      1. Ni jamaa gani unayemhofia sana anaweza kukuchukulia mke wako...na sifa zake?
      2. Niambie kituko cha kwanza ulichokifanya ulipoingia mjini kwa mara ya kwanza?
      3. Ni demu gani hapa JF unahisi ana sura mbaya kuliko wote?
      4. Ni demu gani hapa JF unahisi huwa akimpata mwanaume anakausha akaunti?
      5. Mara ya kwanza kuangalia movie ya porn ilikuwa lini na reaction yake ilikuwaje?
      6. Unaongea lugha ngapi za asili?

      Nitarudi kwa ajili ya maswali ya msingi
      Asprin, Zinduna and gfsonwin like this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    6. C6
      #24
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,084
      Rep Power : 19361
      Likes Received
      1775
      Likes Given
      1513

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Nice intaview
      Asprin and Zinduna like this.

    7. #25
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,525
      Rep Power : 50838
      Likes Received
      9423
      Likes Given
      14588

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Babuuuuuuu......uuuu...
      Asprin and Zinduna like this.


    8. #26
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,525
      Rep Power : 50838
      Likes Received
      9423
      Likes Given
      14588

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Kwani babu Asprin mi pia si ni mjukuu..?
      Je nikitaka niachane na wajukuu wako,nkakuomba unipe wajukuu watatu wawe wangu utanipa akina nani?
      Nataka kuepusha msongamano
      Asprin and Zinduna like this.

    9. #27
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,525
      Rep Power : 50838
      Likes Received
      9423
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By Asprin
      1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
      2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
      3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
      4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?

      Namba ya Kongosho ni 071?-4!8!23
      Haya nipe charminglady
      Asprin likes this.

    10. #28
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,731
      Rep Power : 19055
      Likes Received
      1461
      Likes Given
      129

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      babuuu MSWATI ulifikiria nini hadi kumkabidhi ERICK52 kazi ya kukagua wajukuu
      Asprin and Zinduna like this.

    11. #29
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Asprin
      1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
      2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
      3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
      4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?

      Dah! charminglady kweli ni kitu cha ukweli,naomba namba yake ya simu tafadhali.
      Asprin and Zinduna like this.

    12. #30
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Kongosho
      Bishanga, ukitoa namba yangu nakukata makalio.


      Kwako Asprin, utaacha lini kukopa uroda?

      Haya mabandiko ya picha hapa unayatoa wapi?
      Si mpaka.
      Halafu we konnie ujue nakumiss.
      Asprin and Zinduna like this.

    13. #31
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Mamndenyi
      makubwa haya ya Bishanga kutungwa ujauzito lol.
      Mmmmmmmhhhhh????

    14. #32
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Mamndenyi
      Asprin anatisha hata ZINDUNA katimua.
      Zinduna alidamkia muhimbili kwenye kliniki ya wajawazito ( mimba ya asprin) kakuta madaktari hawapo,kenda mwananyamala hola,Amana hola,Temeke hola mara ya mwisho kaonekana kwa bibi Havintishi binti Mahaungulila huko kimanzichana.
      Asprin and Zinduna like this.

    15. #33
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By The secretary
      babuuu MSWATI ulifikiria nini hadi kumkabidhi ERICK52 kazi ya kukagua wajukuu
      Baby hujambo?
      Zinduna likes this.

    16. #34
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Asprin
      1. Je Msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      Swali halijaeleweka, waweza sema ulimaanisha nini?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      Sana tu, tena mi ndo nlikuwa nashika nafasi ya ubaba. Housegirl wetu alikuwa ananikomaje?

      3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
      Nina mke na mabinti wawili wazuri kama mama yao. Hawa lazima waolewe na watu wenye hela zao na ni lazima wawe mahandsome. Vinginevyo ntawaoa mwenyewe

      4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
      Hili si swali, mpaka sasa kina cacico, Yummy na BADILI TABIA wakinipiga kibuti, lazima nirudishe heshima kwa Revola. Uzuri wa sabuni, haijui kupiga mzinga, haina wivu na haihitaji kutumia kondom kwakuwa haina gono, kaswende wala ngoma.

      5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
      Jana tu nlikuwa mitaa ya Ohio.



      6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      Sana tu. Kahaba hakupi mzigo bila kutoa fedha wakati home napewa bure. Utafiti umeonyesha kuwa penzi linalohusishwa na feza linakuwa tamu mara mbili ya penzi la bure. Nshaongea na wife ili niachane na makahaba basi awe ananipiga mzinga kabla hajapanua paja.
      7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
      Mara tatu, mara ya mwisho sikujua kama cacico ni mke wa mtu.


      Hapo kwenye Bold nyeusi nilikuwa namaanisha ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      Asprin and charminglady like this.

    17. #35
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,459
      Rep Power : 32080
      Likes Received
      14551
      Likes Given
      22033

      Default

      Quote By Zinduna
      Hapo kwenye Bold nyeusi nilikuwa namaanisha ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
      Kabla sijakujibu kudadadadadeki niambie kwanini ulinikimbia studio?

      Rekodi zinaonyesha haijawahi tokea wauliza maswali wakamkibia mjibu maswali kwenye Zinduna talk show......ODM Hoyeeeeeeeeeee!
      Zinduna likes this.

    18. #36
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,069
      Rep Power : 21909
      Likes Received
      7059
      Likes Given
      7872

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Leo jumangapi?
      Asprin likes this.

    19. #37
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Mamndenyi
      Asprin anatisha hata ZINDUNA katimua.
      Nipo Mamndenyi, namvutia kasi huyu!
      Maswali bado yapo kedekede
      Asprin likes this.

    20. #38
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Mamndenyi
      Asprin anatisha hata ZINDUNA katimua.
      Nipo Mamndenyi, namvutia kasi huyu!
      Maswali bado yapo kedekede

    21. #39
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

      Quote By Asprin
      Kabla sijakujibu kudadadadadeki niambie kwanini ulinikimbia studio?

      Rekodi zinaonyesha haijawahi tokea wauliza maswali wakamkibia mjibu maswali kwenye Zinduna talk show......ODM Hoyeeeeeeeeeee!
      Nilikuwa bize namoderate meseji za maswali ya wana JF
      Ulitupiwa maswali mengi sana na yasiyofaa kuweka hadharani, labda tu jukwaala wakubwa hivyo nilikuwa bize nikiyachuja ili kipindi cha talk showkisije kikapigwa BAN na Invisible
      Asprin likes this.

    22. #40
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,731
      Rep Power : 19055
      Likes Received
      1461
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Bishanga
      Baby hujambo?
      sijambo baby
      Asprin likes this.

    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...