Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 164
    1. #1
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      wapenzi wa chit chat leo ndio miye kungwi wenu nimerudi na dawa ya kumtibia Asprin baada ya kukutwa na dhahama ya kukojoa dagaa baada ya kutoka na cacico na tego hili aliwekewa na Young_Master.

      kwa masharti ya dawa yenyewe yanipasa kumwomba ruhusa wa moyo wangu Kaizer ili nikawe tabibu kwa Asprin na kwakua hawez kabisa kutembea basi nitamfuata nyumbani kwake barabara ya 12.

      masharti ya dawa
      1) itabidi niipake kwenye utupu wangu kisha wewe uichukue humo kwa kutumia mshedede.
      2)kama ukiweza kunipandisha mizuka basi itabidi unipe dozi na iwe intensive dozi worth fulfilling
      3) Kaizer atakuwepo ili kama ukishindwa kazi amalizie
      4)unaruhusiwa kumleta moja ya vimada wako awe Yummy ama Badili taba lakini siyo cacico.
      kama umekubaliana na masharti haya please sign hii fomu hapa chini

      mimi.......................... ....nakubaliana na na masharti haya kutoka kwa tabibu wa tego nililopata.
      sahihi........................ ....tarehe.................... ........
      Asprin, Kaizer, Mtambuzi and 8 others like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    2. Miaka 50

    3. #2
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Hahahaaaaaaaaa.....
      Hayo masharti kiboko
      wewe weka wazi kuwa Umamhitaji babu....
      wala si dawa hiyo.........
      Kua straight tu..........
      But you have made my day dada yangu a moyoni.
      Asprin, Kaizer, Mtambuzi and 5 others like this.

    4. #3
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,419
      Rep Power : 32071
      Likes Received
      14527
      Likes Given
      22033

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By gfsonwin


      mimi.........Asprin a.k.a ODM babu wa ukaguzi...............nakubaliana na na masharti haya kutoka kwa tabibu wa tego nililopata.
      sahihi.......&@^%%............tarehe.....28/06/2012.......................
      Deal Signed.

      Hommie Kaizer popote pale ulipo tafazali usikose. BADILI TABIA, Yummy na cacico nawaombeni radhi, sina budi kupata hii tiba muafaka. Tafazali Kongosho asipewe hii habari.
      Kaizer, Mtambuzi, Kongosho and 4 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    5. #4
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,419
      Rep Power : 32071
      Likes Received
      14527
      Likes Given
      22033

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By Remmy
      Hahahaaaaaaaaa.....
      Hayo masharti kiboko
      wewe weka wazi kuwa Umamhitaji babu....
      wala si dawa hiyo.........
      Kua straight tu..........
      But you have made my day dada yangu a moyoni.
      Inaelekea unajua kusoma katikati ya mistari. Usijali, akishindwa kunitibia ntahitaji tiba yako.
      gfsonwin and charminglady like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    6. #5
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4997

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na form ya kujaza kabisa!!! gfsonwin umenichekesha! kha, hutaki mashahidi?? naomba akanywe mkuyati kwanza huyo babu Asprin! kumbe ndio maana simsomi ni madagaa hayo anakojoa?? lolest! pole mwaya, vingine vimesindikwa Asprin haviguswi kha!
      Asprin, Kongosho, gfsonwin and 1 others like this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      @gfsonwin naona unataka nikutengeneze wewe, mume wa mtu ni sumu ujueeee nimemruhusu Yummy na cacico tu kunisaidia kazi, angalia nitakuroga sehemu zinazofichwa na nguo nitazihamishia shavuni shauri yako....
      Asprin, Kongosho and gfsonwin like this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    9. #7
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4997

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By Asprin
      Deal Signed.

      Hommie Kaizer popote pale ulipo tafazali usikose. BADILI TABIA, Yummy na cacico nawaombeni radhi, sina budi kupata hii tiba muafaka. Tafazali Kongosho asipewe hii habari.
      tunakuombea tiba njema, upone ukojoe wazungu sasa badala ya dagaa mchele! lolest!
      Asprin and Kongosho like this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    10. #8
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      @remmy bora umwambie, mume wangu mpaka cha asubuhi kanipa, kukojoa nimemsindikiza hakukojoa dagaa wala sato..... inabidi nimuundie tume huyu...




      Quote By Remmy
      Hahahaaaaaaaaa.....
      Hayo masharti kiboko
      wewe weka wazi kuwa Umamhitaji babu....
      wala si dawa hiyo.........
      Kua straight tu..........
      But you have made my day dada yangu a moyoni.
      Asprin, Erickb52, Kongosho and 1 others like this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    11. #9
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By gfsonwin
      masharti ya dawa
      1) itabidi niipake kwenye utupu wangu kisha wewe uichukue humo kwa kutumia mshedede.
      2)kama ukiweza kunipandisha mizuka basi itabidi unipe dozi na iwe intensive dozi worth fulfilling
      3) Kaizer atakuwepo ili kama ukishindwa kazi amalizie
      4)unaruhusiwa kumleta nyumba kubwa yako Yummy na sio VIMADA wako BADILI TABIA wala cacico.
      kama umekubaliana na masharti haya please sign hii fomu hapa chini

      mimi.......................... ....nakubaliana na na masharti haya kutoka kwa tabibu wa tego nililopata.
      sahihi........................ ....tarehe.................... ........
      gfsonwin nashukuru sana kwa kuntunuku hii stashahada muhimu sana.......nakuombea uweze kulitegua hiloo tego alilowekewa babu yetu Asprin
      Na Kaizer asipotosheka kwako mie ntakusaidia haina majortoooo
      Asprin, Kaizer, Erickb52 and 1 others like this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    12. #10
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4997

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By BADILI TABIA
      @gfsonwin naona unataka nikutengeneze wewe, mume wa mtu ni sumu ujueeee nimemruhusu Yummy na cacico tu kunisaidia kazi, angalia nitakuroga sehemu zinazofichwa na nguo nitazihamishia shavuni shauri yako....
      ila mumeo noumer! alinitegua kiuno mtoto wa mwenzie! nashukuru kipindi kile tiba ilikuwa bado ipo mahospitalini, sasa hivi cjui ningefanyaje! babu Asprin pamoja na yote, upo juu! kha!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    13. #11
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      @asprin my sweetpotato ndo mpango wako ulopanga na gfsonwin eeeeh? nakuchora tu hapa...



      Quote By Asprin
      Deal Signed.

      Hommie Kaizer popote pale ulipo tafazali usikose. BADILI TABIA, Yummy na cacico nawaombeni radhi, sina budi kupata hii tiba muafaka. Tafazali Kongosho asipewe hii habari.
      Asprin, Erickb52, Kongosho and 1 others like this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    14. #12
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By BADILI TABIA
      @remmy bora umwambie, mume wangu mpaka cha asubuhi kanipa, kukojoa nimemsindikiza hakukojoa dagaa wala sato..... inabidi nimuundie tume huyu...
      Hahahaaaa uwiiiiii,ni asubuhi njema
      Asprin, Erickb52, Kongosho and 2 others like this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    15. #13
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      ndo maana nimeona bora niongeze ulinzi, nishashtuka si unaona gfsonwin ameanza kumzengea? au tumualike kwenye "foursome?"



      Quote By cacico
      ila mumeo noumer! alinitegua kiuno mtoto wa mwenzie! nashukuru kipindi kile tiba ilikuwa bado ipo mahospitalini, sasa hivi cjui ningefanyaje! babu Asprin pamoja na yote, upo juu! kha!
      Asprin and Kongosho like this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    16. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Hii mechi si ya kukosa kushuhudia, naomba ipelekwe uwanja wa taifa.

      Ni mechi kati ya Englan na Spain sijui itakuwaje.


      Cheki babu asprin alivyofurahia, kameanza kupasha.

      Hommie Kaizer ushakuwa bushoke tena

      Quote By Asprin
      Deal Signed.

      Hommie Kaizer popote pale ulipo tafazali usikose. BADILI TABIA, Yummy na cacico nawaombeni radhi, sina budi kupata hii tiba muafaka. Tafazali Kongosho asipewe hii habari.
      Asprin, Kaizer and gfsonwin like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    17. #15
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Foosam, mtu mwenyewe asprin??
      Na uzee huo itakuwa kama mmemteka na kumtupa msitu wa Mabwepande.

      BTW, fivesamu inahusu??
      Quote By BADILI TABIA
      ndo maana nimeona bora niongeze ulinzi, nishashtuka si unaona gfsonwin ameanza kumzengea? au tumualike kwenye "foursome?"
      Asprin, Yummy, cacico and 1 others like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    18. #16
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By gfsonwin

      masharti ya dawa
      3) Kaizer atakuwepo ili kama ukishindwa kazi amalizie
      Kaizer amenambia hatakuwepo so ameomba Asprin atakaposhindwa nimsaidie kumalizia kazi na kukufikisha Kibo na Mawenzi kulingana na matakwa yako
      Asprin, Kongosho, Yummy and 1 others like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    19. #17
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By cacico
      uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na form ya kujaza kabisa!!! gfsonwin umenichekesha! kha, hutaki mashahidi?? naomba akanywe mkuyati kwanza huyo babu Asprin! kumbe ndio maana simsomi ni madagaa hayo anakojoa?? lolest! pole mwaya, vingine vimesindikwa Asprin haviguswi kha!
      yaaani haya ndio masharti na maashahidi sitaki kabisaa ila tu huyu Asprin ayakubali manake Young_Master kamuweza kweli safarii hii hana hamu. mkuyati hauna dili hii ndio yanyewe
      Asprin, Kongosho and Young Master like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    20. #18
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By Erickb52
      Kaizer amenambia hatakuwepo so ameomba Asprin atakaposhindwa nimsaidie kumalizia kazi na kukufikisha Kibo na Mawenzi kulingana na matakwa yako
      Erickb52 usimsingizie, halafu weye nauona kama sharobaro fulani hutoniweza aisee
      Asprin, Erickb52, KARIA and 1 others like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    21. #19
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Quote By Kongosho
      Foosam, mtu mwenyewe asprin??
      Na uzee huo itakuwa kama mmemteka na kumtupa msitu wa Mabwepande.

      BTW, fivesamu inahusu??
      4some ya nin? wengine wote ni waangaliizi tu manake shughuli yangu ni zaid ya hiyo ya 4some. asije nifia bure.
      Asprin, KARIA and Kongosho like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    22. #20
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default Re: leo ni siku ya J1-1 nimerudi na dawa ya @asprin

      Ya kwake iko juu???
      Una maanisha nini kusema yake iko juu??

      kama vile iko shingoni lol

      Quote By cacico
      ila mumeo noumer! alinitegua kiuno mtoto wa mwenzie! nashukuru kipindi kile tiba ilikuwa bado ipo mahospitalini, sasa hivi cjui ningefanyaje! babu Asprin pamoja na yote, upo juu! kha!
      Asprin and cacico like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    23. Study Abroad
    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...