Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lakini la pili...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Lakini la pili...

      (mfano)'...katika hilo tukaona kuwa tuboreshe sera ya kilimo ili iendane na wakati uliopo, sambamba na soko huria. Lakini la pili...' Kiukweli hapo wanasiasa, wasomi, na wataalam wetu huwa wananiacha hoi sana. Hii imekuwa wimbo wao. Wabadilishe sasa. Lakini la pili, sidhani kama ni matumizi sahihi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
      Beware of a sucker punch

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      ThePromise's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 401
      Likes Received
      41
      Likes Given
      3

      Default Re: Lakini la pili...

      Ufafanuzi plz,sijaambulia kitu kabisa!

    4. #3
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Lakini la pili...

      mbona rahisi? Kwani hamjawahi kuwasikia viongozi wetu wakitumia haya maneno?
      Beware of a sucker punch

    5. #4
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Raia Fulani
      (mfano)'...katika hilo tukaona kuwa tuboreshe sera ya kilimo ili iendane na wakati uliopo, sambamba na soko huria. Lakini la pili...' Kiukweli hapo wanasiasa, wasomi, na wataalam wetu huwa wananiacha hoi sana. Hii imekuwa wimbo wao. Wabadilishe sasa. Lakini la pili, sidhani kama ni matumizi sahihi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
      Bora leo nimepata mwenzangu wa kuliona hilo neno kama halijakaa vizuri, awali nikijidhani ni mie tu.
      Ni misemo ambayo haikuwepo zamani, imezuka hii miaka ya karibuni.
      Mf. Mwingine wa maneno haya ni "Mimi kama mimi....... " nalo kimaono yangu pia halijakaa njema pia.
      Nilipoona tu headin' yako kabla sijaifungua Thrade nikaelewa ulichokilenga.

    6. #5
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Judgement
      Bora leo nimepata mwenzangu wa kuliona hilo neno kama halijakaa vizuri, awali nikijidhani ni mie tu.
      Ni misemo ambayo haikuwepo zamani, imezuka hii miaka ya karibuni.
      Mf. Mwingine wa maneno haya ni "Mimi kama mimi....... " nalo kimaono yangu pia halijakaa njema pia.
      Nilipoona tu headin' yako kabla sijaifungua Thrade nikaelewa ulichokilenga.
      Hili limekuwa ni tatizo pana sana hasa kwa viongozi. Sijajua sababu hasa ni nini. Na hilo la mimi kaka mimi ni ishu pia. Ila nashangaa wadau humu hawakunielewa nazungumzia nini.
      Beware of a sucker punch

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,913
      Rep Power : 31779
      Likes Received
      5880
      Likes Given
      19199

      Default Re: Lakini la pili...

      ni dhaifu
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    9. #7
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Lakini la pili...

      Samahani nimekosea njia.

    10. #8
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Mamndenyi
      ni dhaifu
      Mamndenyi leo nna wewe dear! "ni dhaifu"
      nini sasa ?
      Haitoshelezi mimi nijue ulichokikusudia mpenzi !
      Nimekuzoe sana hua si mvivu wa kuandika wewe, leo nini mbaya?

    11. #9
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,729
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7179
      Likes Given
      6849

      Default Re: Lakini la pili...

      'mimi binafsi'....nalo pia....

    12. #10
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Remmy
      Samahani nimekosea njia.
      Pole!
      Bora umekosea njia! b care usije ukakosea choo!
      Utakuja toka na ........ Tamimu Risasi

    13. #11
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Judgement
      Pole!
      Bora umekosea njia! b care usije ukakosea choo!
      Utakuja toka na ........ Tamimu Risasi

      Ha ha haaaaa.......
      sasa nitarudije kwetu?

    14. #12
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Preta
      'mimi binafsi'....nalo pia....
      Hilo kweli neno. Lakini la pili, ni kuwa hawa watu wanaachwa tu kubananga lugha
      Beware of a sucker punch

    15. #13
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Remmy
      Samahani nimekosea njia.
      Umekoseaje?
      Beware of a sucker punch

    16. #14
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Remmy
      Ha ha haaaaa.......
      sasa nitarudije kwetu?
      Ina maana kwenu wajukuu hawatakiwi ?

    17. #15
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Judgement
      Ina maana kwenu wajukuu hawatakiwi ?
      Kwahiyo mjukuu atanionyesha njia sio?basi akaribishwa!

    18. #16
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Raia Fulani
      Umekoseaje?
      Sijalewa post ina maanisha nini?

      Hivi kutumia lakini la pili ni tatizo, tuweke wazi. Mie ni mdau wa hili neno, lol.

    19. #17
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Remmy
      Sijalewa post ina maanisha nini?

      Hivi kutumia lakini la pili ni tatizo, tuweke wazi. Mie ni mdau wa hili neno, lol.
      Naona pana tatizo. Wengi wa watumiaji huwa hawaanzi na 'mosi'. Utasikia tu 'lakini pili'. Hatusikii tatu wala nne. Atasema tena kisha utasikia, 'lakini pili'. Halafu kwa nini waweke 'lakini?' ukishaweka 'lakini' ni wazi kuwa ulichoongea mwanzo kinapingana na cha pili. Upo?
      Beware of a sucker punch

    20. #18
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Lakini la pili...

      Quote By Raia Fulani
      Naona pana tatizo. Wengi wa watumiaji huwa hawaanzi na 'mosi'. Utasikia tu 'lakini pili'. Hatusikii tatu wala nne. Atasema tena kisha utasikia, 'lakini pili'. Halafu kwa nini waweke 'lakini?' ukishaweka 'lakini' ni wazi kuwa ulichoongea mwanzo kinapingana na cha pili. Upo?
      Thanks, learned!

    21. #19
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,422
      Rep Power : 13321
      Likes Received
      7648
      Likes Given
      6911

      Default

      Quote By Raia Fulani
      Hilo kweli neno. Lakini la pili, ni kuwa hawa watu wanaachwa tu kubananga lugha
      Lakini pia....
      Mimi hunichefua sana!

    22. #20
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default Re: Lakini la pili...

      Huu m'banango wa lugha uko mwingi mkuu, iko nyingine unamuuliza mtu "ee bwana umeshakula ? " anakujibu
      "hamna"
      (hapo ndy ana maana hajala) au "hizi Ng'ombe" badala ya hawa Ng'ombe.
      "Hii Mbuzi siichinji" instead of huyu Mbuzi simchinji etc

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...