Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

    Report Post
    Page 1 of 19 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 374
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!


      Mrembo Erotica

      Ni matumaini yangu siku ya leo wote mu wazima wa afya na mnaendelea kulitumikia taifa hili kwa moyo mkunjufu kabisa.


      Kabla sijaanza kipindi chetu cha talk show ningependa kuchukua nafasi hii kumpa pole Bwana Bishanga kwa kisanga kilichompata wiki hii baada ya kupata msuto babu kubwa kiasi cha kulikimbia jukwaa la Chit Chart. Labda kwa ushauri wa bure ni kwamba hilo ni fundisho kwake na kwa wenzake ambao wanajifanya kiherehere kuchinganisha wapendanao humu JF.

      Pia ningependa kumtahadharisha Kongosho kwamba na yeye ajiangalie maana ngoma iko huku, asije akaangukiwa na dhahama ya ngona ya KILUGWAI.

      Haya tena leo mjengoni nipo na Mrembo wetu, honoy wetu, Loly Pop wetu Erotica. Mahojiano yangu na Erotica yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi, na maisha yake humu JF na pia kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Erotica swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Erotica:

      1. Je umezaliwa msimu gani, wa Kiangazi au Masika? Mawio au machweo?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata Kavulana ka kukufiligisa siku moja moja ukinyegeka?
      4. Unazungumziaje ndoa za siku hizi ukilinganisha na ndoa za zamani, namaanisha uwajibikaji kwa wanandoa, Je unadhani mahusiano ya ndoa kwa vijana wa leo yamejengwa katika misingi imara kama ndoa za mama/bibi zetu?
      5. Je umewahi kufanya mapenzi na mwanaume asiyetahiriwa?
      6. Kama umewahi, je uliona tofauti yoyote na ile iliyotahiriwa?
      7. Je umekeketwa, kama umekeketwa, Je unaizungumziaje mila hiyo ya kukeketa?
      8. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      9. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      10. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
      11. Je unapenda chakula cha aina gani?
      12. Ukipata fursa ya kupata chakula cha usiku (Dinner) na Mzee Asprin, utamshauri kitu gani?
      13. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
      14. Je una ushauri gani wa MODS wa JF
      15. Je una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mrembo wetu Erotica atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana

      Last edited by Zinduna; 23rd June 2012 at 10:15.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,362
      Rep Power : 33547
      Likes Received
      8018
      Likes Given
      7506

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Swali la nyongeza ndugu thpika:
      Hivi ni kweli kuwa babu asprin ndo alikuvunja niniliyu? Iliuma sana au ilikuwa raha ? Nauliza kwa maana kwa mwanaume kuvunja hii kitu yataka ufundi.
      Erickb52, Zinduna and Erotica like this.

    4. #3
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Quote By Bishanga
      Swali la nyongeza ndugu thpika:
      Hivi ni kweli kuwa babu asprin ndo alikuvunja niniliyu? Iliuma sana au ilikuwa raha ? Nauliza kwa maana kwa mwanaume kuvunja hii kitu yataka ufundi.
      Ahsante mzee wa Msuto Bishanga.

      Swali jengine-

      Inasemwa humu JF kwamba wewe ni mmoja wa warembo mwenye ndweo sana, Je unazungumziaje tuhuma hizo?
      Bishanga, Erickb52 and Erotica like this.

    5. #4
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Halafu kuna hili swali limetumwa na Kipipi kwa njia ya PM:

      Eti uliwahi kuwagonganisha wanaume humu JF ukitumia ID mbili tofauti, lakini ukajichanganya na kubainika, Je ilikuwa ni sadfa au kuna mtu alikwiba password yako?
      Erickb52 and Erotica like this.

    6. #5
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Naye Erickb52 anauliza:

      Kuna tuhuma zilivuma mwaka 2004 wakati unasoma hapo shule ya Ngaramtoni kwamba uliwahi kuchoropoa mimba, Je hilo nalo walizungumziaje?
      Erickb52 and Erotica like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Bado nachambua jina la mgeni wa Zinduna Talk Show wiki ijayo, nitaliweka hapa baadae nikishapata muafaka (Wiki ijayo ni ME)
      Stay tune!
      Erotica likes this.

    9. #7
      stineriga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : On My Way
      Posts : 780
      Rep Power : 686
      Likes Received
      188
      Likes Given
      130

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Zinduna, swali jingine hili hapa;

      Je anatumia kilevi? au ndio wale wanaosema public hawanywi, lakini kumbe ni wanywaji wazuri sana wa kisirisiri? Siku hizi kuna wadada wanavuta Sigara, Je na yeye ni mvutaji wa sigara?
      Bishanga and Erotica like this.
      hate it or love it

    10. #8
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1807
      Likes Given
      3439

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Swali langu kwa Erotica: Hivi ulishawahi kula msuba? Na je, ni upi msimamo wako kuhusu msuba? Je uhalalishwe ili uliingizie Taifa mapato kupitia kodi?

      Asanteni.
      Bishanga, Erickb52 and Erotica like this.

    11. #9
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1807
      Likes Given
      3439

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Swali jingine kwa Erotica: ukipata bahati ya kiss kutoka kwa Tanmo, je utataka akukiss wapi?
      Erickb52 and Erotica like this.

    12. #10
      GTesha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 389
      Likes Received
      41
      Likes Given
      9

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      alivunja ungo mwaka gani? na mpaka sasa ameshalala na wanaume wangapi?
      Erotica likes this.

    13. #11
      Tony Almeda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Location : C.T.U
      Posts : 395
      Rep Power : 467
      Likes Received
      117
      Likes Given
      37

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Nasikia kuna kaserengeti boy umekaweka kinyumba.....! Je! ni kweli?
      Bishanga, Erickb52 and Erotica like this.
      WAMETHUBUTU, HAWAWEZI LAKINI WANASONGA MBELE

    14. #12
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Ndugu zangu wafuatiliaji wa kipindi hiki cha Zinduna Talk Show, naomba mvute subira mgeni wetu Erotica, ndio ameshawasili na sasa anaji[podoa kwa mapouda kabla hajauza sura.
      naomba uvumilivu wenu, lakini pia mnaweza ku-post maswali yenu, ushauri wenu au hata salaam zenu, na pia mkipenda kumsifia kwa akivazi alicho kivaa leo:
      Erickb52 and Erotica like this.

    15. #13
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,105
      Rep Power : 7418
      Likes Received
      2070
      Likes Given
      1476

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Mie nina swali moja tu kwa huyu mrembo wetu Erotica...Hivi ni mwanaume gani huku JF unayemzimia ambaye ukimuona tu mapigo ya moyo wako yanaenda mbio kama transfoma ya bwawa la mtera?
      Erickb52 and Erotica like this.
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    16. #14
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 611
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Eti ni kweli unamhusudu sana mh Dhaifu?
      Erotica likes this.

    17. #15
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      mamito Zinduna kwanza nikuombe samahani ya kuchelewa kipindi chako kama nilivo ahidi.

      nime upakoliwa na Sir God kwa kuwa na uja wepesi wa watoto mapacha.

      nina monin sickness alaf kila saa nina hamu. monin sicknes nisha dili nayo.

      hio ya ge*ye nitakuwa na dili nayo huku niko kipindi. mwaaaaaaaaaaah!
      Bishanga and Zinduna like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    18. #16
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,384
      Rep Power : 50809
      Likes Received
      9291
      Likes Given
      14560

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Quote By Young_Master
      Mie nina swali moja tu kwa huyu mrembo wetu Erotica...Hivi ni mwanaume gani huku JF unayemzimia ambaye ukimuona tu mapigo ya moyo wako yanaenda mbio kama transfoma ya bwawa la mtera?
      hahahahaaa Young Master swali zuri sana
      Zinduna, Young Master and Erotica like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    19. #17
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,384
      Rep Power : 50809
      Likes Received
      9291
      Likes Given
      14560

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Erotica nina maswali haya;
      1..Je ushatembea na midume mingapi hadi sasa?2.
      2..Je kwanini wa kwanza alikutema baada ya kukubikiri?
      3..Je unadhani ukukutana tena na hao uliowahi kusex nao hamtapiga game tena?
      Erotica likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    20. #18
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7209
      Likes Received
      2768
      Likes Given
      12

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Unapokua kunako 6x6 , wakati unashughulikiwa inapofika anaekushuhulikia amekusugua Gspot kisawasawa, ukahemkwa hua unalia au unaongeaga lugha za kwenu?
      Erickb52 and Erotica like this.

    21. #19
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,384
      Rep Power : 50809
      Likes Received
      9291
      Likes Given
      14560

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      Quote By Judgement
      Unapokua kunako 6x6 , wakati unashughulikiwa inapofika anaekushuhulikia amekusugua Gspot kisawasawa, ukahemkwa hua unalia au unaongeaga lugha za kwenu?
      Hahahahaaa Judgement mbona mnaanza kutupandisha mori wakati bado asubuhi?
      Lol
      Erotica likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    22. #20
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erotica~~~~!

      haya tena leo mjengoni nipo na Mrembo wetu, honoy wetu, Loly Pop wetu Erotica. Mahojiano yangu na Erotica yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi, na maisha yake humu JF na pia kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Erotica swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Erotica:

      1. Je umezaliwa msimu gani, wa Kiangazi au Masika? Mawio au machweo?

      - Wazazi wangu walisema nilizaliwa wakati wa baridi. hio ilinipa
      jibu itakuwa walikuwa wana do kila mara inakuwaje Ero nipende saana?
      hapo nakuachia wewe mamito.

      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?

      Huu ni mchezo niliokuwa napenda kuliko yote. japokuwa nilikuwa mdogo lkn bado
      nilikuwa na akili ya kuchagua mwanaume ambae niliona anaweza nikosha. nilikuwa
      nikiona John, Jackson, Patel au Xuma hayupo nachagua nafasi ya mtoto.
      hao wakipewo basi lazima mm niwe mama or mchezo hauchezwi!

      3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata Kavulana ka kukufiligisa siku moja moja ukinyegeka?

      Hivi hili swala la 3 ulifikiria vizuri mtangaziji?
      Siku nyingine fanya risechi ili tusiulizane maswali ya mitego hivi.
      zaid ni kwamba natarajia kuolewa. mara tu nitapo baini ni nani
      baba wa watoto hawa mapacha kati ya wa5 nililala nao huo mwezi.

      4. Unazungumziaje ndoa za siku hizi ukilinganisha na ndoa za zamani, namaanisha uwajibikaji kwa wanandoa, Je unadhani mahusiano ya ndoa kwa vijana wa leo yamejengwa katika misingi imara kama ndoa za mama/bibi zetu?

      Walioolewa waache uchoyo. waachie waume zao na sisi tusioolewa tuwe na pakuweka vivuli.
      wao tayari wana bahati wamewekwa kabisa kama wake zao. pliiiiiz acheni kutuchokoa
      chokoa jst in case tumebahatika kutembea na waume zenu.
      msiwe na was was watarudi. i promise. mwaaaaaah.

      5. Je umewahi kufanya mapenzi na mwanaume asiyetahiriwa?

      sina hakika mtangazaji. mara ya kwanza na mwisho kuiona nilizimia.
      nakumbuka tu nilipozinduka nilikuwa nimerudishwa nyumbani. hata kumpigia
      simu yule kaka kama alinifanya wakati nimezimia sikuwa na hio eneji.
      hivo sijui kama nimewahi au sijawahi.

      Bishanga and Zinduna like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    Page 1 of 19 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...