Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 121
    1. #1
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7967
      Likes Given
      7506

      Default wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Mnajifahamu,wote ambao nimewasarandia,wote ambao nimewagonga,kuanzia leo siwajui msinijue.Tatizo lenu mkiniomba hela ya saluni nisiwape mnakimbilia kunisasambua jamvini,mnanchekesha.Narudia kusema mi na nyie basi,na hivyo vi vitz nilivyokununulieni chukua,na viwanja hata hati hizo chukueni,na zaabu nikiwaleteeni toka dubai chukueni,niliowaazima ipad zangu chukueni,niliokupeni ma samsung galaxy na mamiwani ya ray ban na police chukueni,na hiyo misaa ya cartier na gucci niliyokupeni chukua.Tatizo lenu wengi wenu mnasahau nilikokutoeni,kama wewe @Zinduna ulikuwa sakapoko,huna mbele wala nyuma,viatu nilikufundisha mie kuvaa,leo unanata, kwenda ulaya kwako sasa ni sawa na kwena magomeni ,nimekusomesha kuanzia fom one shaban robeti hadi nikakupeleka Uk masters digrii,kazi benki kuu nimekutafutia mie,apartment upanga nimekununulia mie,wadogo zako bishanga ndo nimewatoa,sasa juzi gari suzuki vitara kukwama gereji nakwambia subiri kidogo nitakwenda kulipa ndo una panic na kukimbilia jf? Loh huna hata uso wa haya binti Said wewe,sasa utajibeba nione utaishije mjini.
      Nenda zangu Mynmar kuvuta kibinti cha ki Asia naambiwa wana adabu hawa na wanajua kutunza mme.
      Last edited by Bishanga; 21st June 2012 at 12:55.
      Asprin, Kaizer, mtu chake and 9 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #81
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7967
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By cacico
      @Erickb52 labda aende kule kwenye jlu labda atapata mwenye kamba mguuni amfanye mkewe, hawa wa humu mhhhhhhh
      Tutabanana haba habachitchat murra

    4. #82
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1761
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Poa kabisa kaka
      Niko najamiika hapa walau kuvuta muda na siku Preta hajambo?
      ..anakupa hi...niko lunch hapa...
      @@

    5. #83
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,437
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14535
      Likes Given
      22033

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Hahahaaaa wa kusutwa ni wewe tu aisee na baada ya wewe ni Asprin
      Mi na Kaizer hatuna migogoro wa chuchuz yan ni raha tu
      Nani anisutue? Mi mtu akinisuta kuna wa kunijibia mapigo. Yaani aliyeleta msuto atakula za uso toka wa wapenzi wangu na wajukuu zangu kibao. Mbele kuna BADILI TABIA, Kati kuna Yummy, Beki yuko cacico na golini yupo Kongosho mwenyewe. Chezeya ODM? Marefarii kuna gfsonwin na Roulette.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    6. #84
      mbalu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Ntuzu
      Posts : 214
      Rep Power : 395
      Likes Received
      98
      Likes Given
      68

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Ina maana mbalu unapenda matapishi?
      Mh kumchum Bishanga yataka moyo sana aisee
      Erickb52 atapatwa na mfadhaiko kama tukimkataa wote hata wewe unamzibia? Bishanga mi uwe unakuja na kangara na kindi tu sitaki hayo ya mjini sijui maberber na top.
      Erickb52 likes this.
      Ong'wizukuru Shimba nawe Shimba.

    7. #85
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7967
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By mbalu
      Erickb52 atapatwa na mfadhaiko kama tukimkataa wote hata wewe unamzibia? Bishanga mi uwe unakuja na kangara na kindi tu sitaki hayo ya mjini sijui maberber na top.
      Hayo ndo maneno dear
      Erickb52 likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By The secretary
      Ahahaaaaaa! le BISHANGA LE BASHAIJA FATAKI LA TANDALE Mbona unaleta mambo ya hausimami hausimiki hapa kalagabao umefulia wewe hautudai hatukudai kazi yako copy and paste nenda kaazime guta kwa ERICK52 ukambebe huyo m-asia wako
      The secretary ngoja niongezee kitu hapo Bishanga ni nyumba ya udongo hastahimili vishindo, alikimbilia kulia akakuta kushoto kumesha bomoka. saa hizi kakalia sizitaki mbichi hizi. Mwacheni aende mziba huyu eti anajidai kwa mali alizohonga wakati saa hizi wenzie wanahonga fukwe na tembo kamtilia maji kweli manake alizidi kusifiwa. pia alishasahau kabisa kuwa ivumayo haidumu.

      ila nimtie moyo kumbuka kuwa ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno, na ukisema cha nini mwenzio anasema ntakipataje so ataopoa wa saiz yake tu. kwani sikuzote banian mbaya kiatu chake dawa.

      wera wera eeh! heri kenda nenda kuliko kumi nenda rudi. mpoooooooooo! watu eeh!

    10. #87
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7967
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By gfsonwin
      The secretary ngoja niongezee kitu hapo Bishanga ni nyumba ya udongo hastahimili vishindo, alikimbilia kulia akakuta kushoto kumesha bomoka. saa hizi kakalia sizitaki mbichi hizi. Mwacheni aende mziba huyu eti anajidai kwa mali alizohonga wakati saa hizi wenzie wanahonga fukwe na tembo kamtilia maji kweli manake alizidi kusifiwa. pia alishasahau kabisa kuwa ivumayo haidumu.

      ila nimtie moyo kumbuka kuwa ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno, na ukisema cha nini mwenzio anasema ntakipataje so ataopoa wa saiz yake tu. kwani sikuzote banian mbaya kiatu chake dawa.

      wera wera eeh! heri kenda nenda kuliko kumi nenda rudi. mpoooooooooo! watu eeh!
      Mwalimu wako khadija kopa au saida kalori?

    11. #88
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Bishanga
      Mwalimu wako khadija kopa au saida kalori?
      hao wanafunzi wangu, wewe si ulinona kwenye msuto jinsi nilivyokuwa. haya yapo tu kuna button niki click yanakuja kama mvua.

      wewe leo ungeniomba nikupe desa la nini kifanyik ekuliko kusema eti tusikujue chezeya vigori weye.

    12. #89
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,709
      Rep Power : 19049
      Likes Received
      1448
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By mbalu
      Erickb52 atapatwa na mfadhaiko kama tukimkataa wote hata wewe unamzibia? Bishanga mi uwe unakuja na kangara na kindi tu sitaki hayo ya mjini sijui maberber na top.
      Jaribu lakini ni pressure tu
      Erickb52 likes this.

    13. #90
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,270
      Rep Power : 50787
      Likes Received
      9191
      Likes Given
      14444

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Bishanga
      Zinduna mwenyewe baada ya bishanga kumpiga kibuti live on internet kaupwaka,amejifungia ndani analia.
      Zinduna nimjuaye au mwingine?
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    14. #91
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,270
      Rep Power : 50787
      Likes Received
      9191
      Likes Given
      14444

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By The secretary
      Jaribu lakini ni pressure tu
      The secretary huyu mbalu hamjui Bishanga aisee
      Mtoto akililia wembe mwache achezee ukimkata atajiju
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    15. #92
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,270
      Rep Power : 50787
      Likes Received
      9191
      Likes Given
      14444

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Asprin
      Nani anisutue? Mi mtu akinisuta kuna wa kunijibia mapigo. Yaani aliyeleta msuto atakula za uso toka wa wapenzi wangu na wajukuu zangu kibao. Mbele kuna BADILI TABIA, Kati kuna Yummy, Beki yuko cacico na golini yupo Kongosho mwenyewe. Chezeya ODM? Marefarii kuna gfsonwin na Roulette.
      Hahahahaaaa Asprin hii timu yako nimeipenda ingawa kuna wachezaji wako wengine pia wanausajiri kwenye kikosi changu cha burudani....Lol
      Asprin and Yummy like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    16. #93
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,270
      Rep Power : 50787
      Likes Received
      9191
      Likes Given
      14444

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By mbalu
      Erickb52 atapatwa na mfadhaiko kama tukimkataa wote hata wewe unamzibia? Bishanga mi uwe unakuja na kangara na kindi tu sitaki hayo ya mjini sijui maberber na top.
      Heheheheheeee angalia usije ukalia machozi ya damu maana huyo akikupa Vitz malipo yake ni noma na hana na wewe
      Atakupangisha foleni hadi ushangae
      Chezeya Bishanga weye
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    17. #94
      Sisimizi Shujaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2011
      Posts : 471
      Rep Power : 490
      Likes Received
      58
      Likes Given
      13

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      mjinga kaliwa

    18. #95
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Bishanga
      Mnajifahamu,wote ambao nimewasarandia,wote ambao nimewagonga,kuanzia leo siwajui msinijue.Tatizo lenu mkiniomba hela ya saluni nisiwape mnakimbilia kunisasambua jamvini,mnanchekesha.Narudia kusema mi na nyie basi,na hivyo vi vitz nilivyokununulieni chukua,na viwanja hata hati hizo chukueni,na zaabu nikiwaleteeni toka dubai chukueni,niliowaazima ipad zangu chukueni,niliokupeni ma samsung galaxy na mamiwani ya ray ban na police chukueni,na hiyo misaa ya cartier na gucci niliyokupeni chukua.Tatizo lenu wengi wenu mnasahau nilikokutoeni,kama wewe Zinduna ulikuwa sakapoko,huna mbele wala nyuma,viatu nilikufundisha mie kuvaa,leo unanata, kwenda ulaya kwako sasa ni sawa na kwena magomeni ,nimekusomesha kuanzia fom one shaban robeti hadi nikakupeleka Uk masters digrii,kazi benki kuu nimekutafutia mie,apartment upanga nimekununulia mie,wadogo zako bishanga ndo nimewatoa,sasa juzi gari suzuki vitara kukwama gereji nakwambia subiri kidogo nitakwenda kulipa ndo una panic na kukimbilia jf? Loh huna hata uso wa haya binti Said wewe,sasa utajibeba nione utaishije mjini.
      Nenda zangu Mynmar kuvuta kibinti cha ki Asia naambiwa wana adabu hawa na wanajua kutunza mme.
      Bishanga nakwambia nenda mwana kwenda, wala sitishiki, mwanaume gani unajisifu kwa vitu vidogo kama hivyo, ni bahati nzuri tu sijawahi kula vijisenti vyako, lau kama ningekuwa nimekula ungeniuwa kwa masimango........ Nenda kwa hao hao vibushuti wa Tandale kwa Mtalingongo wasiojua mizungu wala miungu.
      Na kwa taarifa yako hapa umechokoza moto na wallahi mwaka huu utakuwakia na utajibeba.

      Looooo mwanaume wewe huna hata uso na haya, kuja kujishembendua humu eti unabana pua ooo..Zinduna nimekusomesha kuanzia fom one shaban robeti hadi nikakupeleka Uk masters digrii,kazi benki kuu nimekutafutia mie,apartment upanga nimekununulia mie.... Nyoooo ..... ovyooo!

      Nakwambia koma, tena koma
      Katu usitake shari uso iweza
      Laiti ungekuwa nazo, wallahi usingezoza
      Uliona wapi, mchanga wa bahari ukafyatua tofali
      Kawatishe hao hao, Majununi, na hakika mziki wa Zinduna katu hutouweza

      Hiloooo! LOL

    19. #96
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Heheheheheeee angalia usije ukalia machozi ya damu maana huyo akikupa Vitz malipo yake ni noma na hana na wewe
      Atakupangisha foleni hadi ushangae
      Chezeya Bishanga weye
      Na wewe Erickb52, nishakuona na ushakunaku wako, ngoma si yako waipigia chapuo!
      Hivi nikuulize Bwana wewe, ni nani aliyekupa Umanju?
      Erickb52 and Yummy like this.

    20. #97
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Asprin
      Nani anisutue? Mi mtu akinisuta kuna wa kunijibia mapigo. Yaani aliyeleta msuto atakula za uso toka wa wapenzi wangu na wajukuu zangu kibao. Mbele kuna BADILI TABIA, Kati kuna Yummy, Beki yuko cacico na golini yupo Kongosho mwenyewe. Chezeya ODM? Marefarii kuna gfsonwin na Roulette.
      Asprin hao wote uliowataja, watakugeuka, mtu mwenyewe mchovu hivo, Haluuuuuu!
      Subiri msuto wako siku zijazo, "You are next!"

      Asprin likes this.

    21. #98
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : Yutong
      Posts : 2,570
      Rep Power : 1011
      Likes Received
      1599
      Likes Given
      1131

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Huyu mzee anazeeka vibaya hapa mjini hapamfai tena mrudisheni kijijini apunguze mawazo ya magari aliyohonga ila hana ubavu wa kuhonga yeye mwenyewe anaishi kwa kudra za mwenyezi hiyo jeuri anapata wapi ya kusomesha concubine masters wakati wajukuu zake kila uchao wanarudishwa ada.mmh

    22. #99
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7967
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By Zinduna
      Bishanga nakwambia nenda mwana kwenda,

      Nakwambia koma, tena koma
      Katu usitake shari uso iweza
      Laiti ungekuwa nazo, wallahi usingezoza
      Uliona wapi, mchanga wa bahari ukafyatua tofali
      Kawatishe hao hao, Majununi, na hakika mziki wa Zinduna katu hutouweza

      Hiloooo! LOL
      Darling Ziduna,mbona unazoza umesimama juu ya kitanda? Kaa basi na kisha ongea taratibu,mpaka majirani kina gfsowin wasikie?
      Erickb52 and Zinduna like this.

    23. #100
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7967
      Likes Given
      7506

      Default

      Na wewe Erickb52, nishakuona na ushakunaku wako, ngoma si yako waipigia chapuo!
      Hivi nikuulize Bwana wewe, ni nani aliyekupa Umanju?
      Erick,i told you! Kinakuwakia sasa,mi masikio nimetia pamba nasubiri amalize ku rap nimvute kwenye shuka.
      Erickb52 and Yummy like this.

    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...