Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

    Report Post
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 121
    1. #1
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8044
      Likes Given
      7565

      Default wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Mnajifahamu,wote ambao nimewasarandia,wote ambao nimewagonga,kuanzia leo siwajui msinijue.Tatizo lenu mkiniomba hela ya saluni nisiwape mnakimbilia kunisasambua jamvini,mnanchekesha.Narudia kusema mi na nyie basi,na hivyo vi vitz nilivyokununulieni chukua,na viwanja hata hati hizo chukueni,na zaabu nikiwaleteeni toka dubai chukueni,niliowaazima ipad zangu chukueni,niliokupeni ma samsung galaxy na mamiwani ya ray ban na police chukueni,na hiyo misaa ya cartier na gucci niliyokupeni chukua.Tatizo lenu wengi wenu mnasahau nilikokutoeni,kama wewe @Zinduna ulikuwa sakapoko,huna mbele wala nyuma,viatu nilikufundisha mie kuvaa,leo unanata, kwenda ulaya kwako sasa ni sawa na kwena magomeni ,nimekusomesha kuanzia fom one shaban robeti hadi nikakupeleka Uk masters digrii,kazi benki kuu nimekutafutia mie,apartment upanga nimekununulia mie,wadogo zako bishanga ndo nimewatoa,sasa juzi gari suzuki vitara kukwama gereji nakwambia subiri kidogo nitakwenda kulipa ndo una panic na kukimbilia jf? Loh huna hata uso wa haya binti Said wewe,sasa utajibeba nione utaishije mjini.
      Nenda zangu Mynmar kuvuta kibinti cha ki Asia naambiwa wana adabu hawa na wanajua kutunza mme.
      Last edited by Bishanga; 21st June 2012 at 12:55.
      Asprin, Kaizer, mtu chake and 9 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By cacico
      morning Erickb52, anajitia uboss kuwa eti kagawa tu, kumbe roho yamchonyota acha kabisa!
      Niko poa cacico
      Huyu mhaya naona anaewabip
      cacico likes this.

    4. #22
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By The secretary
      Ahahaaaaaa! le BISHANGA LE BASHAIJA FATAKI LA TANDALE Mbona unaleta mambo ya hausimami hausimiki hapa kalagabao umefulia wewe hautudai hatukudai kazi yako copy and paste nenda kaazime guta kwa ERICK52 ukambebe huyo m-asia wako
      Tena mwambie aje achukue bure kabisa sasa hivi....
      Halafu The secretary unateseka na haka kajamaa?

    5. #23
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By Kipipi
      Mmmh......mbona maneno mazito sana haya? Nawasubiri na wahusika waje....lol!!
      wewe Kipipi humo?
      Kipipi likes this.

    6. #24
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,724
      Rep Power : 19052
      Likes Received
      1456
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Bishanga
      Mnajifahamu,wote ambao nimewasarandia,wote ambao nimewagonga,kuanzia leo siwajui msinijue.Tatizo lenu mkiniomba hela ya saluni nisiwape mnakimbilia kunisasambua jamvini,mnanchekesha.Narudia kusema mi na nyie basi,na hivyo vi vitz nilivyokununulieni chukua,na viwanja hata hati hizo chukueni,na zaabu nikiwaleteeni toka dubai chukueni,niliowaazima ipad zangu chukueni,niliokupeni ma samsung galaxy na mamiwani ya ray ban na police chukueni,na hiyo misaa ya cartier na gucci niliyokupeni chukua.Tatizo lenu wengi wenu mnasahau nilikokutoeni,kama wewe Zinduna ulikuwa sakapoko,huna mbele wala nyuma,viatu nilikufundisha mie kuvaa,leo unanata, kwenda ulaya kwako sasa ni sawa na kwena magomeni ,nimekusomesha kuanzia fom one shaban robeti hadi nikakupeleka Uk masters digrii,kazi benki kuu nimekutafutia mie,apartment upanga nimekununulia mie,wadogo zako bishanga ndo nimewatoa,sasa juzi gari suzuki vitara kukwama gereji nakwambia subiri kidogo nitakwenda kulipa ndo una panic na kukimbilia jf? Loh huna hata uso wa haya binti Said wewe,sasa utajibeba nione utaishije mjini.
      Nenda zangu Mynmar kuvuta kibinti cha ki Asia naambiwa wana adabu hawa na wanajua kutunza mme.
      shimo la panya halizibwi kwa mkate babu.hivi ni jukwaa gani we unaweza kulihimili ikiwa la kule chini kabisa ulipofika tu kwa uchu wako ukapata concussion ya ile kitu

    7. #25
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,055
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Niko poa cacico
      Huyu mhaya naona anaewabip
      hivi huyu mhaya anafanya biashara gani haswa Erickb52??? isijekuwa anauza sembe akawapeleka watu darini bila sababu! lol!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,260
      Rep Power : 26195
      Likes Received
      2941
      Likes Given
      3797

      Default

      Quote By Erickb52
      wewe Kipipi humo?
      hahaha Erickb52 bana, we huoni watu wanataja gharama za saluni huko ilhali mie nina kipara cha wembe? Lol
      Erickb52 likes this.

    10. #27
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By cacico
      hivi huyu mhaya anafanya biashara gani haswa Erickb52??? isijekuwa anauza sembe akawapeleka watu darini bila sababu! lol!
      Hahahaa anaweza siunajua hawa hawaaminiki
      cacico likes this.

    11. #28
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By Kipipi
      hahaha Erickb52 bana, we huoni watu wanataja gharama za saluni huko ilhali mie nina kipara cha wembe? Lol
      Hahaha hata vitz inakuhusu..au hutumiagi?
      Kipipi likes this.

    12. #29
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      hata mm ambae ulifanya bure na hujawahi nipa kitu?
      Erickb52 likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    13. #30
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1761
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      ...anko@Bishanga bana,kumbe umepanic kweli...
      Erickb52 likes this.
      @@

    14. #31
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By mtu chake
      ...anko@Bishanga bana,kumbe umepanic kweli...
      Hahahahaa mtu chake huyu jamaa kashaanza kukata tamaa ya maisha maana anaongoza kwa kuwa na bahati mbaya
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    15. #32
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erotica
      hata mm ambae ulifanya bure na hujawahi nipa kitu?
      Erotica hiyo avatal yako inaua mbaya lol
      Erotica likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    16. #33
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Erotica hiyo avatal yako inaua mbaya lol

      teh teh teh. mwaaaaaah.
      Erickb52 likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    17. #34
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erotica
      teh teh teh. mwaaaaaah.
      Mwaaaaaaaalimu
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    18. #35
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1761
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Hahahahaa mtu chake huyu jamaa kashaanza kukata tamaa ya maisha maana anaongoza kwa kuwa na bahati mbaya
      ..akapate ushauri nasaha...maana anaweza kujitundika mjue...na yote hayo kasababisha. Zinduna
      Erickb52 likes this.
      @@

    19. #36
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,201
      Rep Power : 13073
      Likes Received
      14115
      Likes Given
      14976

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      He he he he, pole weee
      Kutesa kwa zamu, ulinimimina kwa kunisasambua
      Wamekutenda hao mamodo uliowakimbilia
      Ukasema nimezeeka sijui hata kula kwa uma na kisu.

      Pole zako, naijia picha yangu
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    20. #37
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By mtu chake
      ..akapate ushauri nasaha...maana anaweza kujitundika mjue...na yote hayo kasababisha. Zinduna
      Na ile show ya Zinduna itaharibu mambo mengi humu we acha tu plus Zunduna mwenyewe
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    21. #38
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erickb52
      Mwaaaaaaaalimu

      teh teh teh. kweli mamito Amy kakunyosha papito.

      unatamani lakini unaogopa kushibisha tamaa yako.
      Erickb52 likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    22. #39
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Kongosho
      He he he he, pole weee
      Kutesa kwa zamu, ulinimimina kwa kunisasambua
      Wamekutenda hao mamodo uliowakimbilia
      Ukasema nimezeeka sijui hata kula kwa uma na kisu.

      Pole zako, naijia picha yangu
      Shikamoo Kongosho
      Kongosho likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    23. #40
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,445
      Rep Power : 50822
      Likes Received
      9356
      Likes Given
      14588

      Default Re: wanawake wa jf kuanzia leo msinijue

      Quote By Erotica
      teh teh teh. kweli mamito Amy kakunyosha papito.

      unatamani lakini unaogopa kushibisha tamaa yako.
      Hahahahaaaaa Erotica bhana....tena amenipa probation isiyo na muda wa kuisha so napata shida sana
      Sijui nifunguke tu..lol
      Ngoja niwe na subira kwanza
      Erotica likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...