Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 54
    1. #1
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Jamani!...jamani!.,jamai!
      Ninahitaji kuvunja mahusiano na mwanandani wangu.(nadhani anajijua).Sababu ya kufanya hivyo ninayo,Nia ya kufanya hivyo ninayo,Uwezo pia ninao......enough is enough.Mama yangu Mammdenyi ntaomba ulizie hili haraka kabla hujanipoteza mwanao handsome boy,mwenye fedha mpaka naumwa.shemeji yangu Kijino itabidi ubariki hili kwakua unafahamu sababu zote,bestman Mu-sir itabidi ile shopingi tuliofanya kwaajili ya harusi tuanze kwenda kunywea bia mara tu ya ridha kutoka kwa mama yangu.pia junior .Cux unaombwa ukae tayari tayar kuanza kurudisha michango yote kwa wanakamati wangu wote,kwani baada ya ridha hakuna ndoa tena.wale mashankupe jiandaeni kushangiria nafas zenu kuwa nyeupe.NIMETAFAKARI SANA NIMEGUNDUA TATIZO NI HUU UHUSIANO,NIMEAMUA KUACHIA NGAZI,mama nakusubir mwanao utoe ridha
      platozoom likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Junior. Cux's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 586
      Likes Received
      153
      Likes Given
      24

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      hahahahahahaha yamekukuta yapi tena, tulikwambia sisi.. mi ela sirudishi, kwanza ngoja nkakae mahari sa hizi..

    4. #3
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,106
      Rep Power : 13053
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      nina bahati, nilikuwa sijalipia ukumbi, vinywaji na chakula, natokomea nazo.

      Bye bye, ulichumbia kicheche badala ya sungura?

    5. #4
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,045
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      3439

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      ......... ............ ........... ...........
      Do Something......

    6. #5
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Junior. Cux
      hahahahahahahayamekukuta yapi tena, tulikwambia sisi.. mi ela sirudishi, kwanza ngoja nkakae mahari sa hizi..
      unacheka!...unawezeje kulicheka jiwe?

      kama unanjaa ya hela we kazinywe,ila kwa jeur ya fedha nilizonazo mimi ntakuja na plain chequer iliyo andikwa jina lako tu alafu wewe utaniambia niandike kias gani,jiandae...mkao wa kula

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Junior. Cux
      hahahahahahaha yamekukuta yapi tena, tulikwambia sisi.. mi ela sirudishi, kwanza ngoja nkakae mahari sa hizi..
      u mean a place o bride price????

    9. #7
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Kongosho
      nina bahati, nilikuwa sijalipia ukumbi, vinywaji na chakula, natokomea nazo.

      Bye bye, ulichumbia kicheche badala ya sungura?
      bora ya kicheche,nilichumbia nguchiro!......kuhusu fedha nyie tumieni nimewasiliana na Junior aniletee orodha alafu kila aliye weka kamchango kake ntamlipa mara 3 ya alizotoa awali.don't worry!

    10. #8
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,121
      Rep Power : 28889
      Likes Received
      11619
      Likes Given
      4783

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Sasa huyo unayetaka kumuacha ana nafuu, market imejaa vicheche sungura hakuna mjini. Gangamala kaka!

    11. #9
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Ooooh! Ngoja niwahi kuongea na voda wanirudishie mpesa yangu niliyotuma

    12. #10
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By TANMO
      ......... ............ ........... ...........
      angalia nisije nkakutwanga na not za dola maana nina hasira na stress kibao,mtu leo atakaye niuzi tu nazama mfukoni namwandikia chek kias chochote atakacho,be care oohooo!

    13. #11
      jouneGwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Location : Studio
      Posts : 2,340
      Rep Power : 968
      Likes Received
      1311
      Likes Given
      1755

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Niliyajua haya ndio maana kadi ya mchango ilipokuja nikawapa masela wavutie bangi.......

      Nikasema "hapa hamna muoaji wala muolewaji" lol

    14. #12
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Comi
      Ooooh! Ngoja niwahi kuongea na voda wanirudishie mpesa yangu niliyotuma
      tulia!...nimesema ntarudisha mara 3 kwa yeyote aliye changia ebo!

    15. #13
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By King'asti
      Sasa huyo unayetaka kumuacha ana nafuu, market imejaa vicheche sungura hakuna mjini. Gangamala kaka!
      hiv upo single?au?....ngoja nitume wachunguzi wangu wakufanyie uchunguzi then mama yangu akupigie kura huwenda ikawa kufa kufaana

    16. #14
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      tulia!...nimesema ntarudisha mara 3 kwa yeyote aliye changia ebo!
      mngoja nikapige monde 3 kwanza halafu nilianzishe,hawezi kutuaibisha mchana hivi

    17. #15
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Comi
      mngoja nikapige monde 3 kwanza halafu nilianzishe,hawezi kutuaibisha mchana hivi
      hayo ndio maneno.ngoja na wewe nikuandalie plain cheque niandike jinala lako tu alafu utaniambia niandike kiasi gani kitakacho kutosha

    18. #16
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      mamaaaaa...,mama.mama yangu Mammdenyi upo wapi nakurubiri kwa hamu!

    19. #17
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      poole!

    20. #18
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By charminglady
      poole!
      we acha tu, hivi namsubiria mama yangu mzazi Mamndenyi ,aje apitishe maamuzi yangu na iwe taraka kamili,from there ntakua empty magazine

    21. #19
      Kijino's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 471
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      134
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      Jamani!...jamani!.,jamai!
      Ninahitaji kuvunja mahusiano na mwanandani wangu.(nadhani anajijua).Sababu ya kufanya hivyo ninayo,Nia ya kufanya hivyo ninayo,Uwezo pia ninao......enough is enough.Mama yangu Mammdenyi ntaomba ulizie hili haraka kabla hujanipoteza mwanao handsome boy,mwenye fedha mpaka naumwa.shemeji yangu Kijino itabidi ubariki hili kwakua unafahamu sababu zote,bestman Mu-sir itabidi ile shopingi tuliofanya kwaajili ya harusi tuanze kwenda kunywea bia mara tu ya ridha kutoka kwa mama yangu.pia junior .Cux unaombwa ukae tayari tayar kuanza kurudisha michango yote kwa wanakamati wangu wote,kwani baada ya ridha hakuna ndoa tena.wale mashankupe jiandaeni kushangiria nafas zenu kuwa nyeupe.NIMETAFAKARI SANA NIMEGUNDUA TATIZO NI HUU UHUSIANO,NIMEAMUA KUACHIA NGAZI,mama nakusubir mwanao utoe ridha
      kwani kimetokea nn tena shemeji? Mbona hvyo wataka nliza? Na hzo nguo za maharuc nilizoagiza atavaa nani? Mana nimeagiza uingereza nanimeshalipia, nextwk zaja, jamani hebu 2juze kulikoni?

    22. #20
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Kijino
      kwani kimetokea nn tena shemeji? Mbona hvyo wataka nliza? Na hzo nguo za maharuc nilizoagiza atavaa nani? Mana nimeagiza uingereza nanimeshalipia, nextwk zaja, jamani hebu 2juze kulikoni?
      Shemeji kilichotokea na kinachoendelea kutoka unakijua sana tena kuliko hata mimi.na nikikubwa zaidi kuliko hata hzo gharama za nguo za harus kupotea,usijal orodhesha gharama kisha unijulishe ni kias gani mim ntalipa mara 3.Lakn unafahamu sana juu ya kinacho endelea,wala usilie shemeji yangu

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...