Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 54
    1. #1
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Jamani!...jamani!.,jamai!
      Ninahitaji kuvunja mahusiano na mwanandani wangu.(nadhani anajijua).Sababu ya kufanya hivyo ninayo,Nia ya kufanya hivyo ninayo,Uwezo pia ninao......enough is enough.Mama yangu Mammdenyi ntaomba ulizie hili haraka kabla hujanipoteza mwanao handsome boy,mwenye fedha mpaka naumwa.shemeji yangu Kijino itabidi ubariki hili kwakua unafahamu sababu zote,bestman Mu-sir itabidi ile shopingi tuliofanya kwaajili ya harusi tuanze kwenda kunywea bia mara tu ya ridha kutoka kwa mama yangu.pia junior .Cux unaombwa ukae tayari tayar kuanza kurudisha michango yote kwa wanakamati wangu wote,kwani baada ya ridha hakuna ndoa tena.wale mashankupe jiandaeni kushangiria nafas zenu kuwa nyeupe.NIMETAFAKARI SANA NIMEGUNDUA TATIZO NI HUU UHUSIANO,NIMEAMUA KUACHIA NGAZI,mama nakusubir mwanao utoe ridha
      platozoom likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      hayo ndio maneno.ngoja na wewe nikuandalie plain cheque niandike jinala lako tu alafu utaniambia niandike kiasi gani kitakacho kutosha
      hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
      castle lite 10
      mguu wa nyuma wa mbizi
      ndizi 4
      bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina

    4. #22
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Comi
      hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
      castle lite 10
      mguu wa nyuma wa mbizi
      ndizi 4
      bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina
      ngoja nikaprove kwenye orodha ya junior .Cux then nakuja kuclear

    5. #23
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Comi
      hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
      castle lite 10
      mguu wa nyuma wa mbizi
      ndizi 4
      bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina
      ngoja nikaprove kwenye orodha ya junior .Cux then nakuja kuclear

    6. #24
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,996
      Rep Power : 8273
      Likes Received
      2694
      Likes Given
      3669

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Kuachwa kuachwa aa
      kuachwa ni shughuli pevu

      Mbaya zaidi kwa yule uliyempenda wewe unakonda yeye ananenepa..

      (Source mapacha watatu)
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    7. #25
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By platozoom
      Kuachwa kuachwa aa
      kuachwa ni shughuli pevu

      Mbaya zaidi kwa yule uliyempenda wewe unakonda yeye ananenepa..

      (Source mapacha watatu)
      haya sasa!.....unafuraha mpaka unavibrate,wewe!wewe kiumbe wewe!,wewe.....we ngoja


    8. #26
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,996
      Rep Power : 8273
      Likes Received
      2694
      Likes Given
      3669

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Quote By Ruhazwe JR
      haya sasa!.....unafuraha mpaka unavibrate,wewe!wewe kiumbe wewe!,wewe.....we ngoja
      ubaya uliuanza zamani wakati ungali mdogo
      Haya unayoyafanya sasa si ajabu duniani

      (source DDC Mlimani park)
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    9. #27
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 817
      Rep Power : 561
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Kongosho
      ulichumbia kicheche badala ya sungura?
      mh hapo mbona ni pipa na mfuniko

    10. #28
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,266
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      232

      Default

      Quote By TANMO
      ......... ............ ........... ...........
      !!!!!!!!!!!????????????

    11. #29
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      ngoja nikaprove kwenye orodha ya junior .Cux then nakuja kuclear
      du ila najua network itakuwa ina load mda mrefu hivyo mpaka kuipata itakuwa kesho

    12. #30
      Kijino's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 471
      Rep Power : 1327
      Likes Received
      134
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      Shemeji kilichotokea na kinachoendelea kutoka unakijua sana tena kuliko hata mimi.na nikikubwa zaidi kuliko hata hzo gharama za nguo za harus kupotea,usijal orodhesha gharama kisha unijulishe ni kias gani mim ntalipa mara 3.Lakn unafahamu sana juu ya kinacho endelea,wala usilie shemeji yangu
      wala cjui chochote shemeji, me hata hzo gharama nitasamehe, unanicngiziaga, me nataka 2 kujua kilichotokea, au ndo mana mamaa kasafiri gafla? Mana katwambia naenda TA kupumzisha akili kabla ya haruc, au ndo kakukimbia kijanja? Ntalia mimi iiiiiiiiwwaaaaaaaaahhiiiiiii

    13. #31
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,035
      Rep Power : 7215
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      12

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Mbona mapema kiivyo?
      It means a big fault occured ? Kulikoni ?

    14. #32
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Kijino
      wala cjui chochote shemeji, me hata hzo gharama nitasamehe, unanicngiziaga, me nataka 2 kujua kilichotokea, au ndo mana mamaa kasafiri gafla? Mana katwambia naenda TA kupumzisha akili kabla ya haruc, au ndo kakukimbia kijanja? Ntalia mimi iiiiiiiiwwaaaaaaaaahhiiiiiii
      usilie bwana,nyamaza nikuambie japo unajua,we huoni hata mama kalala mbele?

    15. #33
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By platozoom
      ubaya uliuanza zamani wakati ungali mdogo
      Haya unayoyafanya sasa si ajabu duniani

      (source DDC Mlimani park)
      jamani!nishikeni nisije kumpasua huyu,hujui kama ninastress

    16. #34
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By by default
      mh hapo mbona ni pipa na mfuniko
      my God!..... by default hata wewe?

    17. #35
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Unakumbuka tulikuambia huyo demu hafai ukadai tunakuonea gere??!

      Hujiulizi kwanin ukinipigia simu unasikia wimbo "Huyo Sio Demu" wa Abdul Kiba feat. Ney??!!

      Kwa taarifa yako tabia za huyo demu, Wema "anasubiri" kando.
      KARIA and Ruhazwe JR like this.

    18. #36
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Mh! Mie sisemi nisije kuwa shehata
      Ruhazwe JR likes this.

    19. #37
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,523
      Rep Power : 50837
      Likes Received
      9423
      Likes Given
      14588

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Ruhazwe jr pole sn ila najua wenye kukufitini wapo humu humu
      Pia Madame B ni kwa ajili ya heat and run nilishangaa unaoa lol
      Nawewe ulichemsha kweli
      Ruhazwe JR likes this.

    20. #38
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,523
      Rep Power : 50837
      Likes Received
      9423
      Likes Given
      14588

      Default

      Quote By Comi
      Mh! Mie sisemi nisije kuwa shehata
      Sema tu Comi
      Ruhazwe JR likes this.

    21. #39
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: Ninahitaji kuvunja mahusiano,enough is enough!

      Unaweza toa neno kumbe wanataka kufunga ndoa ya maandazi kimya kimya baadae upate aibu,michango yetu ndiyo watafanyia mradi wao
      Ruhazwe JR likes this.

    22. #40
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Shark
      Unakumbuka tulikuambia huyo demu hafai ukadai tunakuonea gere??!

      Hujiulizi kwanin ukinipigia simu unasikia wimbo "Huyo Sio Demu" wa Abdul Kiba feat. Ney??!!

      Kwa taarifa yako tabia za huyo demu, Wema "anasubiri" kando.
      dah! Siunajua sie vizazi vya tomaso ndugu yangu,hatuamin mpaka tumeona kwa macho

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...