Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

    Report Post
    Page 1 of 15 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 298
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11045
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!



      Erickb52
      katika pozi

      Sublakheri wapenzi wasomaji wa JF, kwa wale ndugu zangu wakristo nasema Bwana Yesu asifiwe sana na wale ndugu zangu wengine Wapagani nawasalimia kwa kikwetu “Mizimu ya tate ikagone”

      Haya tena leo mjengoni nipo na ndugu yetu, jamaa yetu, rafiki yetu na kibuzi chetu Erickb52. Mahojiano yangu na Erickb52 yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Erickb52 swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi na mbili ambayo ningependa kumuuliza Erickb52:

      1. Je umezaliwa awamu ipi ya utawala katika nchi yetu?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
      3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi, na kama hujaoa, ina maana huna hata kabinti ka kuchombeza?
      4. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
      5. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      6. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
      7. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      8. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      9. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
      10. Ukipata fursa ya kupata staftahi na Preta, utamshauri kitu gani?
      11. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
      12. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Bwana Erickb52 atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana


    2. #2
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14717
      Likes Given
      22280

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Kabla Erickb52 hajajibu maswali yako, hebu tuambie Bi Zinduna, hapa we na Erotica ilikuwaje mkaingia choo cha kiume?

      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    3. #3
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Asprin View Post
      Kabla Erickb52 hajajibu maswali yako, hebu tuambie Bi Zinduna, hapa we na Erotica ilikuwaje mkaingia choo cha kiume?



      teh teh teh..
      Asprin and Mamndenyi like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    4. #4
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11045
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Asprin View Post
      Kabla Erickb52 hajajibu maswali yako, hebu tuambie Bi Zinduna, hapa we na Erotica ilikuwaje mkaingia choo cha kiume?

      Asprin kuna muhuni alibadilisha kibao cha maelekezo, tukajikuta tumepotea..........
      Haya muulize Erickb52 maswali ya nyongeza.................
      Asprin, figganigga and Mamndenyi like this.

    5. #5
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Hayo maswali hayajakamilika. Hujui Eric alisha come this way

      kwa Ero tukabanjua wiki nzima? au hugusii mmeweka siri?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!



    6. #6
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11045
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      wapenzi wa Zinduna Talk Show msione kimya, Erickb52 anajipiga na VALUU kabla ya kutika chumba cga mahojiano maana anajua leo kiti hiki ni cha moto, wadau wamempania sana sasa anatafuta mbinu ya kujihami mapemaaaa.
      Mamndenyi and Young Master like this.

    7. #7
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11045
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Erotica View Post
      Hayo maswali hayajakamilika. Hujui Eric alisha come this way

      kwa Ero tukabanjua wiki nzima? au hugusii mmeweka siri?
      Erotica ndio maana nikaacha nafasi ya maswali ya nyongeza, sasa unadhani nikiuliza kila swali wapenzi wa kipindi hiki watauliza nini?
      Mamndenyi and Erotica like this.

    8. #8
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14717
      Likes Given
      22280

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Zinduna View Post
      Asprin kuna muhuni alibadilisha kibao cha maelekezo, tukajikuta tumepotea..........
      Haya muulize Erickb52 maswali ya nyongeza.................
      Sawa ndugu mtangazaji....Baada ya kupigwa chini na huyu bibie Yummy, Mheshimiwa Erickb52 uliamua kuweka mgomo na kuhamia rodini






      Utarudi lini nyumbani kwako, nasikia Erotica anamtesa sana mwanao eti

      Mentor, afrodenzi, KARIA and 3 others like this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    9. #9
      Tangopori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 437
      Rep Power : 445
      Likes Received
      108
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Asprin View Post
      Sawa ndugu mtangazaji....Baada ya kupigwa chini na huyu bibie Yummy, Mheshimiwa Erickb52 uliamua kuweka mgomo na kuhamia rodini






      Utarudi lini nyumbani kwako, nasikia Erotica anamtesa sana mwanao eti

      kwi kwi kwi kwi.
      Asprin and Mamndenyi like this.

    10. #10
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Asprin View Post
      Kabla Erickb52 hajajibu maswali yako, hebu tuambie Bi Zinduna, hapa we na Erotica ilikuwaje mkaingia choo cha kiume?

      Lol lol mtu wangu ameanzaaaa
      Asprin likes this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    11. #11
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Asprin View Post
      Sawa ndugu mtangazaji....Baada ya kupigwa chini na huyu bibie Yummy, Mheshimiwa Erickb52 uliamua kuweka mgomo na kuhamia rodini


      Wewe naona umeanza kuwa kama Bishanga sasa, kazi kuvunja nyumba za watu,hamchokii??? Usinigombanishe na Amyner mie staki shariiiiii
      Asprin likes this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    12. #12
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,471
      Rep Power : 35823
      Likes Received
      6880
      Likes Given
      21098

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      ndo nini kumuuliza mtoto wa mwenzio maswali magumu kama haya:

      4. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
      5. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      6. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?

      Ameshakimbia mtihani.
      Yummy and Zinduna like this.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    13. #13
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,471
      Rep Power : 35823
      Likes Received
      6880
      Likes Given
      21098

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Erickb52
      uko wapiiiiiiiiiiiiiii?
      Mwanyasi likes this.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    14. #14
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,063
      Rep Power : 17576
      Likes Received
      5013
      Likes Given
      5763

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Erickb52 angalia valuu zisikuzie ukawa unajibu vise versa!
      Zinduna likes this.

    15. #15
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default

      Tobaaaaaaa tena wanakojoa huku wamesimama....



      Quote By Asprin View Post
      Kabla Erickb52 hajajibu maswali yako, hebu tuambie Bi Zinduna, hapa we na Erotica ilikuwaje mkaingia choo cha kiume?


    16. #16
      Mwanyasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Karibu na wewe
      Posts : 1,059
      Rep Power : 845
      Likes Received
      505
      Likes Given
      987

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Haya maswali kwa Erickb52 rahisi sana, ngoja aje nione mwelekeo wa majibu yake ili eiza nimuulize au nimsaidie kujibu! Njoo Mamndenyi na sweetlady pia
      sweetlady likes this.
      "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki

    17. #17
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11045
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Bado Erickb52 anajipanga kabla ya kutia maguu anga hizi.
      Kuna swali nilizahau kumuuliza Erickb52:

      Hifii, ulipokwenda kwa ka-haba ulikwenda kwa kunyataaa au ulikwenda Vap~~~~~~~?
      Last edited by Zinduna; 16th June 2012 at 11:42.
      afrodenzi likes this.

    18. #18
      Mwanyasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Karibu na wewe
      Posts : 1,059
      Rep Power : 845
      Likes Received
      505
      Likes Given
      987

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Mamndenyi View Post
      ndo nini kumuuliza mtoto wa mwenzio maswali magumu kama haya:

      4. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
      5. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
      6. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?

      Ameshakimbia mtihani.
      Lol kumbe ulikuja, naona post yangu ilikamatwa na Kongosho
      "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki

    19. #19
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      ericB52 :-

      - umewahi kufumaniwa?
      - umewahi kukataa mimba ngapi?
      - wewe na wasichana wako mshachoropoa mimba ngapi?
      - ushawahi kutembea na demu wa rafiki yako?
      - umeajiriwa?
      - ushawahi kugonga demu wa ofisini kwenye choo cha ofisi?
      - ushawahi kumla bosi wako wa kike?
      - ushawahi kutembea na jimama aka jibibi?
      - ushawahi kujivinjari threesome?
      - ushamcheat amyner mara ngapi? Na nani?
      afrodenzi, Yummy and Zinduna like this.

    20. #20
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14717
      Likes Given
      22280

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Erickb52~~~~!

      Quote By Yummy View Post
      Lol lol mtu wangu ameanzaaaa
      Hahahaha........... umeamkaje Yummy? Umefanya mazoezi au nije nikusaidia? Naona ushaniita mtu wako, na mtu wako mie nna aleji na vitambi.


      Umeona enzi zangu na Mtambuzi? Kipindi hicho tulikuwa bado tuna sura ya Mungu



      Huyu Erickb52 alikuwa bado kuzaliwa. Afu we Zinduna.... mbona huyu kijana haji kujibu maswali yetu?
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    Page 1 of 15 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...