Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 93
    1. #1
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Angry Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Jamani Napata tabu kuelewa ...ukizingatia nishakula chumvi nyingi sana
      Wanamanisha nini unamsalimia mtu kwa kumshika mkono harafu anakutekenya katikati ya kiganja??

      Nimeuliza hivi kwa mshangao ni baada ya kukutana nayo katika namna tofauti tofauti...hasa ukizingatia mie ni mama mwenye nyumba na pete kubwa kidoleni kuwa nina hati miliki tayari..

      1.Tukio la kwanza Nikiwa natoka church nashikana mkono na mtumishi aliyetulisha neno la mungu kama siku zote tunavyofanya enendeni na amani ya bwana ..akafanya kitendo hiki....

      2. Baba ninayemheshimu sana akiwa na mama watoto wake wote nimewasalimia kwa kuwashika mikono nikakutana na kitendo hiki....

      3.Nikiwa na mheshimiwa Rais kwenye ziara moja mtu mmoja ngazi za kuheshimika akafanya kitendo hiki..

      4.Na mtu aliyenifanya niulize zaidi ..mie nimepishana na -Boss ninayemheshimi akafanya kitendo hiki...

      ****************** Ni Nini?***********************
      jmushi1, Asprin, FP and 4 others like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma


    2. #2
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14709
      Likes Given
      22280

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Nami naomba nikuulize kibongobongo (dawa ya moto ni moto)

      Wakati unatekenywa katikati ya kiganja:
      1. Ulijisikiaje?
      2. Uliwaambia nini walokushika?
      3. Ulikuwa umevaaje?
      4. Kikojoleo kilifanyaje?

      Baada ya kusema hayo, hebu twende PM ukanifahamishe kama bado unatamani kutekenywa.

      Hitimisho: Usiwape wanaume mkono wako kama mikono yao inakukera. Au akikutekenya nawe hutaki mtemee mate usoni.

      Jibu la swali lako:
      Wanaume tunatekenya katikati ya viganja kama ishara ya kukutongoza. Ukikaa kimya tunaamini tumekubaliwa tongozo letu. Na ili mwanaume akutekenye anakuwa kishajiridhisha kuwa atakubaliwa tongozo lake. Na mwanamke anapokaa kimya.

      CHUKUA TAHADHARI.... Ngono Elimu.
      Kaizer, Mentor, FirstLady1 and 6 others like this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    3. #3
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,963
      Rep Power : 15152
      Likes Received
      7379
      Likes Given
      7054

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      hao wanaitwa mabazazi FirstLady1......siwapendi kama nini.....
      FirstLady1 likes this.
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    4. #4
      WiseLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2010
      Location : church
      Posts : 3,221
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      418
      Likes Given
      744

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Preta View Post
      hao wanaitwa mabazazi FirstLady1......siwapendi kama nini.....
      watu wa aina hii wanakera sana lkn kama ODM alivyosema dawa ni kuwaambia ukweli kuonyesha kuwa hujapenda hicho kitendo.
      Asprin, FirstLady1, Preta and 2 others like this.
      The beauty of GOD is beyond description


    5. #5
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,435
      Rep Power : 35816
      Likes Received
      6850
      Likes Given
      21054

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Wana tabia mbaya,
      hivi kweli na huyo mtumishi inakuwaje,
      siku ukiwa na mume wako mwambie ili
      naye akaungamanishwa sala ya toba,

      Pole dada.
      FirstLady1 likes this.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA


    6. #6
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14709
      Likes Given
      22280

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By WiseLady View Post
      watu wa aina hii wanakera sana lkn kama ODM alivyosema dawa ni kuwaambia ukweli kuonyesha kuwa hujapenda hicho kitendo.
      Kwanini siku hizi hunimisi kama zamani? Ndo nshakuwa kumoyo au?
      WiseLady likes this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    7. #7
      WiseLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2010
      Location : church
      Posts : 3,221
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      418
      Likes Given
      744

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Asprin View Post
      Kwanini siku hizi hunimisi kama zamani? Ndo nshakuwa kumoyo au?
      mimi na wewe tena! graph ya upendo ndo inazidi kupaa! ndiyo maana nimechungulia hapa kama na wewe unatakenyaga viganja...
      Asprin likes this.
      The beauty of GOD is beyond description


    8. #8
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14709
      Likes Given
      22280

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By WiseLady View Post

      mimi na wewe tena! graph ya upendo ndo inazidi kupaa! ndiyo maana nimechungulia hapa kama na wewe unatakenyaga viganja...
      Hahahaha.......... ushasahau mi ni mkaguzi wa manyonyo?

      Ntekenye viganja kwani mie mtoto? BTW habari ya Mwanza? Mnaendeleaje? Msalimie mchumba wako.
      WiseLady likes this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    9. #9
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,963
      Rep Power : 15152
      Likes Received
      7379
      Likes Given
      7054

      Default

      Quote By WiseLady View Post
      watu wa aina hii wanakera sana lkn kama ODM alivyosema dawa ni kuwaambia ukweli kuonyesha kuwa hujapenda hicho kitendo.
      halafu wewe....kwa nini nakuita kwenye redio koli huitiki....
      WiseLady likes this.

    10. #10
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : NYATWALI
      Posts : 2,807
      Rep Power : 11222
      Likes Received
      1744
      Likes Given
      1250

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      hao wana mapepo ya ngono kwa siku anashikana mikono na wanawake wangapi na anawatekenya wangapi,hata mimi siyapendi majitu kama haya mengine unayaheshimu kabisa
      FirstLady1 likes this.
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    11. #11
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Asprin View Post
      Nami naomba nikuulize kibongobongo (dawa ya moto ni moto)

      Wakati unatekenywa katikati ya kiganja:
      1. Ulijisikiaje?
      2. Uliwaambia nini walokushika?
      3. Ulikuwa umevaaje?
      4. Kikojoleo kilifanyaje?

      Baada ya kusema hayo, hebu twende PM ukanifahamishe kama bado unatamani kutekenywa.

      Hitimisho: Usiwape wanaume mkono wako kama mikono yao inakukera. Au akikutekenya nawe hutaki mtemee mate usoni.

      Jibu la swali lako:
      Wanaume tunatekenya katikati ya viganja kama ishara ya kukutongoza. Ukikaa kimya tunaamini tumekubaliwa tongozo letu. Na ili mwanaume akutekenye anakuwa kishajiridhisha kuwa atakubaliwa tongozo lake. Na mwanamke anapokaa kimya.

      CHUKUA TAHADHARI.... Ngono Elimu.
      Asprin Unajua mtu anafanya hivo yaani maeneo ambayo to be honest kwa sababu kila mtu inatokea mara moja moja
      kanisani tunatoka watu wengi mnapeana mikoni kafanya hivo nikatoa mkono nikaondoka..kumbe ningesema Pepo mchafu toka ?
      Huyo mwingine niko na husband nilifedheheka na mama watoto wake yupo ..Nipe jibu ningesema nini hapo?
      Huyo Boss tuko koridoni tunaingia ofisini wengi tu ndo akafanya hivo nimetoa mkono na kuingia ofisini ..Kilichobakia kama ndo hivo ni kuanza kuwapa vifungu vya biblia tu ..Nimechoka
      harafu Babu hiyo namba nne mbona swali la hivo tena ni Juu ya nini khaaaaaaaaaaaaa!
      Asprin and Mentor like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    12. #12
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Preta View Post
      hao wanaitwa mabazazi FirstLady1......siwapendi kama nini.....
      harafu babu Asprin ananisema mazingira yanayotokea ni ya kutotegemea kama hili jamaa linaweza nifanyie hivi
      Asprin likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    13. #13
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By WiseLady View Post
      watu wa aina hii wanakera sana lkn kama ODM alivyosema dawa ni kuwaambia ukweli kuonyesha kuwa hujapenda hicho kitendo.
      WiseLady hivi kuna mtu amekuzuia kuingia JF ?
      Mbona unapotea namna hii
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    14. #14
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Mamndenyi View Post
      Wana tabia mbaya,
      hivi kweli na huyo mtumishi inakuwaje,
      siku ukiwa na mume wako mwambie ili
      naye akaungamanishwa sala ya toba,

      Pole dada.

      Asante sana Mamndenyi nina wasi wasi Babu A anatabia kama hizi
      Mamndenyi likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    15. #15
      WiseLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2010
      Location : church
      Posts : 3,221
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      418
      Likes Given
      744

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Asprin View Post
      Hahahaha.......... ushasahau mi ni mkaguzi wa manyonyo?

      Ntekenye viganja kwani mie mtoto? BTW habari ya Mwanza? Mnaendeleaje? Msalimie mchumba wako.
      hahaha nisahau vipi wakati ukaguzi ulishapita au kuna awamu mpya? na huko MZA huko ulinipeleka lini? hahaha

      Quote By Preta View Post
      halafu wewe....kwa nini nakuita kwenye redio koli huitiki....
      Mhandisi radio koli ilikuwa inasumbua lkn sasa nimebadili frequency,nasubiri taarifa
      Asprin and Mamndenyi like this.
      The beauty of GOD is beyond description


    16. #16
      WiseLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2010
      Location : church
      Posts : 3,221
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      418
      Likes Given
      744

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By FirstLady1 View Post
      WiseLady hivi kuna mtu amekuzuia kuingia JF ?
      Mbona unapotea namna hii
      FL1,kwanza pole kwa kutekenywa lol,mimi JF nipo kila wakati ila tu huu uzi umenitekenya nikaamua kuandika kdg
      FirstLady1 and Mamndenyi like this.
      The beauty of GOD is beyond description


    17. #17
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14709
      Likes Given
      22280

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By FirstLady1 View Post
      harafu babu Asprin ananisema mazingira yanayotokea ni ya kutotegemea kama hili jamaa linaweza nifanyie hivi
      We mama wa Kwanza, sema tu ukweli mijamaa ikikutekenya kikojoleo kinapata mhemko, adhawazi ungeshaenda TAMWA au TAWLA kushtaki.

      Quote By WiseLady View Post
      hahaha nisahau vipi wakati ukaguzi ulishapita au kuna awamu mpya? na huko MZA huko ulinipeleka lini? hahaha
      Sorry nlichanganya mambo, kumbe uko Kigoma. Msalimie basi huyo unayelala naye uchi bila kutenda dhambi.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    18. #18
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,963
      Rep Power : 15152
      Likes Received
      7379
      Likes Given
      7054

      Default

      Quote By WiseLady View Post
      hahaha nisahau vipi wakati ukaguzi ulishapita au kuna awamu mpya? na huko MZA huko ulinipeleka lini? hahaha



      Mhandisi radio koli ilikuwa inasumbua lkn sasa nimebadili frequency,nasubiri taarifa
      nitakucheki kwenye USB mida mida...si vizuri ujue....
      Asprin, WiseLady and Mamndenyi like this.

    19. #19
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Quote By Asprin View Post
      We mama wa Kwanza, sema tu ukweli mijamaa ikikutekenya kikojoleo kinapata mhemko, adhawazi ungeshaenda TAMWA au TAWLA kushtaki.


      Sorry nlichanganya mambo, kumbe uko Kigoma. Msalimie basi huyo unayelala naye uchi bila kutenda dhambi.
      yaani Babu Asprin hahahaha mbona unanilzamisha ? ndo maana nimekuja hapa kupata ushauri before kwenda kwa Tamwa kumshitaki baba Paroko

      Naleta mashitaka kwako unisaidie....Ni week ya tatu sasa ...
      Asprin and Mamndenyi like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    20. #20
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default Re: Hivi baadhi ya hawa wanaume huwa wanamaanisha nini???

      Hiyo ni hatua ya kwanza katika kukutongoza,kwani ukitabasamu tu umempa nyenzo na nguvu ya kukutokea vizuri ila ukikunja ndita maana yake ni kuwa umechukia kile kitendo, punguza kuuza sura,muuzie mumeo,au unawatega?
      KARIA and Mamndenyi like this.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...