Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimechokaaa!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default Nimechokaaa!

      hamjamboni wanaCC
      dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
      platozoom and cacico like this.


    2. #2
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,121
      Rep Power : 14538
      Likes Received
      6475
      Likes Given
      5043

      Default Re: Nimechokaaa!

      charminglady katika vitu amabvyo huwa vinaniboa ni hivyo! coz harusi yangu sikuchangisha mtu, mishahara yetu ilikuwa enough, harusi ya watu 25, ndugu wa karibu na friends wake 3, na wangu 3. nice venue, chakula kizuri, kunywa mpaka tambaa! sasa leo iweje unichengishe hadi kipaimara!?? vinakeraaaaaaaaaaa, na wananijua kuwa SIPENDI!
      mtu chake and charminglady like this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    3. #3
      golden lady's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By charminglady View Post
      hamjamboni wanaCC
      dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
      Du pole hiyo kali
      charminglady likes this.

    4. #4
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 458
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Nimechokaaa!

      Kasheshe...mwambie utamchangia kimawazo zaidi

    5. #5
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimechokaaa!

      Na mbaya zaidi ni birthday ya mtoto, huko ni kutafuta mitaji kupitia migongo ya watu
      charminglady likes this.


    6. #6
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default

      Quote By cacico View Post
      charminglady katika vitu amabvyo huwa vinaniboa ni hivyo! coz harusi yangu sikuchangisha mtu, mishahara yetu ilikuwa enough, harusi ya watu 25, ndugu wa karibu na friends wake 3, na wangu 3. nice venue, chakula kizuri, kunywa mpaka tambaa! sasa leo iweje unichengishe hadi kipaimara!?? vinakeraaaaaaaaaaa, na wananijua kuwa SIPENDI!
      yan nataman nikajifiche cjui wapi. afu ukizingatia ni jiran nyumba ya pili. cwez kukwepa.me b-day yang july watachangaje
      http://www.jamiiforums.com
      cacico likes this.

    7. #7
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default

      Quote By golden lady View Post
      Du pole hiyo kali
      thnx but nw days imekuwa km fashen!

    8. #8
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default

      Quote By Comi View Post
      Na mbaya zaidi ni birthday ya mtoto, huko ni kutafuta mitaji kupitia migongo ya watu
      umeona mamie!

    9. #9
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,139
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      2873
      Likes Given
      12

      Default Re: Nimechokaaa!

      Charmldy pole na mikwazo, bt sisi wengine wallet zetu hazina misukosuko, na ziko wazi zinatafuta wapi zipeleke aid.

    10. #10
      BAGAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 4,399
      Rep Power : 8797
      Likes Received
      963
      Likes Given
      1418

      Default

      Quote By charminglady View Post
      hamjamboni wanaCC
      dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
      charminglady kuna kile kingine mnaita BABY-SHOWER hujapewa kadi ya mchango!?

    11. #11
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,121
      Rep Power : 14538
      Likes Received
      6475
      Likes Given
      5043

      Default Re: Nimechokaaa!

      Quote By charminglady View Post
      yan nataman nikajifiche cjui wapi. afu ukizingatia ni jiran nyumba ya pili. cwez kukwepa.me b-day yang july watachangaje
      http://www.jamiiforums.com
      kama ni jirani, my dear huna jinsi, mi nimeshachanga mpaka basi, bado michango ya kina mama mwisho wa mwezi mtaani! ili ukipata shida usaidiwe, sikatai sana kwa issue ya jirani coz ndio msaada wa kwanza upatapo matatizo. but kuna watu ofisini, marafiki wa mume, mashoga ndio SIPENDIIIIIIIIIII, utasikia naandaa sanduku la kitchen party nachangisha! pathetic, wananijua SITOI, COZ SIKUFANYA HAYO MAKITU. nonsense!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    12. #12
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,740
      Rep Power : 50885
      Likes Received
      9611
      Likes Given
      14855

      Default Re: Nimechokaaa!

      Charminglady naomba niwe campaign manager wa hii kampen maana nimechoka nayo lol
      charminglady likes this.

    13. #13
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,861
      Rep Power : 29104
      Likes Received
      12273
      Likes Given
      4935

      Default Re: Nimechokaaa!

      Si bora besdei ya mtoto kuliko ya m'babu ama m'bibi mzima! Kha!
      Kuna mchango wa kipaimara na wa kutahiri kijana? (ashakum si matusi)

    14. #14
      Jeji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Location : hapa hapa
      Posts : 1,481
      Rep Power : 700
      Likes Received
      217
      Likes Given
      291

      Default Re: Nimechokaaa!

      Quote By King'asti View Post
      Si bora besdei ya mtoto kuliko ya m'babu ama m'bibi mzima! Kha!
      Kuna mchango wa kipaimara na wa kutahiri kijana? (ashakum si matusi)
      michango siku hizi imezidi na inaudhi kwelikweli, lakini hapo kwenye red King'asti umeniacha hoi.
      "BOSI HANUNIWI"

    15. #15
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : NYATWALI
      Posts : 2,807
      Rep Power : 11223
      Likes Received
      1744
      Likes Given
      1250

      Default Re: Nimechokaaa!

      Quote By Judgement View Post
      Charmldy pole na mikwazo, bt sisi wengine wallet zetu hazina misukosuko, na ziko wazi zinatafuta wapi zipeleke aid.
      mbona vituo vya watoto yatima vingi sana,kuna kile kituo cha kulea wazee nacho kinahitaji wallet yako iwasaidie,mahospitali kuna wagonjwa wanahitaji hizo pesa zako walipie matibabu coz hawana hata senti tano.
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    16. #16
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : NYATWALI
      Posts : 2,807
      Rep Power : 11223
      Likes Received
      1744
      Likes Given
      1250

      Default Re: Nimechokaaa!

      kwani lazima birthday ufanye sherehe kubwa wakati mfukoni huna kitu kama sio ulimbukeni wa maisha ni nini we familia na majukumu yako mwenyewe uwatwishe watu kama huna pesa ya nini kufanya sherehe?waswazi wasumbufu sana.
      charminglady likes this.
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    17. #17
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Judgement View Post
      Charmldy pole na mikwazo, bt sisi wengine wallet zetu hazina misukosuko, na ziko wazi zinatafuta wapi zipeleke aid.
      acha misifa, ni watoto wangapi yatima unaowasaidia? Au mpaka uombwe?kutoa ni moyo

    18. #18
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimechokaaa!

      Bila kusahau kuna kitu kinaitwa MBESI
      FirstLady1 likes this.

    19. #19
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default

      Quote By Judgement View Post
      Charmldy pole na mikwazo, bt sisi wengine wallet zetu hazina misukosuko, na ziko wazi zinatafuta wapi zipeleke aid.
      naomba nikupe no.ya huyu mama umtumie mpesa kwa niaba yangu. kweli nimefulia Judgement

    20. #20
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default

      Quote By BAGAH View Post
      charminglady kuna kile kingine mnaita BABY-SHOWER hujapewa kadi ya mchango!?
      yan acha nahc ipo njian!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...