hamjamboni wanaCC
dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
hamjamboni wanaCC
dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
charminglady katika vitu amabvyo huwa vinaniboa ni hivyo! coz harusi yangu sikuchangisha mtu, mishahara yetu ilikuwa enough, harusi ya watu 25, ndugu wa karibu na friends wake 3, na wangu 3. nice venue, chakula kizuri, kunywa mpaka tambaa! sasa leo iweje unichengishe hadi kipaimara!?? vinakeraaaaaaaaaaa, na wananijua kuwa SIPENDI!
"the problem is not me! the problem is you understading me!"
Kasheshe...mwambie utamchangia kimawazo zaidi
Na mbaya zaidi ni birthday ya mtoto, huko ni kutafuta mitaji kupitia migongo ya watu
Charmldy pole na mikwazo, bt sisi wengine wallet zetu hazina misukosuko, na ziko wazi zinatafuta wapi zipeleke aid.
charminglady kuna kile kingine mnaita BABY-SHOWER hujapewa kadi ya mchango!?
kama ni jirani, my dear huna jinsi, mi nimeshachanga mpaka basi, bado michango ya kina mama mwisho wa mwezi mtaani! ili ukipata shida usaidiwe, sikatai sana kwa issue ya jirani coz ndio msaada wa kwanza upatapo matatizo. but kuna watu ofisini, marafiki wa mume, mashoga ndio SIPENDIIIIIIIIIII, utasikia naandaa sanduku la kitchen party nachangisha! pathetic, wananijua SITOI, COZ SIKUFANYA HAYO MAKITU. nonsense!
"the problem is not me! the problem is you understading me!"
Charminglady naomba niwe campaign manager wa hii kampen maana nimechoka nayo lol
Si bora besdei ya mtoto kuliko ya m'babu ama m'bibi mzima! Kha!
Kuna mchango wa kipaimara na wa kutahiri kijana? (ashakum si matusi)
michango siku hizi imezidi na inaudhi kwelikweli, lakini hapo kwenye red King'asti umeniacha hoi.
Yeremia 33:3
"Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."
kwani lazima birthday ufanye sherehe kubwa wakati mfukoni huna kitu kama sio ulimbukeni wa maisha ni nini we familia na majukumu yako mwenyewe uwatwishe watu kama huna pesa ya nini kufanya sherehe?waswazi wasumbufu sana.
"Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."
Bila kusahau kuna kitu kinaitwa MBESI
naomba nikupe no.ya huyu mama umtumie mpesa kwa niaba yangu. kweli nimefulia Judgement
Follow Us Here