Sura pana hivi.........anapenda kupaka lipstic ............umbo namba nane. Jina lake ni madame B.
Ni mke wa kaka alimtoroka mwezi uliopita kisa ni ukata alioupata kaka baada ya kufukuzwa kazi ya ulinzi...Ki-ukweli alicheza lile dili lakini likabuma.
Kaka anampenda sana na nitaweka jina lake hivi karibuni...........Shemeji Madame B kwa nini utoroke?
Kwa sasa nasikia anaishi kinyumba na mhaya mmoja nimepata jina lake moja, anaitwa Ruhazwe JR....PLIZ charminglady, Kipipi, sweetlady, Erickb52 nisaidieni kumtafuta kokote mlipo......kaka anaweza kupoteza maisha kwa presha..sitanii

Reply With Quote


Follow Us Here