Nyela kamwene!
Jamani hili songi linanikumbusha enzi hizo tunazamia harusi mitaa ya mafinga!
"iligimilo ulunyengo...udado unyoko..kangalage ulimage,ulalya kumwaka!
Hebu tukumbushane songi nyingine jamani!i miss home!
Nyela kamwene!
Jamani hili songi linanikumbusha enzi hizo tunazamia harusi mitaa ya mafinga!
"iligimilo ulunyengo...udado unyoko..kangalage ulimage,ulalya kumwaka!
Hebu tukumbushane songi nyingine jamani!i miss home!
afu mnachinja 'ulinzi' harusini
Akwafuka mnyalukwale afwa pe kidomite! Ha ha!
Kongosho hao ukiomba ugali watakuambia hatuna [mahindi wametengeneza komoni]
ukiwaambia basi naomba maji ya kunywa watakuambia labda kalasi kapo,
ukiwaambia kuhusu nyama choma hapo utaletewa kk security...
ukiomba mboga ndio hatari zaidi watakuuliza ya malawi au ya tarime?
ukiomba kamba ya manila ufungie mizigo wanaweza anza kulia... maana watahisi unataka kujinanii
Nyie watu wahuni sana! Ha ha ha! Eti KK! Dah!
Kongosho, Mmwaminifu na Smiling Saint hamna lolote mnatuonea wivu tu.
maana kwa wahehe hakuna njaa mambo yote utayapata, komoni, ulanzi, kk security (dogi)
mnafu vyote vipo mshindwe wenyewe. karibuni.
Yeremia 33:3
Kongosho, Mmwaminifu na Smiling Saint hamna lolote mnatuonea wivu tu. maana kwa wahehe hakuna njaa mambo yote utayapata, komoni, ulanzi, kk security (dogi) mnafu vyote vipo mshindwe wenyewe. karibuni.
Yeremia 33:3
Mh!! Jeji tuwaonee wivu?? yaani una bahati mie sio mod.... ningekulima ban hivihivi..... lol..... by the way... sis tuna samaki, ng'ombe na mazao kibawa!! nyie nasubiri siku nisikie mnasafirisha vi-pelee vya mto ruaha kwenda nje..... uuuuuuwi
Wana amani nyingi waishikao sheria yako, wala hawana la kuwakwaza
Na mabinti wao sasa ukiwatomgoza majibu nayapenda
'Ukiniona nauma majani ujue nimekubali, niangusage tu, sambi sako mwenyewe' Kwa lafudhi ya kihehe lol
No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria
yaani Smiling Saint ungenilima ban ningekutwanga na debe 2 za ulanzi.
Yeremia 33:3
Follow Us Here