Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 114
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Samahani wasomaji wa JF, jana kipindi hakikuruka hewani kwa sababu ya kupisha mkutano wa Jangwani.
      Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy, ambaye kwa kweli amenipa ushirikiano wa hali ya juu. Yeye hakujivuta vuta saana kukubali mwaliko wangu kama Mzee wa Mapouzi Bishanga. Mahojiano yangu na Aunt Lizzy yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Aunt Lizzy swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi ambayo ningependa kumuuliza Aunt Lizzy:

      1. Je umezaliwa msimu gani?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na kupika pika utotoni?
      3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata wa kuchombeza?
      4. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      5. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      6. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
      7. Je unapenda chakula cha aina gani?
      8. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mheshimiwa Godbless Lema aliyekuwa Mbunge wa Chadema jimbo la Arusha, utamshauri nini?
      9. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
      10. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Aunt Lizzy atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana
      Last edited by Zinduna; 10th June 2012 at 11:53.
      Erickb52, Mamndenyi, SALOK and 1 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5677
      Likes Given
      12666

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      aunt lizzy umeolewa?

    4. #3
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Saint Ivuga
      aunt lizzy umeolewa?
      Saint Ivuga mbona hilo swali nimeshauliza!
      Uliza swali ambalo halipo kati ya hayo maswali kumi

    5. #4
      CUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2012
      Posts : 1,237
      Rep Power : 1500
      Likes Received
      582
      Likes Given
      331

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      1.je ulishawai kutokewa na mume wa mtu na kama ndio ulikipingaje iko kishawishi???
      2.ulishawahi kufaminia ama kufumaniwa??
      3.unapenda mwanaume mwenye sifa gani??
      4.je ukiwa kama mwanamke unawashauri nini wanawake wenzako kuhusu kujituma na kuachana na mawazo ya kuwezeshwa ama kutegemea wanaume ili watoke ktk maisha???
      Zinduna likes this.

    6. #5
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By CUTE
      1.je ulishawai kutokewa na mume wa mtu na kama ndio ulikipingaje iko kishawishi???
      2.ulishawahi kufaminia ama kufumaniwa??
      3.unapenda mwanaume mwenye sifa gani??
      4.je ukiwa kama mwanamke unawashauri nini wanawake wenzako kuhusu kujituma na kuachana na mawazo ya kuwezeshwa ama kutegemea wanaume ili watoke ktk maisha???
      Ahsante CUTE kwa maswali yako mazuri.
      Samahani, huenda maswali yenu yasijibiwe haraka kwa sababu Aunt Lizzy ndio amefika na sasa anajipodoa kwa mapouda nyuma ya pazia kabla hajauza sura hapa mjengoni ....
      Labda niwafahamishe tu kwamba nimelazimika kusafiri hadi Arusha UNGA LIMITED kwa ajili ya kufanikisha mahojiano haya ambayo yalikuwa yanasubiriwa kwa hamu na wadau hapa JF...........
      Pia ningependa kuwaomba radhi wapenzi wa kipindi hiki cha Zinduna Talk Show kwamba niliahidi kuwa na Mwana JF machahari Kipipi , lakini kwa bahati mbaya aliomba udhuru na kwa sababu amesafiri kikazi kwenda visiwa vya Mayotte na hivyo nikaona ni vyema nifanya mahojiano na Aunt Lizzy wiki hii~~~

      Wiki ijayo nitakuwa na Bwana Mkubwa Erickb52 ~~~~Stay tune
      Erickb52 likes this.
      >
      #6


  • Kaunga Kaunga's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 28th November 2010
    Location : Wild wild west
    Posts : 8,444
    Rep Power : 13325
    Likes Received
    7672
    Likes Given
    6911

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    1. Ulishawahi fanya masterbation?
    2. Kama ni amri yako, ungetoka na mkaka gani wa JF (ur secret admire)?
    3. Can you give up ur carier n be a house wife for any reason
    Zinduna likes this.

  • #7
    Zinduna's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 6th November 2011
    Location : Mzizima
    Posts : 1,239
    Rep Power : 11041
    Likes Received
    1441
    Likes Given
    2026

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Quote By Kaunga
    1. Ulishawahi fanya masterbation?
    2. Kama ni amri yako, ungetoka na mkaka gani wa JF (ur secret admire)?
    3. Can you give up ur carier n be a house wife for any reason
    Kaunga napenda kuutambua uwepo wapo katika kipindi hiki siku ya leo
    Ahsante sana kwa maswali yako mazuri na yenye mashiko, vuta subira Aunt Lizzy atakuja hivi punde kujibu maswali yenu

  • #8
    CUTE's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 5th March 2012
    Posts : 1,237
    Rep Power : 1500
    Likes Received
    582
    Likes Given
    331

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    i will be here waiting for her to come

  • #9
    ndetichia's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 18th March 2011
    Location : Mwime - Buswangili
    Posts : 18,266
    Rep Power : 5115
    Likes Received
    2792
    Likes Given
    232

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    ilikuwaje ukatumia hilo jina la lizzy

  • #10
    BADILI TABIA's Avatar
    JF Bronze Member Array
    Join Date : 13th June 2011
    Location : DUNIANI
    Posts : 14,626
    Rep Power : 5628
    Likes Received
    6218
    Likes Given
    2319

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Lizzy una boifurendi wangapi?
    Zinduna likes this.

  • #11
    Kongosho's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st March 2011
    Location : Location loading...
    Posts : 25,302
    Rep Power : 13093
    Likes Received
    14169
    Likes Given
    15016

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Maskini, my wi Lizzy hajaonekana jamvini kwa muda sasa, sijui yuko wapi.

    Ikifika saa 15:00 hajaja naanza kumjibia maana mie na wifi yangu hatufichani.
    Zinduna likes this.

  • #12
    Junior. Cux's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd February 2011
    Posts : 832
    Rep Power : 587
    Likes Received
    153
    Likes Given
    24

    Default

    Quote By Kongosho
    Maskini, my wi Lizzy hajaonekana jamvini kwa muda sasa, sijui yuko wapi.

    Ikifika saa 15:00 hajaja naanza kumjibia maana mie na wifi yangu hatufichani.
    mwache aje mwenyewe we ata hatukuamin..

  • #13
    Saint Ivuga's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st August 2008
    Posts : 20,740
    Rep Power : 10181
    Likes Received
    5677
    Likes Given
    12666

    Default

    Quote By Zinduna
    Saint Ivuga mbona hilo swali nimeshauliza!
    Uliza swali ambalo halipo kati ya hayo maswali kumi
    Hili nimekuuliza wewe

  • #14
    Mwanyasi's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 16th November 2010
    Location : Karibu na wewe
    Posts : 1,055
    Rep Power : 841
    Likes Received
    504
    Likes Given
    986

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Unaishi wapi na nani?
    "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki

  • #15
    Lizzy's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 25th May 2009
    Location : UngaLTD!
    Posts : 21,403
    Rep Power : 14597
    Likes Received
    7869
    Likes Given
    1969

    Default

    Bi Zinduna asante sana kwa kunikaribisha kwenye kipindi, na naomba radhi sana kwa kuchelewa maana kipindi kilianza bila mie kuwa nimewasili. Sasa maana muda umeenda naomba nijibu maswali yako haraka haraka kama watazamaji hawajahamia TiBiSii.

    Koh koh. . .
    Quote By Zinduna

    Kwa kuanza ninayo maswali kumi ambayo ningependa kumuuliza Aunt Lizzy:

    1. Je umezaliwa msimu gani?
    . . . . HEHEHE. . msimu nlozaliwa mie kiangazi, ndo maana watu hawaishi kulalamika Lizzy majibu yake DRY!!Jamani. . I can't help it.

    2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na kupika pika utotoni?
    . . .Khaa, kuna aliyeishi uswahilini akapitwa kweli? Ila tu niseme sie hatukua tunafanya matusi kama ambavyo nasikia wengine walikua wakifanya.

    3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata wa kuchombeza?
    . . . Mara ya tatu hii.Niliwahi kuwa mama mchungaji, nikawa 'firstlady' wa mwenyekiti wa mtaa, na sasa hivi nimetulia kwa balozi wa wabeba box.

    . . . Kila ndoa imenibariki watoto wawili, kwahiyo nnao sita mpaka sasa.

    4. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
    Kifo cha mwanaJF mwenzetu Regia na Chentutu.

    5. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
    Ushindi wa MMU Queen. . .japo Superman mpaka leo hajanipa zawadi yangu.

    6. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
    Vimini na jeans tight. . .ndio maana u'mama mchungaji ulinishinda.

    7. Je unapenda chakula cha aina gani?
    Kwanzia wali wa maharage mseto, ugali wa dagaa mpaka ndizi. machalari tunazopika sana kule kwetu Machame.

    8. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mheshimiwa Godbless Lema aliyekuwa Mbunge wa Chadema jimbo la Arusha, utamshauri nini?
    Asife moyo. . .yeye ni wa watu wa Arusha na watu wa Arusha ni wake.

    9. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
    . . . Nalipa kodi. . .japo inaishia kwa mafisadi ila na mie nimejaribu.
    10. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….
    . . .Huu ntakupa pembeni usije ukaacha kunikaribisha tena kwenye kipindi.

    Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Aunt Lizzy atakuja kuyajibu maswali yenu.

    Karibuni sana
    Zinduna likes this.

  • #16
    Bishanga's Avatar
    JF Tanzanite Member Array
    Join Date : 29th June 2008
    Location : SIRIUS
    Posts : 13,399
    Rep Power : 33554
    Likes Received
    8075
    Likes Given
    7565

    Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Lizzy ngoja amalizie kuoga,kompyuta sebuleni nshamuwashia.
    Zinduna likes this.

  • #17
    Kongosho's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st March 2011
    Location : Location loading...
    Posts : 25,302
    Rep Power : 13093
    Likes Received
    14169
    Likes Given
    15016

    Default

    na nilitaka kukujibia, ungenitambua.

    Zile siri zote ningezianika hadharani.

    Quote By Lizzy
    Bi Zinduna asante sana kwa kunikaribisha kwenye kipindi, na naomba radhi sana kwa kuchelewa maana kipindi kilianza bila mie kuwa nimewasili. Sasa maana muda umeenda naomba nijibu maswali yako haraka haraka kama watazamaji hawajahamia TiBiSii.

    Koh koh. . .

  • #18
    Lizzy's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 25th May 2009
    Location : UngaLTD!
    Posts : 21,403
    Rep Power : 14597
    Likes Received
    7869
    Likes Given
    1969

    Default

    Quote By CUTE
    1.je ulishawai kutokewa na mume wa mtu na kama ndio ulikipingaje iko kishawishi???
    2.ulishawahi kufaminia ama kufumaniwa??
    3.unapenda mwanaume mwenye sifa gani??
    4.je ukiwa kama mwanamke unawashauri nini wanawake wenzako kuhusu kujituma na kuachana na mawazo ya kuwezeshwa ama kutegemea wanaume ili watoke ktk maisha???
    CUTE asante kwa maswali mpenzi. . .
    1. NDIO. . . HAPANA yangu ilitosha kumjulisha siwezi kuwa nyumba ndogo wakati hata mie nna sifa za kuwa kubwa.

    2. Heheheheh. . .hapana kwa yote. Kufumania labda kama ningekubaligi propasal ya Bishanga.

    3. Kinyume na alizo nazo Bishanga . . . .
    Yani asiwe na jitambi, majigambo wakati hata sura hailipi, asijione msomi kwakua tu anaongea kiingereza cha dikshenari, asijione tajiri kwa pesa za urithi n.k

    4. Wajitume, waache uvivu na utegemezi na wivu wa kijinga watupe kuleee. Wivu wa kimaendeleo ndio wakuendekeza.

    Enheeee. . .
    CUTE likes this.

  • #19
    Lizzy's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 25th May 2009
    Location : UngaLTD!
    Posts : 21,403
    Rep Power : 14597
    Likes Received
    7869
    Likes Given
    1969

    Default

    Quote By Kaunga
    1. Ulishawahi fanya masterbation?
    2. Kama ni amri yako, ungetoka na mkaka gani wa JF (ur secret admire)?
    3. Can you give up ur carier n be a house wife for any reason
    Kaunga heheheh. . .mbona mchokonozi hivyo? Haya maswali usikute kakupa Bishanga. . . lolz

    Nwy. . .
    1. HAPANA!!!

    2. Hehehe. . .nanii, umhhhh jina lake linaanza na herufi nanii.

    3. Aisee labda kwaajili ya watoto tu. . .na mpaka hapo niwe nimehakikisha pamoja na kuwa nyumbani haitokuwa mwisho wa mimi kutengeneza pesa.

  • #20
    Lizzy's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 25th May 2009
    Location : UngaLTD!
    Posts : 21,403
    Rep Power : 14597
    Likes Received
    7869
    Likes Given
    1969

    Default

    Quote By Mwanyasi
    Unaishi wapi na nani?
    Mwanyasi naishi UngaLTD na bwanangu.
    Quote By ndetichia
    ilikuwaje ukatumia hilo jina la lizzy
    ndetichia nilikua naitwa hivyo na rafiki yangu mmoja kipenzi, niliamua kulitumia kama kumbukumbu maana tulipotezana kitambo hadi leo hii.

    Quote By BADILI TABIA
    Lizzy una boifurendi wangapi?
    Hehehe. . .BT boifurendi tena jamani wakati nimeolewa? Kwetu hatukufunzwa habari ya mafiga matatu.

  • Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...