Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 114
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Samahani wasomaji wa JF, jana kipindi hakikuruka hewani kwa sababu ya kupisha mkutano wa Jangwani.
      Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy, ambaye kwa kweli amenipa ushirikiano wa hali ya juu. Yeye hakujivuta vuta saana kukubali mwaliko wangu kama Mzee wa Mapouzi Bishanga. Mahojiano yangu na Aunt Lizzy yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Aunt Lizzy swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi ambayo ningependa kumuuliza Aunt Lizzy:

      1. Je umezaliwa msimu gani?
      2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na kupika pika utotoni?
      3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata wa kuchombeza?
      4. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      5. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      6. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
      7. Je unapenda chakula cha aina gani?
      8. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mheshimiwa Godbless Lema aliyekuwa Mbunge wa Chadema jimbo la Arusha, utamshauri nini?
      9. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
      10. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Aunt Lizzy atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana
      Last edited by Zinduna; 10th June 2012 at 11:53.
      Erickb52, Mamndenyi, SALOK and 1 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Erickb52
      Hivi Zinduna wakati wa mahojiano huwa kuna vinywaji vya aina gani?
      Mi naomba uniandalie Ndovu baridiiiiiiiii ili niweze kusema ukweli hahahaaaa
      Itanifungua kabisa
      Erickb52 nitakubamiza na Jack Daniel
      Erickb52 likes this.

    4. #62
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,314
      Rep Power : 50795
      Likes Received
      9239
      Likes Given
      14493

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Zinduna
      Huyu msaidizi wangu Cantalisia sijui kenda wapi, ngoja nitafute nyoka hapo nje akatuleteehapo kwa Mangi
      Hahahaaa Cantalisia amejificha kuleee....Nikamuite?
      Zinduna likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    5. #63
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,314
      Rep Power : 50795
      Likes Received
      9239
      Likes Given
      14493

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Zinduna
      Erickb52 nitakubamiza na Jack Daniel
      Naogopa hiyo ina kashfa mbaya....Mi ni ndofu tu tena ya baridiiiii
      Zinduna likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    6. #64
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Heheheheee sina kashfa mama..!
      Nimekuambia je kutakuwa na Ndofu wakati wa mahojiano?
      Erickb52 usianze kui-diverge hii Talk Show, haikuhusu wewe, ni ya Aunt Lizzy , subiri wiki ijayo ndo uje na hoja zako, la sivyo ni heri uni PM

    7. #65
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,314
      Rep Power : 50795
      Likes Received
      9239
      Likes Given
      14493

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Heheheeee Lizzy alinambia muda umeisha ndio nkaanza kuchakachua thread lol
      Lizzy... Swali linakuja...!
      Tangu uwe na huyo mumeo hujawahi kugundua kuwa anakucheat?
      Na kama ndio ulimfanyaje? Na je unadhani ni mwaminifu kwa asilimia 100%?
      Zinduna likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    8. Miaka 50

    9. #66
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Erickb52
      Hahahaaa Cantalisia amejificha kuleee....Nikamuite?
      Tangu nije naye huku Arusha kufanya hii Talk Show ya Aunt Lizzy amekuwa hatulii anakukuruka kama kurumbizi , kutwa na Machalii wa hapa Unga Limited, ngoja tukirudi Dar nitam-mwaga, nitamchagua Asnam yeye naona katulia
      Erickb52 likes this.

    10. #67
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Lakini Lizzy umenikatisha tamaa sana leo, mimi nilifikiri bado uko single kumbe jamaa wameshabeba!! Sasa sijui nihamie wapi!!
      Zinduna likes this.

    11. #68
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Erickb52
      Heheheeee Lizzy alinambia muda umeisha ndio nkaanza kuchakachua thread lol
      Lizzy... Swali linakuja...!
      Tangu uwe na huyo mumeo hujawahi kugundua kuwa anakucheat?
      Na kama ndio ulimfanyaje? Na je unadhani ni mwaminifu kwa asilimia 100%?
      Erickb52 kwa kuwa umeonesha utovu wa nidhamu wa kuchakachua hii Talk Show, jiandae na maswali magumu nitakayokutwanga nayo wiki ijayo.

      TALK SHOW YA WIKI IJAYO ITAKUWA HARD TALK....!

    12. #69
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,314
      Rep Power : 50795
      Likes Received
      9239
      Likes Given
      14493

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Zinduna
      Tangu nije naye huku Arusha kufanya hii Talk Show ya Aunt Lizzy amekuwa hatulii anakukuruka kama kurumbizi , kutwa na Machalii wa hapa Unga Limited, ngoja tukirudi Dar nitam-mwaga, nitamchagua Asnam yeye naona katulia
      Hahahaaaa amenogea na machalii aisee siunajua Arachiga noma aisee?
      Usichakachue thread naona umeanza kuiharibu...! Lizzy je...Ushapima afya yako(Gonjwa lilee) hata mara moja kujua status yako?
      Hapa ni kwa kuwa ulishawahi kuolewa mara mbili kabla ya sasa
      Zinduna likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    13. #70
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Erickb52
      Naogopa hiyo ina kashfa mbaya....Mi ni ndofu tu tena ya baridiiiii
      Erickb52 basi nitakuandalia VALUU

    14. #71
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,314
      Rep Power : 50795
      Likes Received
      9239
      Likes Given
      14493

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Zinduna
      Erickb52 kwa kuwa umeonesha utovu wa nidhamu wa kuchakachua hii Talk Show, jiandae na maswali magumu nitakayokutwanga nayo wiki ijayo.

      TALK SHOW YA WIKI IJAYO ITAKUWA HARD TALK....!
      Hahahaaa ukinitisha napata dharura kama Kipipi
      Hahahaaaaa
      Zinduna likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    15. #72
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,314
      Rep Power : 50795
      Likes Received
      9239
      Likes Given
      14493

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Zinduna
      Erickb52 basi nitakuandalia VALUU
      Eeeeh hapo sawa na nitashushia na Pepsi
      Zinduna likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    16. #73
      Nyakwaratony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2011
      Posts : 493
      Rep Power : 472
      Likes Received
      99
      Likes Given
      35

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Lizzy dada yangu heshima yako, me swali langu ni hili. hao je huyo mmeo ulie nae sasa ana watoto wengne make umesema wewe ulikuja na watoto wako. kama anao je unawapenda kama wa kwako hata kama hana je km angekuwa nao ungekuwa tayari kuishi nao na kuwapenda kama wa kwako? asante. . .

    17. #74
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Erickb52
      Hahahaaa ukinitisha napata dharura kama Kipipi
      Hahahaaaaa
      Erickb52, kumbe Kipipi ameingia mitini eh! nadhani alijishtukia kwamba Talk Show itamuweka pabaya LOL
      Nitaumana naye wiki mbili zijazo. Zinduna huwa hakimbiwi

    18. #75
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Erickb52
      Heheheeee Lizzy alinambia muda umeisha ndio nkaanza kuchakachua thread lol
      Lizzy... Swali linakuja...!
      Tangu uwe na huyo mumeo hujawahi kugundua kuwa anakucheat?
      Na kama ndio ulimfanyaje? Na je unadhani ni mwaminifu kwa asilimia 100%?
      Zinduna inabidi watu waanze kulipia kushiriki kipindi ili kuchakachua kusiwepo.

      Erickb52 Hapana kwakweli. . .na wala sijawahi kuhisi maana hajanipa sababu za kufanya hivyo kwahiyo namwamini.


      Quote By ndenga
      Lakini Lizzy umenikatisha tamaa sana leo, mimi nilifikiri bado uko single kumbe jamaa wameshabeba!! Sasa sijui nihamie wapi!!
      ndenga kwani ulikua unanipigia mahesabu? Mbona hukuwahi kuniambia. . .
      Zinduna likes this.

    19. #76
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Lizzy
      Zinduna inabidi watu waanze kulipia kushiriki kipindi ili kuchakachua kusiwepo.

      Erickb52 Hapana kwakweli. . .na wala sijawahi kuhisi maana hajanipa sababu za kufanya hivyo kwahiyo namwamini.




      ndenga kwani ulikua unanipigia mahesabu? Mbona hukuwahi kuniambia. . .
      Nilikudokeza mwaka jana..nikaona kimya. Nikaamua kuzichanga kwanza ili nije na ari na nguvu zaidi kumbe jamaa walishaniwahi.. Ningejua ningepresent mapema..
      Zinduna likes this.

    20. #77
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy~~~~!

      Quote By Nyakwaratony
      Lizzy dada yangu heshima yako, me swali langu ni hili. hao je huyo mmeo ulie nae sasa ana watoto wengne make umesema wewe ulikuja na watoto wako. kama anao je unawapenda kama wa kwako hata kama hana je km angekuwa nao ungekuwa tayari kuishi nao na kuwapenda kama wa kwako? asante. . .
      Nyakwaratony ye nilimkuta na mmoja tu.Nikampokea wake nae akapokea wangu.

      Sijawahi kuona ubaguzi wa aina yoyote ile kwahiyo naona anawapenda wote sawasawa.
      Zinduna likes this.

    21. #78
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By ndenga
      Nilikudokeza mwaka jana..nikaona kimya. Nikaamua kuzichanga kwanza ili nije na ari na nguvu zaidi kumbe jamaa walishaniwahi.. Ningejua ningepresent mapema..
      Hhehehehehe. . .sasa zimefikia ngapi?

    22. #79
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default

      ndenga kwan ulikua unanipigia mahesabu? Mbona hukuwahi kuniambia. . .[/QUOTE]

      Nilikuwa nakupigia hesabu sana, naona magazijuto yangu hayajanisaidia..
      Zinduna likes this.

    23. #80
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Lizzy
      Hhehehehehe. . .sasa zimefikia ngapi?
      Ndio nilikuwa nakaribia kuja sasa. Ila nilivyosoma tena huku naona imebidi nifreez kidogo..
      Zinduna likes this.

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...