wadada tu
wadada tu
Mola awe nanyi
nitakukaribisha champaigne
Mola awe nanyi
unene sio tabu...
Mola awe nanyi
nitakupenda hata kama wewe ni mnene
Mola awe nanyi
sikia mwanamke ni mlaini sana inabidi apendwe an wala sio kupigwa
Mola awe nanyi
nani ambaye hana raha kwenye ndoa?nimekuja na suluhisho
Mola awe nanyi
karne hii sio ya kupigwa ama kunyanyaswa kwenye ndoa..njoo nikupe tulizo la moyo
Mola awe nanyi
najua kila siku unapigwa ila jua kuwa suluhisho lipo
Mola awe nanyi
anarudi kila sikua akiwa amelewa ...na kukukaripia bila sababu za msingi
Mola awe nanyi
kwa kuwa jina lako ni i pad naanza kujifunza kukupenda now
ASIYEUMBA HAUMBUI
una swaga za kujieleza
najua mwanzoni alikuwa anakupenda sana , anakuthamini sana ila baada ya kuoana mapenzi yote yakaisha
Mola awe nanyi
nani kakuambia kuwa ndoa ni ndoano? ndoa ni kama koti likkubana unalitupa kule ..mambo ya kizamani yamepitwa na wakati
Mola awe nanyi
najua alikuwa anawahi kurudi kutoka kazini ila baada ya wewe kuzaa akaanza kuchelewa na kukupa visingizio kibao...
Mola awe nanyi
mwanamke yoyote ana haki ya kupata raha katika ndoa na katika maisha yake yote
Mola awe nanyi
mwanamke hapigwi kama unapigwa bila sababu za msingi jua kuwa wewe haupo kwenye right place
Mola awe nanyi
mshahara wa mwanamke ni wake na mshahara wa mwanaume ni wa familia kama ulikuwa hulijui hili ndio ukae ukijua hivyo
Mola awe nanyi
najua ulikuwa huna hata alama moja ila sasa hivi una alama kibao kutokana na kipigo na manyanyaso
Mola awe nanyi
Follow Us Here