Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 164
    1. #1
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default Sweetlady awachanganya Klorokwini ,Nitonye na Vin Disiel

      Kweli mapenzi hayana macho...
      Katika hali ya kustaajabisha klorokwini ameamua kujitosa na kuzama kwenye penzi zito la sweetlady bila kujali kuwa ni mke wa nitonye na bila aibu SL ameonekana akiwa na mahusiano mengine ya wazi na Vin disiel na SL alipoulizwa alisema Nitonye yuko shamba..sasa hofu yangu ni pale watakapokutana wote je Klorokwini atapona?
      Then SL atuambie nani big house, nani small house na nani House boy..!
      Wanaomnyemelea SL wengine ambao maombi yao yako pending ntawataja baadae

    2. Miaka 50

    3. #2
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      hiyo inaitwa 'mwenye nguvu mpishe' aka 'mwenye kisu kikali ndo mla nyama' ....
      sweetlady likes this.

    4. #3
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Khaaaaaaaa we Erickb52 ndio nini wataka kunivunjia ndoa?........afu mambo yangu kwani yanakuhusu nini?.....

      Pilipili usiyoila yakuwashia nini ?
      klorokwini ni asali wa moyo Vin Diesel ni mume mtarajiwa nitonye ni mume wa ndoa
      klorokwini nampenda zaidi ya sana Vin Diesel nampenda sana nitonye nampenda.......haya nimefafanua umeridhika Erickb52?......kama hujaridhika wakija hao uliowataja watakufafanulia zaidi afu uache umbea!
      Erotica likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    5. #4
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya Klorokwini ,Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      Kweli mapenzi hayana macho...
      Katika hali ya kustaajabisha klorokwini ameamua kujitosa na kuzama kwenye penzi zito la sweetlady bila kujali kuwa ni mke wa nitonye na bila aibu SL ameonekana akiwa na mahusiano mengine ya wazi na Vin disiel na SL alipoulizwa alisema Nitonye yuko shamba..sasa hofu yangu ni pale watakapokutana wote je Klorokwini atapona?
      Then SL atuambie nani big house, nani small house na nani House boy..!
      Wanaomnyemelea SL wengine ambao maombi yao yako pending ntawataja baadae
      Nimesahau kukujulisha kuwa ikitokea nimeachika sababu ya haya majungu yako uloyaweka hapa nakufuata mpaka huko kwako bila kujali kama Amyner yupo au hayupo.
      Life without problems never make a strong and good person!

    6. #5
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By sweetlady
      Nimesahau kukujulisha kuwa ikitokea nimeachika sababu ya haya majungu yako uloyaweka hapa nakufuata mpaka huko kwako bila kujali kama Amyner yupo au hayupo.
      Hahahaa ikiachika kwa mmoja hamia kwa mwingine...Amyner atakumaliza aisee halafu hapendi fujo
      sweetlady likes this.

    7. Study Abroad

    8. #6
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By BADILI TABIA
      hiyo inaitwa 'mwenye nguvu mpishe' aka 'mwenye kisu kikali ndo mla nyama' ....
      Dah mi kwa hapo ningejivua gamba lol
      sweetlady and BADILI TABIA like this.

    9. #7
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      Hahahaa ikiachika kwa mmoja hamia kwa mwingine...Amyner atakumaliza aisee halafu hapendi fujo
      Kwasababu wote wana majukumu tofauti ikitokea mmoja kaniacha itabidi hayo majukumu yake uyabebe wewe!.....sitishiki hata ukisema Amyner atanimaliza
      Life without problems never make a strong and good person!

    10. #8
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      Dah mi kwa hapo ningejivua gamba lol
      Hata hivyo inakuhusu?
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #9
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,892
      Rep Power : 31775
      Likes Received
      5873
      Likes Given
      19165

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Inaitwa mafiga matatu.
      sweetlady likes this.

    12. #10
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By sweetlady
      Khaaaaaaaa we Erickb52 ndio nini wataka kunivunjia ndoa?........afu mambo yangu kwani yanakuhusu nini?.....

      Pilipili usiyoila yakuwashia nini ?
      klorokwini ni asali wa moyo Vin Diesel ni mume mtarajiwa nitonye ni mume wa ndoa
      klorokwini nampenda zaidi ya sana Vin Diesel nampenda sana nitonye nampenda.......haya nimefafanua umeridhika Erickb52?......kama hujaridhika wakija hao uliowataja watakufafanulia zaidi afu uache umbea!
      haaa
      Kweli umewapanga vema coz na wao wameridhika kabsaa mh Bagah hayumo kwenye orodha?
      sweetlady likes this.

    13. #11
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Mamndenyi
      Inaitwa mafiga matatu.
      Thanks mama mkwe mtarajiwa kwa ufafanuzi wako.....haya Erickb52 una la zaidi?
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #12
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By sweetlady
      Kwasababu wote wana majukumu tofauti ikitokea mmoja kaniacha itabidi hayo majukumu yake uyabebe wewe!.....sitishiki hata ukisema Amyner atanimaliza
      Unibebeshe majukumu yako?
      Lol inahuuu
      sweetlady likes this.

    15. #13
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      haaa
      Kweli umewapanga vema coz na wao wameridhika kabsaa mh Bagah hayumo kwenye orodha?
      Hahahahahaha....... BAGAH ni shemeji yangu lol.....afu mafiga si mwisho matatu au kuna mafiga manne?
      Life without problems never make a strong and good person!

    16. #14
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By Mamndenyi
      Inaitwa mafiga matatu.
      Mamdenyi SL amekamilisha mafiga matatu mh hafai kuwa mfano wa kuigwa
      sweetlady likes this.

    17. #15
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      Unibebeshe majukumu yako?
      Lol inahuuu
      Itahuu ndio, we subiri niachwe ndio utajua kama inahuu au aihuu!
      Life without problems never make a strong and good person!

    18. #16
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,187
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By sweetlady
      Hahahahahaha....... BAGAH ni shemeji yangu lol.....afu mafiga si mwisho matatu au kuna mafiga manne?
      Shemeji shemeji huku mwazima taa?
      sweetlady likes this.

    19. #17
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      Shemeji shemeji huku mwazima taa?
      Una hakika?
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #18
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,817
      Rep Power : 17522
      Likes Received
      4859
      Likes Given
      5183

      Default

      Quote By Mamndenyi
      Inaitwa mafiga matatu.
      meipenda hii,soon ntaiapply!
      sweetlady likes this.

    21. #19
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Sweetlady awachanganya @Klorokwini ,@Nitonye na Vin Disiel

      Quote By Erickb52
      Mamdenyi SL amekamilisha mafiga matatu mh hafai kuwa mfano wa kuigwa
      Erickb52 we endelea kuchafua cv.....hujui klorokwini ni lawyer eeh
      Life without problems never make a strong and good person!

    22. #20
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,817
      Rep Power : 17522
      Likes Received
      4859
      Likes Given
      5183

      Default

      Quote By Erickb52
      Shemeji shemeji huku mwazima taa?
      me namuunga mkono SL. angalia nw laadhidhi sobhuza kapigwa ban,laiti ningelikuwa na mafiga ma3 wala nisingepata shda. yeuuuwiii moyo mpweke!
      sweetlady likes this.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...