Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      Msolid1990's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 379
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      Mi nashauri jf management wawe wanatoa zawadi kila mwaka kwa member ambaye amepost thead ambazo zimepata wachangiaji wengi. Mfano thread zako nyingi ziwe zinachangiwa na member kuanzia 150+ sio wanachangia watu 20 then inaachwa No!. So hao watu wawe wanatangazwa kwenye media then wanakuwa awarded! Kama vipi waweke namba yao ya M-pesa/tigo-pesa tuwe tunachangia. Afu toa na ushauri tuwe tunaziitaje hizo awards?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      Kwani pesa yenyewe itakuwa sh. ngapi?Ntahonga watu wachangie thread zangu na wasichangie za wengine.

    4. #3
      Msolid1990's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 379
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Lizzy
      Kwani pesa yenyewe itakuwa sh. ngapi?Ntahonga watu wachangie thread zangu na wasichangie za wengine.
      utawahonga nini? Na utawahongahongaje? inaelekea wewe ni magamba.

    5. #4
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Msolid1990
      utawahonga nini? Na utawahongahongaje? inaelekea wewe ni magamba.
      Unless wewe ndo ulonivisha hilo gamba naomba samahani yangu.

    6. #5
      Msolid1990's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 379
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Lizzy
      Unless wewe ndo ulonivisha hilo gamba naomba samahani yangu.
      sorry basi kha! Hutaniwi.


    7. #6
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,626
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      1392
      Likes Given
      1542

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      karibu mgeni wetu

    8. #7
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Msolid1990
      sorry basi kha! Hutaniwi.
      Hehehehe ahsante.

      Haya tuendelee. . . ntawahonga LIKE na Reputation.

    9. #8
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,350
      Rep Power : 7770
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1801

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      Hahahaaaaaa you are real funny....

      Quote By Msolid1990
      utawahonga nini? Na utawahongahongaje? inaelekea wewe ni magamba.

    10. #9
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,057
      Rep Power : 596
      Likes Received
      208
      Likes Given
      145

      Default

      Quote By Msolid1990
      Mi nashauri jf management wawe wanatoa zawadi kila mwaka kwa member ambaye amepost thead ambazo zimepata wachangiaji wengi. Mfano thread zako nyingi ziwe zinachangiwa na member kuanzia 150+ sio wanachangia watu 20 then inaachwa No!. So hao watu wawe wanatangazwa kwenye media then wanakuwa awarded! Kama vipi waweke namba yao ya M-pesa/tigo-pesa tuwe tunachangia. Afu toa na ushauri tuwe tunaziitaje hizo awards?
      vipi? Mkuu wewe ushawahi changia hata sent 1 ya kuiwezesha JF iendelee kuwa on air??

    11. #10
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,882
      Rep Power : 17536
      Likes Received
      4897
      Likes Given
      5322

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      LEGE Una akili sana, ungesoma zaidi ungembebea nyerere mkoba wake!

    12. #11
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 817
      Rep Power : 561
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Lizzy
      Unless wewe ndo ulonivisha hilo gamba naomba samahani yangu.
      heri shari zima kuliko nusu

    13. #12
      Msolid1990's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 379
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Lizzy
      Hehehehe ahsante.

      Haya tuendelee. . . ntawahonga LIKE na Reputation.
      duh! Kumbe wote walionipa like wamenihonga.
      Preta,kipipi,erotica,firstlady ,chaminglady,king'asti,badili tabia,smile,kongosho. Kha! Wote mmenihonga??

      Back to topic
      hivi eti unategemea ulete lithread la ajabu ajabu, oo eti 'jamani wanajf leo nimeshiba sana' afu nichangie kisa umenipa like? Hata unipe like 100 at ago sichangii ng'o!

    14. #13
      Msolid1990's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 379
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By LEGE
      vipi? Mkuu wewe ushawahi changia hata sent 1 ya kuiwezesha JF iendelee kuwa on air??
      nichangieje wakati sijui process hata moja ya kuchangia?

    15. #14
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,626
      Rep Power : 5628
      Likes Received
      6218
      Likes Given
      2319

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      jf tu hamchangii itakua kuchangia awards....

    16. #15
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,459
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      640
      Likes Given
      832

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      Hivi ile michango mmeshachanguua Jamii Forum au mnapost bure na kutaka zawadi
      jamani hii ni huduma wapo wasimamizi wanaotuletea huduma hiyo Shime tuchangie kila mwaka kwa front page inaonyesha tupo 78,800

    17. #16
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,558
      Rep Power : 6993
      Likes Received
      1172
      Likes Given
      581

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      ndio au siyooooooo
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    18. #17
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26573
      Likes Received
      5846
      Likes Given
      5721

      Default Re: Kwanini jf management wasiwe wanatoa awards kila mwaka?

      wengi watapost PUMBA NYINGI iliwafikishe hiyo idadi .. (Siungi mkono hoja) Sorry.
      life goes on.....

    19. #18
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,318
      Rep Power : 18678
      Likes Received
      1099
      Likes Given
      1049

      Default

      Si bora wewe utahonga, mie tafungua ID 18 kama TUNTEMEKE afu niwe najichangia mwenyewe. Yaani najitekenya afu nacheka.
      Quote By Lizzy
      Kwani pesa yenyewe itakuwa sh. ngapi?Ntahonga watu wachangie thread zangu na wasichangie za wengine.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...