Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 31 of 31
    1. #1
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,098
      Rep Power : 27015
      Likes Received
      8241
      Likes Given
      17377

      Default Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

      Inatokea mtu anakuwa na tabia mbaya na anajua kabisa kwamba tabia hiyo itamletea dhahama au itamuua, lakini yumo tu, inamtesa na hataki kuiacha kabisa, hata akionywa na kupewa mifano mingi ya majanga yanayowapata watu wenye tabia kama hiyo, yeye kila siku anaahidi kuwa ataacha lakini haachi na anaendelea nayo tu...........!
      Mimi mwenzenu nilikuwa na tabia mbaya ambayo ilikuwa ikiniletea kisirani kwa Mama Ngina miaka kumi iliyopita lakini nikaipatia tiba baada ya kwenda kwa washauri wa kisaikolojia mpaka nikaiacha. Tabia yenyewe ilikuwa ni ya kuwa na shingo feni. Jamani ilikuwa asikatize binti mwenye kikalio na kihipsi cha kiushkaji, lazima nisuuze macho hata kwa kuibia ibia. Mama Ngina akapiga kelele wee, mpaka nikaamua kutafuta tiba na sasa nimekuwa huru, hata nione mwanamke mwenye kalio la namna gani wala hainishtui.......
      Hebu wana JF wenzangu fungukeni, ni tabia gani mbaya mlizo nazo na mnashindwa kuziacha kabisa, huenda tukashauriana hapa na kupeana tiba.................!
      SALOK likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Uda'a's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2007
      Posts : 222
      Rep Power : 653
      Likes Received
      63
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By TANMO
      Napiga sana chabo, nilienda kwa Mtume Nabii akaniambia eti nina Jini Machabo...
      Hahahahhaha haya bwana!

      Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums

    4. #22
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3054
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default

      Quote By Mtambuzi
      Cantalisia na wenzako msije mkachangia hii maneno, nitawaachia radhi mtembee makalio nje............... LOL
      Hahahaha!kwa mkwara huu camin km umeacha hako kamchezo,ngoja kesho nije hm na shost wangu mmoja analimzigo la kinyamwez na mavaz yake ni skin jins niprov lol!ila hapa km ni baba mmmh,ujana umemsababishia athar kubwa!
      Mtambuzi likes this.

    5. #23
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3054
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default

      Quote By Asnam
      dua la kuku halimpati mwewe kamwe.
      Asnam nashukuru kwa kuliona hili,hapa tu nadunda na kata k u can imajin cjui nikikosa radhi itakuwaje lol!
      Mtambuzi likes this.

    6. #24
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3054
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default

      Quote By Mamndenyi
      Ngoja waje wanao waone maujanja ya dingi wao ndo tujue pa kuanzia.
      Huyu baba yetu jaman natafuta mtu atakaeweza kumtoa huyo pepo wa downstea maana anabadili stail ya vituko tu!
      Mtambuzi likes this.

    7. #25
      measkron's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 1,563
      Rep Power : 11272
      Likes Received
      679
      Likes Given
      1275

      Default

      Quote By Cantalisia
      Huyu baba yetu jaman natafuta mtu atakaeweza kumtoa huyo pepo wa downstea maana anabadili stail ya vituko tu!
      Unaweza kumuuza! Kuna dogo nilimkuta kavaa tshirt! For sale, my parents, buy one, get one free... Haya weka tangazo umuuze huyu dingi

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8071
      Likes Given
      7565

      Default Re: Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

      Kupenda mpira kupita kiasi,yaani primia ligi ikianza weekend ndo huonekani nyumbani mpaka ligi iishe,kha!
      Mtambuzi likes this.

    10. #27
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,691
      Rep Power : 16249
      Likes Received
      3144
      Likes Given
      4061

      Default Re: Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

      mimi mbaya yakuchungulia simu zake du nimejitahidi nimeshindwa akitoka tu au anaoga mimi nafanya scanning fasta hahahahah ila siku hizi naweza kaaa hata siku mbili tatu ila nikihisi kitu du narudia tena
      Mtambuzi likes this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    11. #28
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,976
      Rep Power : 3704
      Likes Received
      3581
      Likes Given
      5771

      Default Re: Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

      Ooops bora umeacha
      Mtambuzi likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    12. #29
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,098
      Rep Power : 27015
      Likes Received
      8241
      Likes Given
      17377

      Default Re: Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

      Quote By FirstLady1
      Ooops bora umeacha
      FirstLady1 - Lakini siku moja moja huwa naibilizia.................... ..............LOL

    13. #30
      Amyner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Location : Somewhere..
      Posts : 2,329
      Rep Power : 7402
      Likes Received
      769
      Likes Given
      53

      Default Re: Mtambuzi mimi, tabia yangu mbaya iliniletea kisirani...!

      Kumbe ulikuwa hatari weye!

    14. #31
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,605
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2293

      Default

      Quote By Mtambuzi
      Kweli hii nayo ni tabia mbaya.............. Mie mwenyewe hapa mama Ngina kanikodolea macho kwa hasira. maana ananisemesha hata simjibu, niko bize na JF
      angalia mama ngina asikunyime naniliu......

      Kiukweli inabiki kupunguza/kuacha maana shemeji yako kuna siku ananiuliza unachati na nani? Loh....
      Mtambuzi likes this.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...