Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baadhi ya misemo ya WanaJF

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 67
    1. EMT is offline
      EMT
      #1
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,181
      Rep Power : 68916
      Likes Received
      7559
      Likes Given
      6676

      Default Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Kuna watu humu wana misemo, vichekesho, n.k na hata ukiingia JF ukiwa na hasira unawezajikuta unaangua kicheko cha nguvu hadharani. Misemo mingine ni kama trade mark kwa baadhi ya members. Kwa mfano, ni nadra sana kukuta post ya Mkandara ambayo haijaanza na "Mkuu wangu" hata kama anayemjibu alimtukana. Au AshaDii bila kumalizia threads zake na "Pamoja Saana" basi hiyo itakuwa sio uzi wake.

      Misemo mingine basi tuu inakufanya usitake kuikosa JF. Nimejaribu kuonhoresha baadhi ya misemo niliyokutana nayo. Some made my day. Najua ipo misemo mingi wanaJF humu, so ongezea tafadhali.


      1. Your wish is my control – Invisible
      2. Pamoja Saaana – AshaDii
      3. Mkuu Wangu – Mkandara
      4. Usitake Ncheke – Faiza Foxy
      5. Mimi like sana wanaume wa jf - Smile
      6. Oh boy – Mzee Mwanakijiji
      7. Kwani Kongosho ni mwanamke???!?! – TANMO
      8. Kwa mwanamke aliyekamilika kutongozwa siyo story. Story ni kama ungetendwa Kinyume cha tabia au maumbile – Consigliere
      9. Pumba nyingine hazifai hata kulisha ng'ombe – Lizzy
      10. Bora Tanganyika, Tanzania wizi mtupu - Kumbakumba
      11. Nguruwe na ngiri wote haramu, ni mfano tu – Kongosho
      12. Lakini jamani bandugu kutongoza ni crime? Kutongozwa je? – bht
      13. Wenye akili zetu maeneo ya hivi tunayapita kama vile hakuna hata sisimizi! – PakaJimmy
      14. Ujue mie mtoto wa fisadi??..kwetu kuna tv mpaka chooni ati, Nikimwambia baba utapata shida sana... – sweetlady
      15. Nalog off – Washawasha
      16. It's nice to admit when you're shitty! - Peasant
      17. Kama hupenda c.r.a.p acha kuandika c.r.a.p – Lizzy
      18. Itakuwa una plasmodium wengi kichwani kwako – nsangaman
      19. Sasa ndio najua maana ya "chit - chat"! – SMU
      20. Inabidi watu waelewe maana halisi ya neno "kuoana" na si kuoa au kuolewa – Faiza Foxy
      21. Nikipata mwenza humu JF na kubahatika kupata mtoto, nitamwita mtoto Paw - BADILI TABIA
      22. Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha Kongosho
      23. Yani huyu dada cjui kaweka ulimbo kwenye hii sredi yake kila nkitaka kutoka najikuta naendelea kusoma comment za watu kwa fupi leo nimeiba muda wa mwajiri pasee na sasa naishia hadi kesho hata sredi nyingine cjasoma – sakapal
      24. JF is never boring – The Boss


      Chao
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.


    2. #2
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      EMT nilikuwa nashauri mods waweke copy rights au mfumo utakaofanya hii misemo ikitumika
      mwenye msemo wake anakuwa notified hivi.....

      mingine ni hiii
      Miafrika ndo tulivyo -@Nyani ngabu

      this one takes the cake - Gaijin
      EMT, Shantel, Kongosho and 1 others like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    3. #3
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1763
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Hahahahaha
      kabakabana
      EMT likes this.

    4. #4
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,103
      Rep Power : 7784
      Likes Received
      1834
      Likes Given
      3454

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      JF is never Boring - ulijichukulia umaarufu mkubwa sana humu jamvini. Kwa hisani ya The Boss
      EMT and Yummy like this.
      Do Something......

    5. #5
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,103
      Rep Power : 7784
      Likes Received
      1834
      Likes Given
      3454

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Boooffffffff - Boflo
      EMT likes this.
      Do Something......


    6. #6
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1827

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Nafurahia sana.
      EMT likes this.

    7. #7
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,590
      Rep Power : 5183
      Likes Received
      2875
      Likes Given
      237

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      mmmmhhh... Mabwaku!
      EMT likes this.

    8. #8
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      "Kumpiga chura teke ni kumpunguzia mwendo".
      Sikumbuki nani alitoa lkn iko bomba.
      EMT likes this.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    9. #9
      Iselamagazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Boma ng'ombe, Hai
      Posts : 870
      Rep Power : 4734
      Likes Received
      274
      Likes Given
      313

      Default

      Quote By EMT View Post
      Kuna watu humu wana misemo, vichekesho, n.k na hata ukiingia JF ukiwa na hasira unawezajikuta unaangua kicheko cha nguvu hadharani. Misemo mingine ni kama trade mark kwa baadhi ya members. Kwa mfano, ni nadra sana kukuta post ya Mkandara ambayo haijaanza na "Mkuu wangu" hata kama anayemjibu alimtukana. Au AshaDii bila kumalizia threads zake na "Pamoja Saana" basi hiyo itakuwa sio uzi wake.

      Misemo mingine basi tuu inakufanya usitake kuikosa JF. Nimejaribu kuonhoresha baadhi ya misemo niliyokutana nayo. Some made my day. Najua ipo misemo mingi wanaJF humu, so ongezea tafadhali.


      1. Your wish is my control – Invisible
      2. Pamoja Saaana – AshaDii
      3. Mkuu Wangu – Mkandara
      4. Usitake Ncheke – Faiza Foxy
      5. Mimi like sana wanaume wa jf - Smile
      6. Oh boy – Mzee Mwanakijiji
      7. Kwani Kongosho ni mwanamke???!?! – TANMO
      8. Kwa mwanamke aliyekamilika kutongozwa siyo story. Story ni kama ungetendwa Kinyume cha tabia au maumbile – Consigliere
      9. Pumba nyingine hazifai hata kulisha ng'ombe – Lizzy
      10. Bora Tanganyika, Tanzania wizi mtupu - Kumbakumba
      11. Nguruwe na ngiri wote haramu, ni mfano tu – Kongosho
      12. Lakini jamani bandugu kutongoza ni crime? Kutongozwa je? – bht
      13. Wenye akili zetu maeneo ya hivi tunayapita kama vile hakuna hata sisimizi! – PakaJimmy
      14. Ujue mie mtoto wa fisadi??..kwetu kuna tv mpaka chooni ati, Nikimwambia baba utapata shida sana... – sweetlady
      15. Nalog off – Washawasha
      16. It's nice to admit when you're shitty! - Peasant
      17. Kama hupenda c.r.a.p acha kuandika c.r.a.p – Lizzy
      18. Itakuwa una plasmodium wengi kichwani kwako – nsangaman
      19. Sasa ndio najua maana ya "chit - chat"! – SMU
      20. Inabidi watu waelewe maana halisi ya neno "kuoana" na si kuoa au kuolewa – Faiza Foxy
      21. Nikipata mwenza humu JF na kubahatika kupata mtoto, nitamwita mtoto Paw - BADILI TABIA
      22. Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha Kongosho
      23. Yani huyu dada cjui kaweka ulimbo kwenye hii sredi yake kila nkitaka kutoka najikuta naendelea kusoma comment za watu kwa fupi leo nimeiba muda wa mwajiri pasee na sasa naishia hadi kesho hata sredi nyingine cjasoma – sakapal
      24. JF is never boring – The Boss


      Chao
      Pedagogist at Work - Faiza Foxy.
      EMT likes this.

    10. EMT is offline
      EMT
      #10
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,181
      Rep Power : 68916
      Likes Received
      7559
      Likes Given
      6676

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Iselamagazi View Post
      Pedagogist at Work - Faiza Foxy.
      Hahaaaa. I remember this one.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    11. #11
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,720
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8344
      Likes Given
      7748

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      mia=figaniga
      OTIS=Otis
      EMT and Yummy like this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    12. #12
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      EMT umenikumbusha mbali sana lol...
      EMT likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    13. #13
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Kusutwa inakaribia kuwa suna kwa wanaume - Erickb52

      Inahuu - Bishanga

      Think EMT think - klorokwini
      klorokwini, EMT, Kongosho and 1 others like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #14
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,065
      Rep Power : 17577
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      dah.. nimecheka sana mbele ya kadamnasi! mtoa uzi hebu nielekeze jinsi ya kuweka signature!
      EMT likes this.

    15. EMT is offline
      EMT
      #15
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,181
      Rep Power : 68916
      Likes Received
      7559
      Likes Given
      6676

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By sweetlady View Post
      EMT umenikumbusha mbali sana lol...
      Chezea toto la fisadi uone. Tokea siku hiyo nilikukoma. lol

      Quote By charminglady View Post
      dah.. nimecheka sana mbele ya kadamnasi! mtoa uzi hebu nielekeze jinsi ya kuweka signature!
      Umeona eh? Watu wanawezadhani umekuwa kichaa ghafla. Cheki na mamod Invisible, Cookie, Fang, RussianRoulette, japokuwa Mod Paw naona ni mtu wa ban zaidi. Unaweza mwomba msaada akakubamiza na ban bure.
      Invisible, Paw, Roulette and 3 others like this.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    16. #16
      Cookie's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : JF HQ
      Posts : 1,617
      Rep Power : 825
      Likes Received
      281
      Likes Given
      576

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By EMT View Post
      Chezea toto la fisadi uone. Tokea siku hiyo nilikukoma. lol



      Umeona eh? Watu wanawezadhani umekuwa kichaa ghafla. Cheki na mamod Invisible, Cookie, Fang, RussianRoulette, japokuwa Mod Paw naona ni mtu wa ban zaidi. Unaweza mwomba msaada akakubamiza na ban bure.
      EMT

      Kama unachosema ni ukweli, basi Mkuu Paw akisoma hiyo post yako kwenye status yako ya JFSEM chini yake kutatokea neno lingine linaanziwa na B lol
      EMT, Paw and sweetlady like this.
      [email protected]

    17. Nzi is offline
      Nzi
      #17
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,378
      Rep Power : 21639
      Likes Received
      963
      Likes Given
      830

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Ha Ha Ha Ha Ha! Hii ni trademark ya Le Mutuz Baharia.
      EMT and Yummy like this.

    18. #18
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6322
      Likes Given
      2418

      Default

      Quote By Bishanga View Post
      mia=figaniga
      OTIS=Otis
      mzee wa mia nimemmsii
      naoenda msemo wa 'miafrika ndivyo tulivyo'
      EMT likes this.

    19. #19
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By EMT View Post
      Chezea toto la fisadi uone. Tokea siku hiyo nilikukoma. lol
      Hahahahaha!!!!!!!! lol.....afu nilikuwa namtania mtu fulani hivi, mie wala sio mtoto wa fisadi bana!....nimecheka manake umewezaje kuifukua ni ya long sana.
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #20
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Cookie View Post
      EMT

      Kama unachosema ni ukweli, basi Mkuu Paw akisoma hiyo post yako kwenye status yako ya JFSEM chini yake kutatokea neno lingine linaanziwa na B lol
      Cookie nimependa signature yako.....naomba niuzie.
      Life without problems never make a strong and good person!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...