Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baadhi ya misemo ya WanaJF

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 67
    1. EMT is offline
      EMT
      #1
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,160
      Rep Power : 61783
      Likes Received
      7527
      Likes Given
      6665

      Default Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Kuna watu humu wana misemo, vichekesho, n.k na hata ukiingia JF ukiwa na hasira unawezajikuta unaangua kicheko cha nguvu hadharani. Misemo mingine ni kama trade mark kwa baadhi ya members. Kwa mfano, ni nadra sana kukuta post ya Mkandara ambayo haijaanza na "Mkuu wangu" hata kama anayemjibu alimtukana. Au AshaDii bila kumalizia threads zake na "Pamoja Saana" basi hiyo itakuwa sio uzi wake.

      Misemo mingine basi tuu inakufanya usitake kuikosa JF. Nimejaribu kuonhoresha baadhi ya misemo niliyokutana nayo. Some made my day. Najua ipo misemo mingi wanaJF humu, so ongezea tafadhali.


      1. Your wish is my control – Invisible
      2. Pamoja Saaana – AshaDii
      3. Mkuu Wangu – Mkandara
      4. Usitake Ncheke – Faiza Foxy
      5. Mimi like sana wanaume wa jf - Smile
      6. Oh boy – Mzee Mwanakijiji
      7. Kwani Kongosho ni mwanamke???!?! – TANMO
      8. Kwa mwanamke aliyekamilika kutongozwa siyo story. Story ni kama ungetendwa Kinyume cha tabia au maumbile – Consigliere
      9. Pumba nyingine hazifai hata kulisha ng'ombe – Lizzy
      10. Bora Tanganyika, Tanzania wizi mtupu - Kumbakumba
      11. Nguruwe na ngiri wote haramu, ni mfano tu – Kongosho
      12. Lakini jamani bandugu kutongoza ni crime? Kutongozwa je? – bht
      13. Wenye akili zetu maeneo ya hivi tunayapita kama vile hakuna hata sisimizi! – PakaJimmy
      14. Ujue mie mtoto wa fisadi??..kwetu kuna tv mpaka chooni ati, Nikimwambia baba utapata shida sana... – sweetlady
      15. Nalog off – Washawasha
      16. It's nice to admit when you're shitty! - Peasant
      17. Kama hupenda c.r.a.p acha kuandika c.r.a.p – Lizzy
      18. Itakuwa una plasmodium wengi kichwani kwako – nsangaman
      19. Sasa ndio najua maana ya "chit - chat"! – SMU
      20. Inabidi watu waelewe maana halisi ya neno "kuoana" na si kuoa au kuolewa – Faiza Foxy
      21. Nikipata mwenza humu JF na kubahatika kupata mtoto, nitamwita mtoto Paw - BADILI TABIA
      22. Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha Kongosho
      23. Yani huyu dada cjui kaweka ulimbo kwenye hii sredi yake kila nkitaka kutoka najikuta naendelea kusoma comment za watu kwa fupi leo nimeiba muda wa mwajiri pasee na sasa naishia hadi kesho hata sredi nyingine cjasoma – sakapal
      24. JF is never boring – The Boss


      Chao
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.


    2. #41
      Mwasi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2010
      Posts : 188
      Rep Power : 512
      Likes Received
      59
      Likes Given
      238

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      JF ni zaidi ya social network - Mwakalinga
      EMT and Yummy like this.
      I Miss my Mum

    3. #42
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      SEX relieves tension. Love causes it. - Erotica.
      EMT likes this.

    4. #43
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,256
      Rep Power : 1771
      Likes Received
      1041
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Nzi View Post
      Ha Ha Ha Ha Ha! Hii ni trademark ya Le Mutuz Baharia.

      Ukiisoma Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! ujue Baharia Le Mutuz William Malecela yuko around anamkoma nyani giladi...
      Dah jamaa ni tatizo kwa wenye hasira.

    5. Paw is offline
      Paw
      #44
      Paw's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 1,568
      Rep Power : 2852
      Likes Received
      627
      Likes Given
      2182

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Thanx sina usemi maarufu....
      (BADILIKA, bofya hapa ===> ####)

    6. #45
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,051
      Rep Power : 3722
      Likes Received
      3619
      Likes Given
      5876

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Ok ok ..
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma


    7. #46
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Nzi View Post
      Ha Ha Ha Ha Ha! Hii ni trademark ya Le Mutuz Baharia.
      I wanted to say the same thing....umeniwahiiii yaaani huyu jamaaa daaah
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    8. #47
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26577
      Likes Received
      5850
      Likes Given
      5721

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Paw View Post
      Thanx sina usemi maarufu....
      Subira ni Hekima Paw
      Paw likes this.
      life goes on.....

    9. #48
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Humu ndani kuna watu mmejaaliwa maneno looh..... Lizzy we nimeona nikuache tu maana ni kashesheeee sijui nichukue ipi niache ipi

      JF mwisho wa matatizo! - NATA

      Ulishindwa kuninunulia matiti ya kuku pale kwa Edo utaweza umemba wa jf? - Kongosho

      Hujui mapenzi nini wewe? acha kumrukia mkeo kama kuku... - Smile

      Best wangu,mbona kifua kinapanda na kushuka? au una ham na tendo la ndoa?- Bishanga

      Gombana na mbwa wako, usigombanne na jalala la jirani mwanakwetu!- king’asti

      Anaefanya uzinzi ni mjinga,lakini anaelipa ujinga kwa ujinga ni mjinga zaidi!- Eiyer

      Tunda au firigisi?! – Eliza wa Tegeta

      Naishi Matejoo - Nyani Ngabu

      Uke wa mbele au nyuma?- Natasha Ismail (nilicheka nusu nipaliwe)

      Mi si mtu wa kujilipua kama wewe.....Mimba zote nimezihifadhi kwenye kondom, siku wakihitaji nawamiminia...... - Asprin

      Jaribu msomali, utawakumbuka wabongo dental fomula yao huwa inakwaruza kama ka tuthpik hivi - Kongosho (niliangua kicheko cha ajabu na kila nikikumbuka nabakia kucheka mwenyewe)

      Niniliyu yake inapumulia mashine kama jamaa flan (simtaji anatembea na gobole la mchina,'i will kill you' ndo signature yake jf) - Bishanga

      Msafara wa Mamba kenge huwa hawakosekani hata siku moja,na ukiukaguwa vizuri utawakuta hadi mijusi na magong'ore. Jingas kabisa wewe.- JB WISER

      Hivi unajua kuwa wanamme wengi kichwa kidogo kikiwa bizekichwa kikubwa kinashut down? - Kongosho

      Usijali mme wangu nacha mchana soon ntakupatia mpaka ucheue!! - Cantalisia
      NATA and afrodenzi like this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    10. #49
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8420
      Likes Received
      1135
      Likes Given
      390

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Yummy View Post
      Humu ndani kuna watu mmejaaliwa maneno looh..... Lizzy we nimeona nikuache tu maana ni kashesheeee sijui nichukue ipi niache ipi

      JF mwisho wa matatizo! - NATA

      Ulishindwa kuninunulia matiti ya kuku pale kwa Edo utaweza umemba wa jf? - Kongosho

      Hujui mapenzi nini wewe? acha kumrukia mkeo kama kuku... - Smile

      Best wangu,mbona kifua kinapanda na kushuka? au una ham na tendo la ndoa?- Bishanga

      Gombana na mbwa wako, usigombanne na jalala la jirani mwanakwetu!- king’asti

      Anaefanya uzinzi ni mjinga,lakini anaelipa ujinga kwa ujinga ni mjinga zaidi!- Eiyer

      Tunda au firigisi?! – Eliza wa Tegeta

      Naishi Matejoo - Nyani Ngabu

      Uke wa mbele au nyuma?- Natasha Ismail (nilicheka nusu nipaliwe)

      Mi si mtu wa kujilipua kama wewe.....Mimba zote nimezihifadhi kwenye kondom, siku wakihitaji nawamiminia...... - Asprin

      Jaribu msomali, utawakumbuka wabongo dental fomula yao huwa inakwaruza kama ka tuthpik hivi - Kongosho (niliangua kicheko cha ajabu na kila nikikumbuka nabakia kucheka mwenyewe)

      Niniliyu yake inapumulia mashine kama jamaa flan (simtaji anatembea na gobole la mchina,'i will kill you' ndo signature yake jf) - Bishanga

      Msafara wa Mamba kenge huwa hawakosekani hata siku moja,na ukiukaguwa vizuri utawakuta hadi mijusi na magong'ore. Jingas kabisa wewe.- JB WISER

      Hivi unajua kuwa wanamme wengi kichwa kidogo kikiwa bizekichwa kikubwa kinashut down? - Kongosho

      Usijali mme wangu nacha mchana soon ntakupatia mpaka ucheue!! - Cantalisia
      Haya wee!
      The Boss likes this.

    11. #50
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By ndetichia View Post
      mmmmhhh... Mabwaku!
      mdau upoooooo

    12. #51
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,532
      Rep Power : 18655
      Likes Received
      3624
      Likes Given
      2380

      Default

      Quote By Paw View Post
      Thanx sina usemi maarufu....
      Mkuu, upo!?
      Paw likes this.

    13. #52
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      job true true ndetichia

    14. #53
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Yummy haki vile nagoma kucheka na wewe. Yani Bishanga umemuona wa maana kuliko mimi?

    15. #54
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,437
      Rep Power : 35816
      Likes Received
      6852
      Likes Given
      21060

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Mia alienda wapi.

    16. #55
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,163
      Rep Power : 25448
      Likes Received
      14874
      Likes Given
      15822

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      i am too old for this- The Boss
      The Boss likes this.

    17. #56
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,378
      Rep Power : 5157
      Likes Received
      3339
      Likes Given
      2738

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Inaniuma Sana By mizambwa
      mizambwa likes this.

    18. #57
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Lizzy View Post
      Yummy haki vile nagoma kucheka na wewe. Yani Bishanga umemuona wa maana kuliko mimi?
      Mpenzi wangu Lizzy nielewavyo mie wewe na Bishanga ni kitu kimoja kwa mana hiyo basi akijaharibika kitu(wewe ndo yeye na yeye ndo wewe)teh teh teh teh NN usisome hapa,funga macho kabisa!
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    19. #58
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI nimesahau aliyekua anatumia hii kauli.

    20. #59
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 429
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI nimesahau aliyekua anatumia hii kauli.
      Nadhani jamaa mwenye huo msemo anatumikia bann ya mwenzi alikuwa akiitwa Kadakabekile

    21. #60
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Yummy View Post
      Mpenzi wangu Lizzy nielewavyo mie wewe na Bishanga ni kitu kimoja kwa mana hiyo basi akijaharibika kitu(wewe ndo yeye na yeye ndo wewe)teh teh teh teh NN usisome hapa,funga macho kabisa!
      I don't like you anymore!

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...