Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baadhi ya misemo ya WanaJF

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 67
    1. EMT
      #1
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,867
      Rep Power : 61719
      Likes Received
      7146
      Likes Given
      6417

      Default Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Kuna watu humu wana misemo, vichekesho, n.k na hata ukiingia JF ukiwa na hasira unawezajikuta unaangua kicheko cha nguvu hadharani. Misemo mingine ni kama trade mark kwa baadhi ya members. Kwa mfano, ni nadra sana kukuta post ya Mkandara ambayo haijaanza na "Mkuu wangu" hata kama anayemjibu alimtukana. Au AshaDii bila kumalizia threads zake na "Pamoja Saana" basi hiyo itakuwa sio uzi wake.

      Misemo mingine basi tuu inakufanya usitake kuikosa JF. Nimejaribu kuonhoresha baadhi ya misemo niliyokutana nayo. Some made my day. Najua ipo misemo mingi wanaJF humu, so ongezea tafadhali.


      1. Your wish is my control – Invisible
      2. Pamoja Saaana – AshaDii
      3. Mkuu Wangu – Mkandara
      4. Usitake Ncheke – Faiza Foxy
      5. Mimi like sana wanaume wa jf - Smile
      6. Oh boy – Mzee Mwanakijiji
      7. Kwani Kongosho ni mwanamke???!?! – TANMO
      8. Kwa mwanamke aliyekamilika kutongozwa siyo story. Story ni kama ungetendwa Kinyume cha tabia au maumbile – Consigliere
      9. Pumba nyingine hazifai hata kulisha ng'ombe – Lizzy
      10. Bora Tanganyika, Tanzania wizi mtupu - Kumbakumba
      11. Nguruwe na ngiri wote haramu, ni mfano tu – Kongosho
      12. Lakini jamani bandugu kutongoza ni crime? Kutongozwa je? – bht
      13. Wenye akili zetu maeneo ya hivi tunayapita kama vile hakuna hata sisimizi! – PakaJimmy
      14. Ujue mie mtoto wa fisadi??..kwetu kuna tv mpaka chooni ati, Nikimwambia baba utapata shida sana... – sweetlady
      15. Nalog off – Washawasha
      16. It's nice to admit when you're shitty! - Peasant
      17. Kama hupenda c.r.a.p acha kuandika c.r.a.p – Lizzy
      18. Itakuwa una plasmodium wengi kichwani kwako – nsangaman
      19. Sasa ndio najua maana ya "chit - chat"! – SMU
      20. Inabidi watu waelewe maana halisi ya neno "kuoana" na si kuoa au kuolewa – Faiza Foxy
      21. Nikipata mwenza humu JF na kubahatika kupata mtoto, nitamwita mtoto Paw - BADILI TABIA
      22. Unachotaka kufanya ni sawa na maharage yakatae kuiva halafu unayaponda kwa mwiko, jibu ni kuwa hayajaiva tu na hayatakuwa na ladha Kongosho
      23. Yani huyu dada cjui kaweka ulimbo kwenye hii sredi yake kila nkitaka kutoka najikuta naendelea kusoma comment za watu kwa fupi leo nimeiba muda wa mwajiri pasee na sasa naishia hadi kesho hata sredi nyingine cjasoma – sakapal
      24. JF is never boring – The Boss


      Chao
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Cookie's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : JF HQ
      Posts : 1,591
      Rep Power : 816
      Likes Received
      281
      Likes Given
      561

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By sweetlady
      Cookie nimependa signature yako.....naomba niuzie.
      sweetlady ..... okay let us do barter trade ..... tubadilishane wewe tumia yangu na mimi nitatumia yako ... sawa?
      sweetlady likes this.
      [email protected]

    4. #22
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,091
      Rep Power : 27013
      Likes Received
      8214
      Likes Given
      17308

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Ina maana mie sina msemo unaochekesha humu..............!
      Kongosho likes this.

    5. #23
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5613
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default

      Quote By Mtambuzi
      Ina maana mie sina msemo unaochekesha humu..............!
      wewe si unaogopa wanao wasikusemee.........ndo maana hauna msemo...

    6. #24
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,107
      Rep Power : 13053
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe-Konnie
      Wewe ni he au she-@Bishanga
      Hunijui sikujui achana na mimi-Lizzy ft TF&Konnie
      Leo nasikiliza tum,nachukua notisi-@Mwali
      EMT likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    7. #25
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14596
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Kongosho
      Mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe-Konnie
      Wewe ni he au she-@Bishanga
      Hunijui sikujui achana na mimi-Lizzy ft TF&Konnie
      Leo nasikiliza tum,nachukua notisi-@Mwali
      Yani wifi umeniwahi. . .
      Nimeingia kwenye hii thread nikiwa na lengo la kuandika namba 1 na 3. . .

      Nwy asante EMT. . kuna za watu natamani kuziweka kwenye rekodi ila sizikumbuki vizuri.
      EMT and Kongosho like this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Cookie
      sweetlady ..... okay let us do barter trade ..... tubadilishane wewe tumia yangu na mimi nitatumia yako ... sawa?
      Sawa!.....tunaanza sa ngapi?
      Cookie likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    10. #27
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,472
      Rep Power : 35628
      Likes Received
      5024
      Likes Given
      5750

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      To put it another way: If you are not satisfied with us just tell us, but if you are satisfied, happy and enjoyed our services and our policies, let others know and bring them over. EMT



      Halafu kuna yule mngine hata nashindwa kumnukuu hapa, nimejikuta nacheka tu. Nikimaliza kucheka narudi kumtaja. Kweli JF is never Boring ( The Boss )
      The Boss and EMT like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    11. #28
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7634
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By sweetlady
      Kusutwa inakaribia kuwa suna kwa wanaume - Erickb52

      Inahuu - Bishanga

      Think EMT think - klorokwini
      Ngastuka! - sweetlady
      Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja - Asprin
      Soulmate - Mbu na MwanajamiiOne
      EMT and sweetlady like this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    12. #29
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default

      Quote By klorokwini
      Ngastuka! - sweetlady
      Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja - Asprin
      Soulmate - Mbu na MwanajamiiOne
      mic u lawyer
      klorokwini likes this.

    13. #30
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7634
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Kabakabana
      mic u lawyer
      miss u 4, ulkuwa wapi? au kuna njemba imechukua jumla?
      sweetlady likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    14. #31
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,107
      Rep Power : 13053
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default

      Think, loya Think.
      Unataka kuliwa.

      Quote By klorokwini
      miss u 4, ulkuwa wapi? au kuna njemba imechukua jumla?
      klorokwini, EMT and sweetlady like this.

    15. #32
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default

      Quote By klorokwini
      miss u 4, ulkuwa wapi? au kuna njemba imechukua jumla?
      nipate wapi ndugu yangu?ndo nilikuwa nataka nikwambie untaftie lawyer mwenzako anilee,nimejaa upweke na hii baridi ya A town
      klorokwini likes this.

    16. #33
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default

      Quote By Kongosho
      Think, loya Think.
      Unataka kuliwa.
      hahaha wifi vipi tena?mbona unaniharibia?

    17. #34
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7634
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Kongosho
      Think, loya Think.
      Unataka kuliwa.
      heheeh kibarua chenyewe kimeota mbawa, mi mwenyewe natafta jimama linilee sasa, maisha ishakuwa ngumu hapa mjini.
      kwa ufupi haibiwi mtu labda bishanga
      sweetlady likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    18. #35
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7634
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By Kabakabana
      nipate wapi ndugu yangu?ndo nilikuwa nataka nikwambie untaftie lawyer mwenzako anilee,nimejaa upweke na hii baridi ya A town
      Ok, utapokea PM ya kiingereza soon, jiandae kuwa muke ya muzungu
      sweetlady likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    19. EMT
      #36
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,867
      Rep Power : 61719
      Likes Received
      7146
      Likes Given
      6417

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By sweetlady
      Hahahahaha!!!!!!!! lol.....afu nilikuwa namtania mtu fulani hivi, mie wala sio mtoto wa fisadi bana!....nimecheka manake umewezaje kuifukua ni ya long sana.
      Hansards za JF hazifutiki ati.
      Nafikiri niliikuta kwenye uzi wa Mpolee

      Quote By RussianRoulette


      Halafu kuna yule mngine hata nashindwa kumnukuu hapa, nimejikuta nacheka tu. Nikimaliza kucheka narudi kumtaja. Kweli JF is never Boring ( The Boss )
      Bado unacheka tuu?
      sweetlady likes this.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    20. #37
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default

      Quote By klorokwini
      Ok, utapokea PM ya kiingereza soon, jiandae kuwa muke ya muzungu
      be fast my legs are up.
      klorokwini likes this.

    21. #38
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,472
      Rep Power : 35628
      Likes Received
      5024
      Likes Given
      5750

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Quote By EMT
      Bado unacheka tuu?
      Najua unaakili sana, na kwa vile unaakili umesha mjua.

      Haya, ya shemeji yangu mpendwa hii hapa: Dont take jf too seriously - Kaizer
      Kaizer and EMT like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    22. #39
      Shantel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2011
      Location : Blue Lagoon
      Posts : 2,020
      Rep Power : 852
      Likes Received
      1051
      Likes Given
      1196

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Khaaaaa, mweeeeeee, jamaaani - shantel
      The Boss and EMT like this.
      Maisha ni Safari Ishi Upendavyo

    23. #40
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,513
      Rep Power : 2274
      Likes Received
      2319
      Likes Given
      4025

      Default Re: Baadhi ya misemo ya WanaJF

      Leo ukilala na mkeo ukamwangalia usoni unaweza ukaona sura ya Tores.....by @Klorikwini
      EMT likes this.
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...