Wana jf habari zenyu bana, hebu tujuzane nini maana ya username yako na ilikuwaje ukajiita hivyo,mfano-kiziwi,kongosho,mbumbumbu -maranyingi wana jf huwakosoa kwausername zao mfano kiziwi huambiwa mawazo yake yamefanana na username yake mi huwa nakuwa hoi sana
naomba
mimi username yangu niliipenda sababu wamoyo wangu anapenda sana product za hiyo kampuni
nijuze nijuze tujuzane !!!!!!!!
Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.
Kama kuna members wanao judge Username ya member imefananaje!
Basi itakuwepo shughuli.
Mf. Humu kuna member anaitwa Boro !
Huyu mtamhukumuje?
Mimi sijui .
Kama kuna members wanao judge Username ya member imefananaje!
Basi itakuwepo shughuli.
Mf. Humu kuna member anaitwa Boro !
Huyu mtamhukumuje?
Mimi sijui .
Mimi nimejiita queen sababu mimi ni mwanamke na ninaamini kuwa wanawake wote tunatakiwa kuchukuliwa kama malkia.
Hivyo mimi najichukulia kama malkia.
Wale wanaodharau mama zao,wale wanaopiga wake zao,kuwadharau,kuwacheat na kuwanyanyanyasa na wale wanaowaona wanawake si lolote bali matatizo tu katika jamii wanakosea kwani malkia kamwe hastahili kufanyiwa hivyo.
Hiyo ndio sababu ya mimi kujiita Malkia.
kuna jamaa akuja humu akijiita KIFILIO, Mamod waliandamana abadilishe akagoma. invisible ikabidi aedit jina akamuita KIFILI. jamaa aliandamana mpaka ikulu akitaka jina lake eti ni jina la babu yake. sijui kama siku hizi anaingia jf.
Follow Us Here