Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Majina ya wana JD yananichekesha sana!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 52
    1. #1
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,989
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3402
      Likes Given
      4352

      Default Majina ya wana JD yananichekesha sana!

      Wana jf habari zenyu bana, hebu tujuzane nini maana ya username yako na ilikuwaje ukajiita hivyo,mfano-kiziwi,kongosho,mbumbumbu -maranyingi wana jf huwakosoa kwausername zao mfano kiziwi huambiwa mawazo yake yamefanana na username yake mi huwa nakuwa hoi sana
      naomba


      mimi username yangu niliipenda sababu wamoyo wangu anapenda sana product za hiyo kampuni
      nijuze nijuze tujuzane !!!!!!!!
      Kipipi likes this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.


    2. #2
      Good Guy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 3,489
      Rep Power : 1324
      Likes Received
      669
      Likes Given
      318

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      nlishaona uzi kama huu b4,but wat th heck. I،m a guy nd i،m Good need i say mr
      Nivea likes this.

    3. #3
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,326
      Rep Power : 28893
      Likes Received
      8632
      Likes Given
      6251

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Me User Name yangu niliipenda kwa jinsi nilivyo,
      kwani nimekaa Kimadame-madame!!
      Na wa Moyo wangu anapenda sana Dread na swaga zangu.
      Nivea likes this.

    4. #4
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,139
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      2872
      Likes Given
      12

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Kama kuna members wanao judge Username ya member imefananaje!
      Basi itakuwepo shughuli.
      Mf. Humu kuna member anaitwa Boro !
      Huyu mtamhukumuje?
      Mimi sijui .
      Kipipi and Nivea like this.

    5. #5
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,446
      Rep Power : 981
      Likes Received
      373
      Likes Given
      1825

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Heri wote mgelikuwa kama mimi.


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      FirstLady1 and Nivea like this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015


    6. #6
      Good Guy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 3,489
      Rep Power : 1324
      Likes Received
      669
      Likes Given
      318

      Default

      Quote By Judgement View Post
      Kama kuna members wanao judge Username ya member imefananaje!
      Basi itakuwepo shughuli.
      Mf. Humu kuna member anaitwa Boro !
      Huyu mtamhukumuje?
      Mimi sijui .
      bora huyo je huyuView Profile: Tusker Bariiiidi - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
      Nivea likes this.

    7. #7
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,064
      Rep Power : 17576
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Am always charming, ndo maana nikajiita charminglady.....
      Nivea likes this.

    8. #8
      UPOPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 343
      Rep Power : 459
      Likes Received
      104
      Likes Given
      45

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      ndio maana mimi ni UPOPO

    9. #9
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,191
      Rep Power : 596
      Likes Received
      137
      Likes Given
      0

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      ma username mengine kama hili KIJAMBIO sijui mamtu yanafikiliaje mpaka kujiita hivi

    10. #10
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1826

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mtu huandika tu limkutalo kichwani. Though great thinker hutafuta yale yafananayo na maisha yao halisi.

    11. #11
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Madame B View Post
      Me User Name yangu niliipenda kwa jinsi nilivyo,
      kwani nimekaa Kimadame-madame!!
      Na wa Moyo wangu anapenda sana Dread na swaga zangu.
      ......nani huyo?haya bwana mi mi Id ni jina langu halisi

    12. #12
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,503
      Rep Power : 689
      Likes Received
      363
      Likes Given
      53

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Niliitwa mtoto wa Mbwa na fisadi mmoja, nikaona isiwe tabu nikaiweka kwa Lugha ya Malkia

    13. #13
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8457
      Likes Given
      17777

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mie nawatambua Wazinzi wote humu na ndio maana najiita MTAMBUZI................
      In short hata wewe nishakutambua................. .LOL

    14. #14
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 978
      Rep Power : 5304
      Likes Received
      369
      Likes Given
      712

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mimi nimejiita queen sababu mimi ni mwanamke na ninaamini kuwa wanawake wote tunatakiwa kuchukuliwa kama malkia.
      Hivyo mimi najichukulia kama malkia.
      Wale wanaodharau mama zao,wale wanaopiga wake zao,kuwadharau,kuwacheat na kuwanyanyanyasa na wale wanaowaona wanawake si lolote bali matatizo tu katika jamii wanakosea kwani malkia kamwe hastahili kufanyiwa hivyo.
      Hiyo ndio sababu ya mimi kujiita Malkia.
      Kipipi likes this.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    15. #15
      Amyner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Location : Somewhere..
      Posts : 2,329
      Rep Power : 7405
      Likes Received
      769
      Likes Given
      53

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Aminah...Amyner.. My adorable name!
      Kipipi likes this.

    16. #16
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,406
      Rep Power : 1392
      Likes Received
      977
      Likes Given
      182

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      mie napita nitakuja kufafanua username yangu baadae kidogo

    17. #17
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,584
      Rep Power : 5181
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      237

      Default

      Quote By KALYOVATIPI View Post
      ma username mengine kama hili KIJAMBIO sijui mamtu yanafikiliaje mpaka kujiita hivi
      na kifilin wote washafutiliwa mbali

    18. #18
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,408
      Rep Power : 966
      Likes Received
      584
      Likes Given
      143

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      kuna jamaa akuja humu akijiita KIFILIO, Mamod waliandamana abadilishe akagoma. invisible ikabidi aedit jina akamuita KIFILI. jamaa aliandamana mpaka ikulu akitaka jina lake eti ni jina la babu yake. sijui kama siku hizi anaingia jf.

    19. #19
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,429
      Rep Power : 1093
      Likes Received
      684
      Likes Given
      1327

      Default

      Quote By Madame B View Post
      Na wa Moyo wangu anapenda sana Dread na swaga zangu.
      Msalimie sana, maana ana akili kama yangu. Good Madame B.

    20. #20
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,429
      Rep Power : 1093
      Likes Received
      684
      Likes Given
      1327

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mie natumia jina langu kabisa.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...