Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Majina ya wana JD yananichekesha sana!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 52
    1. #1
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,706
      Rep Power : 16252
      Likes Received
      3151
      Likes Given
      4076

      Default Majina ya wana JD yananichekesha sana!

      Wana jf habari zenyu bana, hebu tujuzane nini maana ya username yako na ilikuwaje ukajiita hivyo,mfano-kiziwi,kongosho,mbumbumbu -maranyingi wana jf huwakosoa kwausername zao mfano kiziwi huambiwa mawazo yake yamefanana na username yake mi huwa nakuwa hoi sana
      naomba


      mimi username yangu niliipenda sababu wamoyo wangu anapenda sana product za hiyo kampuni
      nijuze nijuze tujuzane !!!!!!!!
      Kipipi likes this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Good Guy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 3,484
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      669
      Likes Given
      318

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      nlishaona uzi kama huu b4,but wat th heck. I،m a guy nd i،m Good need i say mr
      Nivea likes this.

    4. #3
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,479
      Rep Power : 28587
      Likes Received
      8091
      Likes Given
      5892

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Me User Name yangu niliipenda kwa jinsi nilivyo,
      kwani nimekaa Kimadame-madame!!
      Na wa Moyo wangu anapenda sana Dread na swaga zangu.
      Nivea likes this.

    5. #4
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,035
      Rep Power : 7215
      Likes Received
      2790
      Likes Given
      12

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Kama kuna members wanao judge Username ya member imefananaje!
      Basi itakuwepo shughuli.
      Mf. Humu kuna member anaitwa Boro !
      Huyu mtamhukumuje?
      Mimi sijui .
      Kipipi and Nivea like this.

    6. #5
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Heri wote mgelikuwa kama mimi.


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      FirstLady1 and Nivea like this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    7. Miaka 50

    8. #6
      Good Guy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 3,484
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      669
      Likes Given
      318

      Default

      Quote By Judgement
      Kama kuna members wanao judge Username ya member imefananaje!
      Basi itakuwepo shughuli.
      Mf. Humu kuna member anaitwa Boro !
      Huyu mtamhukumuje?
      Mimi sijui .
      bora huyo je huyuView Profile: Tusker Bariiiidi - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
      Nivea likes this.

    9. #7
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,880
      Rep Power : 17536
      Likes Received
      4896
      Likes Given
      5322

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Am always charming, ndo maana nikajiita charminglady.....
      Nivea likes this.

    10. #8
      UPOPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 343
      Rep Power : 456
      Likes Received
      104
      Likes Given
      45

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      ndio maana mimi ni UPOPO

    11. #9
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 591
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      ma username mengine kama hili KIJAMBIO sijui mamtu yanafikiliaje mpaka kujiita hivi

    12. #10
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,348
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1799

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mtu huandika tu limkutalo kichwani. Though great thinker hutafuta yale yafananayo na maisha yao halisi.

    13. #11
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Madame B
      Me User Name yangu niliipenda kwa jinsi nilivyo,
      kwani nimekaa Kimadame-madame!!
      Na wa Moyo wangu anapenda sana Dread na swaga zangu.
      ......nani huyo?haya bwana mi mi Id ni jina langu halisi

    14. #12
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,482
      Rep Power : 682
      Likes Received
      360
      Likes Given
      53

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Niliitwa mtoto wa Mbwa na fisadi mmoja, nikaona isiwe tabu nikaiweka kwa Lugha ya Malkia

    15. #13
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,098
      Rep Power : 27015
      Likes Received
      8249
      Likes Given
      17377

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mie nawatambua Wazinzi wote humu na ndio maana najiita MTAMBUZI................
      In short hata wewe nishakutambua................. .LOL

    16. #14
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 943
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      670

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mimi nimejiita queen sababu mimi ni mwanamke na ninaamini kuwa wanawake wote tunatakiwa kuchukuliwa kama malkia.
      Hivyo mimi najichukulia kama malkia.
      Wale wanaodharau mama zao,wale wanaopiga wake zao,kuwadharau,kuwacheat na kuwanyanyanyasa na wale wanaowaona wanawake si lolote bali matatizo tu katika jamii wanakosea kwani malkia kamwe hastahili kufanyiwa hivyo.
      Hiyo ndio sababu ya mimi kujiita Malkia.
      Kipipi likes this.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    17. #15
      Amyner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Location : Somewhere..
      Posts : 2,329
      Rep Power : 7402
      Likes Received
      769
      Likes Given
      53

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Aminah...Amyner.. My adorable name!
      Kipipi likes this.

    18. #16
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,281
      Rep Power : 1364
      Likes Received
      953
      Likes Given
      182

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      mie napita nitakuja kufafanua username yangu baadae kidogo

    19. #17
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,239
      Rep Power : 5109
      Likes Received
      2790
      Likes Given
      232

      Default

      Quote By KALYOVATIPI
      ma username mengine kama hili KIJAMBIO sijui mamtu yanafikiliaje mpaka kujiita hivi
      na kifilin wote washafutiliwa mbali

    20. #18
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      kuna jamaa akuja humu akijiita KIFILIO, Mamod waliandamana abadilishe akagoma. invisible ikabidi aedit jina akamuita KIFILI. jamaa aliandamana mpaka ikulu akitaka jina lake eti ni jina la babu yake. sijui kama siku hizi anaingia jf.

    21. #19
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,400
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      661
      Likes Given
      1306

      Default

      Quote By Madame B
      Na wa Moyo wangu anapenda sana Dread na swaga zangu.
      Msalimie sana, maana ana akili kama yangu. Good Madame B.

    22. #20
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,400
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      661
      Likes Given
      1306

      Default Re: Majina ya wana jf yananichekesha sana !!!!!!!

      Mie natumia jina langu kabisa.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...