Jamani wanajamvi naombeni mnijuze, hivi kipi kilijiri kipindi sipo?
Huyu mdada ni wifi yangu kabisaa na tulikua tunaiva.Leo nimerudi naona ananianzishia vijembe.Nisaidieni jamani lol
Jamani wanajamvi naombeni mnijuze, hivi kipi kilijiri kipindi sipo?
Huyu mdada ni wifi yangu kabisaa na tulikua tunaiva.Leo nimerudi naona ananianzishia vijembe.Nisaidieni jamani lol
Nyie watoto huwa mnalalaga saa ngapi?
BADILI TABIA , mie wala siliwezi lol....amepita nyumbani jioni hii hajanambia yote haya anakuja kuyasemea huku khaaa....huyu nishamgundua ananitafutia ubaya afu akareport kwa kakake!....Najiweka pembeni mwaya.
Life without problems never make a strong and good person!
Follow Us Here