Utakuta mtu ameshajua kuwa saint ivuga wa JF ni nani anazunguka zunguka kuambia watu kuwa fulani ndio SI .mwanaume mzima kidomodomo cha nini? Si ukaushe unawashwa na nini? tukitaka kujulikana kwa majina yetu real tutajitokeza tu ...kula tano zako na tulizana mwanaume mzima kuwa mbea haisaidii...
@ bongo dsm.

Reply With Quote


Follow Us Here