Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 86
    1. #1
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!




      Kipindi hiki kinaanza na Mzee wetu Bishanga, ambaye baada ya kunizungusha sana kukubali mualiko wangu, hatimaye leo amekubali mualiko wangu na kuja hapa Studio kwa mahojiano haya ambayo yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

      Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Mzee Bishanga swali lolote na yeye bila shaka atayajibu mwaswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

      Kwa kuanza ninayo maswali kumi ambayo ningependa kumuuliza Mzee Bishanga:

      1. Je umezaliwa msimu gani?
      2. Je Ulijisikiaje uliposhiriki tendo la kujamiiana kwa mara ya kwanza?
      3. Je Umewahi Kutendwa
      4. Je umewowa? Kama umewowa, Je una watoto wangapi, na kama hujawowa, Je nini mustakabali wako wa maisha ya uzeeni?
      5. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
      6. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
      7. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
      8. Je unapenda chakula cha aina gani?
      9. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mheshimiwa Rais ungemweleza jambo gani linalokukera katika uongozi wake?
      10. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?

      Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mzee wetu Bishanga atakuja kuyajibu maswali yenu.

      Karibuni sana


    2. Miaka 50

    3. #2
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Wiki ijayo, Zinduna Talk Show itakuwa na mgeni wetu anayekwenda kwa jina la Kipipi
      Nitakuwa na-balance gender
      Saint Ivuga, Kipipi and Mwali like this.

    4. #3
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Naomba mvute subira kwani Mzee Bishanga anajipiga sopu sopu kwa mapouda kabla hajauza sura live kwenye hii JF TV live kabisa

    5. #4
      Junior. Cux's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 587
      Likes Received
      153
      Likes Given
      24

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      dah hapa sitoki ngoja nisubili majibu.. afu kumbe huyu mzee anauza ndizi au ni pozi tu.!!?
      Bishanga and Zinduna like this.

    6. #5
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Kwa wale wenye vijiswali vyao, naomba mtupie humu kwani leo Mzee Bishanga amesema ataweka mambo yake yote hadharani!


    7. #6
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Ahsante sana ndugu mtangazaji kwa kunikaribisha katika kipindi chako maridhawa.Nianze kwa kukuomba uondoe hako ka laptop hapo ili nikuchungulie vizuri.
      Mithali maswali yako umeyaandaa kwa mandishi nitayajibu kwa maandishi pamoja na kwamba tupo pamoja studio hapa lower manhattan,new york.
      Twende moja kwa moja kwenye majibu numerically.
      1.Nimezaliwa katika hospitali ya Asp and Clor ,london,majira ya joto,1940.Baba yangu ni mtanganyika wa kwanza kwanza kusoma UK,alikwenda na mama.
      2.Kujamiiana 1st time? Of course nilijifunzia kwa housegirl,who else (vijana wote waliokulia ostabei ndo zao anyway akiwemo Rejao).
      3.Kutendwa? Mbaya wangu unamjua anaishi Unga ltd.
      4.Kuoa? Nimeoa,nikaacha,nikaoa,nikaach a,nikaoa,nikaacha,nikaoa...... ....
      5.Tukio la huzuni?Kumfumania mai waif wangu na shamba boy,hivi wanawake mkoje? (Shamba boy mwenyewe anaitwa kongosho),kidogo niue.
      6.Tukio la furaha? Nyani Ngabu alivyopigwa chini na mkewe,alimfumania na hausgel.
      7.Rangi za nguo? Bishanga ni mtu wa white,white underwear,white singlet,white henkachif.Sipendi jeans.
      8.Msosi? Mi ni mtu wa serena,karambezi,hyatt....na huko mi ni kufakamia mi prawns,rare steak,ma caviar, of course nasukumia na wine za ukweli,jioni henken.
      9.Zinduna bana,el presidaa niko naye deile,mi ndo chif advaisa wake mambo ya uchumi,biashara na mifweza.
      10.Legacy? Do i really need to have a legacy? Basi legacy yangu itakuwa kumshawishi Husninyo arudi jamvini.
      Nimalizie kwa kusema mgeni wako ajaye naomba awe Lizzy tafadhali,kuna neno nataka kusikia toka mdomoni mwake.
      Last edited by Bishanga; 28th May 2012 at 09:03.

    8. #7
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Junior. Cux
      dah hapa sitoki ngoja nisubili majibu.. afu kumbe huyu mzee anauza ndizi au ni pozi tu.!!?
      Bishanga ni mhaya pyua,full time kula ndizi.
      Kipipi likes this.

    9. #8
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Hahaha. . .Bishanga unalo!!!Mume wangu ataniruhusu sasa kushiriki?!

      Nwy ntarudi kusoma majibu ya maswali uloulizwa. Na kwa kuongezea embu ujulishe umma kwanini humpendi naniiii....!!!
      Kipipi and Zinduna like this.

    10. #9
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Quote By Bishanga
      Ahsante sana ndugu mtangazaji kwa kunikaribisha katika kipindi chako maridhawa.Nianze kwa kukuomba uondoe hako ka laptop hapo ili nikuchungulie vizuri.
      Mithali maswali yako umeyaandaa kwa mandishi nitayajibu kwa maandishi pamoja na kwamba tupo pamoja studio hapa lower manhattan,new york.
      Twende moja kwa moja kwenye majibu numerically.
      1.Nimezaliwa katika hospitali ya Asp and Clor ,london,majira ya joto,1940.Baba yangu ni mtanganyika wa kwanza kwanza kusoma UK,alikwenda na mama.
      2.Kujamiiana 1st time? Of course nilijifunzia kwa housegirl,who else (vijana wote waliokulia ostabei ndo zao anyway akiwemo rejao).
      3.Kutendwa? Mbaya wangu unamjua anaishi Unga ltd.
      4.Kuoa? Nimeoa,nikaacha,nikaoa,nikaach a,nikaoa,nikaacha,nikaoa...... ....
      5.Tukio la huzuni?Kumfumania mai waif wangu na shamba boy,hivi wanawake mkoje? (Shamba boy mwenyewe anaitwa kongosho),kidogo niue.
      6.Tukio la furaha? Nyani Ngabu alivyopigwa chini na mkewe,alimfumania na hausgel.
      7.Rangi za nguo? Bishanga ni mtu wa white,white underwear,white singlet,white henkachif.Sipendi jeans.
      8.Msosi? Mi ni mtu wa serena,karambezi,hyatt....na huko mi ni kufakamia mi prawns,rare steak,ma caviar, of course nasukumia na wine za ukweli,jioni henken.
      9.Zinduna bana,el presidaa niko naye deile,mi ndo chif advaisa wake mambo ya uchumi,biashara na mifweza.
      10.Legacy? Do i really need to have a legacy? Basi legacy yangu itakuwa kumshawishi Husninyo arudi jamvini.
      Nimalizie kwa kusema mgeni wako ajaye naomba awe Lizzy tafadhali,kuna neno nataka kusikia toka mdomoni mwake.
      Hahahaaaaa uwiiiiiii ngoja hao wote uliowataja waje hapa kama hujaiona wikiendi mbaya wallaih.......kutokana na maelezo yako kweli we muhaya mtu hawezi kujiuliza mara mbili lol
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    11. #10
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Lizzy
      Hahaha. . .Bishanga unalo!!!Mume wangu ataniruhusu sasa kushiriki?!

      Nwy ntarudi kusoma majibu ya maswali uloulizwa. Na kwa kuongezea embu ujulishe umma kwanini humpendi naniiii....!!!
      Si akuache?
      Akikuacha nitampenda fo shua.
      Kipipi and Zinduna like this.

    12. #11
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8075
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Yummy
      Hahahaaaaa uwiiiiiii ngoja hao wote uliowataja waje hapa kama hujaiona wikiendi mbaya wallaih.......kutokana na maelezo yako kweli we muhaya mtu hawezi kujiuliza mara mbili lol
      Mi ndo bishanga abashaija bana bilionea la kihaya!
      sweetlady, Kipipi and Zinduna like this.

    13. #12
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,318
      Rep Power : 18678
      Likes Received
      1099
      Likes Given
      1049

      Default

      Quote By Bishanga
      Mi ndo bishanga abashaija bana bilionea la kihaya!
      You are my role model...
      Bishanga likes this.

    14. #13
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5677
      Likes Given
      12666

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Zinduna na mimi mtanipa lini air time?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    15. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,303
      Rep Power : 13093
      Likes Received
      14171
      Likes Given
      15016

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      bishanga, Unga Ltd unafuata nini?
      Bishanga and Zinduna like this.

    16. #15
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,303
      Rep Power : 13093
      Likes Received
      14171
      Likes Given
      15016

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      afu mkeo huwa ananililia.
      Zinduna likes this.

    17. #16
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 378
      Rep Power : 397
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      I'm too smart for this!
      Bishanga and Zinduna like this.

    18. #17
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Bishanga ...mahojiano yanaendelea,
      1. Je una watoto wangapi katika ndoa zako za mduara?
      2. Je katika ndoa zako zote, ni ipi ulidumu nayo kwa kipindi kirefu zaidi?

      Maswali mengine yatafuata
      Bishanga and Kipipi like this.

    19. #18
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      Quote By Saint Ivuga
      Zinduna na mimi mtanipa lini air time?
      Saint Ivuga Wiki ya mwisho ya mwezi ujao, stay tune

    20. #19
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na Mzee Bishanga LIVE~~~~!

      sobhuza Baada ya ya Lizzy utafuata wewe, jiandae kukaa kikaangoni (Siyabonga Mfana)

    21. #20
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Bishanga
      Si akuache?
      Akikuacha nitampenda fo shua.
      Aniache ili iweje sasa?
      Zinduna likes this.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...