Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

    Report Post
    Page 6 of 9 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 163
    1. #1
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,045
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      3439

      Default JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Pendekeza ni habari gani ziwepo. Zifuatazo ni habari ambazo zitapewa kipaumbele:

      --Ni mwaka wa Vibabu vya JF,, wengi wakiri kulizwa:
      -Yupo Mod Maarufu wa Kike.
      -Smile naye alilia penzi la Kibabu kijijini.
      -Kimwana manywele wa Jei Efu aapa kujipa life Ban baada ya Kibabu kumlaghai na kisha kuingia mitini.
      -Babu Asprin, Bishanga, DC watajwa.

      --Baada ya JK kutangaza nia ya kuvunja Baraza la Mawaziri:
      -Babu Asprin ajifanya mtaalmu wa kusafisha nyota.
      -adai anatoa pete ya kumfanya mtu kuwa waziri.
      -watu maarufu kibao wafurika nyumbani kwake.
      -Yumo pia Mzee Mwanakijiji.

      --Mtakatifu Ivuga amsababishia Mwali kulala Selo, ni baada ya kukopa Gongo ya mama muuza na kisha kuingia mitini. Mwali aapa kujivua pendo.

      --Baada ya kugundua kuwa Amyner ni dada yake toka nitoke, Bagah ampigia magoti Erick52 apunguze tabia yake ya ukware. Yasemekana wanafahamiana jinsi wanavyoharibu watoto wa watu.

      --Baada ya kuonjeshwa penzi la Cantalisia, Mphamvu aapa kumpindua Rejao. Canta akesha akiomba kikombe hiki kimpite pembeni, Rejao aapa kumshusha mtu Busha.

      --Lile sakata la Vibabu vya Jei Efu laibua sura mpya. Vibibi navyo vyaapa kulipiza kisasi na vijana wa Jei Efu. Loya Klorokwin achekelea.

      --Imegundulika: kumbe Golden Mpolee ni Dume, yasemekana ni fundi Gereji pale Tabata. Mwenyewe aingia mitini baada ya siri kufichuka. --Ban la Lizzy laleta mzozo, ni Baada ya Nyara za Serikali Ngabu na Bishanga kutaka kuzipiga hadharani.

      --Mtu Chake alia kuteswa na Preta. Adai kila siku anapigwa na wakati mwingine analala njaa. Atoa wito zianzishwe Asasi za kutetea haki za wanaume.

      Mapendo.
      TANMO
      Last edited by TANMO; 4th May 2012 at 15:29.
      Do Something......

    2. Study Abroad

    3. #101
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Lizzy
      Hahahahaha. . .
      Erotica. . .Ngoja wale wakaka walioanza kukuzimikia waje.

      Wapi klorokwini, Nyani Ngabu, Bishanga, Fidel80, TANMO, Bwa'Nchuchu Asprin na wenzao sijui kina nani!!

      Watajiju. teh teh teh. kama walidhani ni shori imekula kwao. na pm zao naanika vile vile.
      klorokwini and Erickb52 like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    4. #102
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By klorokwini
      Dah! ina maana ile self service kwenye post zako nilikuwa nalifanyia dume jenzangu, lahaula! tutauwana kwa presha wajameni

      teh teh teh. Kikubwa ulishiba. hilo ndilo la msingi!
      klorokwini likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    5. #103
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Erotica
      Watajiju. teh teh teh. kama walidhani ni shori imekula kwao. na pm zao naanika vile vile.
      Nawajua waliokupm.... Bishanga BAGAH TANMO klorokwini@Asprin@Mphamvu kwa hawa mi ndio nawakumbuka.....
      Wengine utamalizia wewe!
      klorokwini and sweetlady like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    6. #104
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3053
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default

      Quote By mtu chake
      ...Yaani we acha tu...mie mwenyewe ananiharibia kwa Preta daily...ndio maana havai shati
      TANMO hafai kaka yangu,komanae mpaka ajue kweli mtu chake lol!

    7. #105
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Erickb52
      Nawajua waliokupm.... Bishanga BAGAH TANMO klorokwini@Asprin@Mphamvu kwa hawa mi ndio nawakumbuka.....
      Wengine utamalizia wewe!

      teh teh teh. wewe mod nini? Umejuaje?
      klorokwini likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!

      Reply With Quote

    8. Miaka 50

    9. #106
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,009
      Rep Power : 7208
      Likes Received
      2767
      Likes Given
      12

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Aisey! Kongosho pls haijapita wiki tumetoka kuuza banga letu la urithi, so far sina wenga kuhusu rare ! Jana nilikua na kikao na wanasheria wangu wafanye mchakato nataka kuinunua Jamii forum, Na Husninyo mara baada ya kupata fununu nataka kuinunua Jf, kanipigia akitaka turejeshe Ndoa, sijampa jibu.
      Erickb52
      Kongosho
      BAGAH
      Nicas Mtei
      Nafikiria kuwapa u'MODS , ikiwa nitainunua Jf.

    10. #107
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1761
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Cantalisia
      TANMO hafai kaka yangu,komanae mpaka ajue kweli mtu chake lol!
      ..Tatizo..shem wako..naye Preta...hasomeki..vizuri...usikute anamzimia kweli chokoraa@TANMO
      Preta, Preta and Cantalisia like this.
      @@

    11. #108
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3053
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      @Kloro,habari zilizotufikia hivi punde zinasema ile hali ya loya @Klorokwin kuwa single mda mrefu imebainika ni kutokana na kuexpaya kwa kitendea kazi chake,hali hiyo imempata baada ya kukaidi onyo la nitonye la kuacha kummendea mai waif wake sweetlay.....,habari kamili uk 7.
      klorokwini and Rejao like this.

    12. #109
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By Judgement
      Aisey! Kongosho pls haijapita wiki tumetoka kuuza banga letu la urithi, so far sina wenga kuhusu rare ! Jana nilikua na kikao na wanasheria wangu wafanye mchakato nataka kuinunua Jamii forum, Na Husninyo mara baada ya kupata fununu nataka kuinunua Jf, kanipigia akitaka turejeshe Ndoa, sijampa jibu.
      Erickb52
      Kongosho
      BAGAH
      Nicas Mtei
      Nafikiria kuwapa u'MODS , ikiwa nitainunua Jf.
      Dah ukinipa u mod nawatafuta wote waliomsababishia shem Husninyo kujivua umember...nitawapa ban ya miaka 3
      sweetlady likes this.

    13. #110
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default

      Quote By Cantalisia
      @Kloro,habari zilizotufikia hivi punde zinasema ile hali ya loya @Klorokwin kuwa single mda mrefu imebainika ni kutokana na kuexpaya kwa kitendea kazi chake,hali hiyo imempata baada ya kukaidi onyo la nitonye la kuacha kummendea mai waif wake sweetlay.....,habari kamili uk 7.
      Pia katika kutafuta ukweli mwana JF wetu Cantalisia alikitolea kumpa klorokwini tamtam ili aone ukweli na klorokwini aliishia kuchekacheka badala ya kufanya kazi lol

    14. #111
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      VARANGATI JF MODS: WATWANGANA
      - Paw na Fang wazichapa kumgombea sekretari wa ofisi
      - Buchanan aumia jicho akijaribu kuwaamulia
      - Invisible akasirika na kuahidi kuwachukulia hatua
      Fang likes this.

    15. #112
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Ngoja nipite kama sijaona.
      .
      "WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

    16. #113
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7634
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Cantalisia
      @Kloro,habari zilizotufikia hivi punde zinasema ile hali ya loya @Klorokwin kuwa single mda mrefu imebainika ni kutokana na kuexpaya kwa kitendea kazi chake,hali hiyo imempata baada ya kukaidi onyo la nitonye la kuacha kummendea mai waif wake sweetlay.....,habari kamili uk 7.
      Quote By Erickb52
      Pia katika kutafuta ukweli mwana JF wetu Cantalisia alikitolea kumpa klorokwini tamtam ili aone ukweli na klorokwini aliishia kuchekacheka badala ya kufanya kazi lol
      Dah! nashauri gazeti lifungiwe kwa muda. khaaaa!
      Erickb52, sweetlady and Cantalisia like this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    17. #114
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By klorokwini
      Dah! nashauri gazeti lifungiwe kwa muda. khaaaa!
      Hahahahahaaaaa mbona bado gazeti liko page ya 4 ? Hadi lifike page ya 30 ni leo?
      Pole sana
      klorokwini and sweetlady like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    18. #115
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By BADILI TABIA
      VARANGATI JF MODS: WATWANGANA
      - Paw na Fang wazichapa kumgombea sekretari wa ofisi
      - Buchanan aumia jicho akijaribu kuwaamulia
      - Invisible akasirika na kuahidi kuwachukulia hatua
      Wakati huo huo habari zilizotufikia hivi punde kutoka ofisi za Mods zinasema baada ya kutokea hilo varangati RussianRoulette amewapiga ban Mods wote waliotajwa hapo juu na haijajulikana ni ban ya siku ngapi...
      Nitaendelea kuwaletea yanayoendelea....stay tuned!
      sweetlady likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    19. #116
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default

      Breaking nyuzi, RussianRoulete apigwa ban ya milele na Maxence Melo.

      Max ampa Kongosho usimamizi wa PM zote.

      Quote By Erickb52
      Wakati huo huo habari zilizotufikia hivi punde kutoka ofisi za Mods zinasema baada ya kutokea hilo varangati RussianRoulette amewapiga ban Mods wote waliotajwa hapo juu na haijajulikana ni ban ya siku ngapi...
      Nitaendelea kuwaletea yanayoendelea....stay tuned!
      mtu chake and Erickb52 like this.

    20. #117
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,045
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      3439

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Cantalisia
      TANMO hafai kaka yangu,komanae mpaka ajue kweli mtu chake lol!
      Swaiba swaiba, naona umeamua kunichafulia Siivii yangu.. Kwanza wewe na Rejao sijui mmemfanyia nini Mphamvu mpaka kaamua kubwaga manyanga..
      Cantalisia likes this.
      Do Something......

    21. #118
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,186
      Rep Power : 50769
      Likes Received
      9132
      Likes Given
      14413

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By Kongosho
      Breaking nyuzi, RussianRoulete apigwa ban ya milele na Maxence Melo.

      Max ampa Kongosho usimamizi wa PM zote.
      Hahahahaahaa Kongosho naandamana aiseee unataka kuleta balaa kwenye pm eeeh lol
      sweetlady likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    22. #119
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,282
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7955
      Likes Given
      7506

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Baada ya kuachika Lizzy afungua thread ya kutafuta mwanamme mwenye mvuto mmu,kura yaangukia kwa nitonye mzee wa mererani sweetlady atishia kufakamia sayanaidi.
      Last edited by Bishanga; 4th May 2012 at 07:04.
      sweetlady likes this.

    23. #120
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,742
      Rep Power : 25647
      Likes Received
      3336
      Likes Given
      2878

      Default Re: JF Udaku: Toleo la Mei 2012

      Quote By klorokwini
      Rejao aibuni.

      Yule memba mashuhuri kwa urefu wa pua lake anaekwenda kwa jina la rejao jana amejikuta akiabika mbele ya umati uliohuzuria sherehe ya aniversary ya ndoa yake na Cantalisia. Memba huyo katika kutaka kuonesha mbwembwe mbwembwe za sherehe hiyo aliamua kumbeba Cantalisia ambae kabla hata kumfikisha usawa wa magoti alijikuta anaanguka nae na kuteguka kiuno. Rejao ambae uzito wake hauzidi kilo 50 alijikuwa anakuwa kituko katika hafla hiyo kwa kumuinua jimama huyo ambae mpaka tunakwenda hewani na habari hii basi habari za kilo zake halisi zina utata
      hahaahaha...lol.
      Cantalisia likes this.
      If you can't convince them, confuse them.
      M-4-C - Movement for Chagaz

    24. FemaTV & Radio
    Page 6 of 9 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...