Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 55
    1. #1
      Deejay nasmile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 1,075
      Rep Power : 691
      Likes Received
      172
      Likes Given
      142

      Default Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Nimeona wadada zaidi ya wanne hv wamevaa hzo chup* (tembelea beach)sasa najiuliza hyo mifuko ni mapambo tu au utaweza kuhifadhi kitu? Na ukitaka kutoa utatoaje mbele za watu? Nielewesheni jamani

    2. Miaka 50

    3. #21
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By gambachovu
      Labda wanaweka vitambaa vya shughuli maalum..
      Au kuweka hela? Maana wanaume zamani tulikuwa tunaficha fedha kwenye soksi na wanawake kwenye matiti, hivyo labda designer wa hiyo kitu alilenga hivyo!!!

    4. #22
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,039
      Rep Power : 7215
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By gambachovu
      Labda wanaweka vitambaa vya shughuli maalum..
      Of coz yes !
      Pande za NASA
      Mambo ya ma'AIRSPACE ! Shughuli za Anga zinahusika.

    5. #23
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2193
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default

      Quote By Mzee wa Rula
      Au kuweka hela? Maana wanaume zamani tulikuwa tunaficha fedha kwenye soksi na wanawake kwenye matiti, hivyo labda designer wa hiyo kitu alilenga hivyo!!!
      Mpaka leo,solsi ni kifichio kikubwa cha pesa kwa wanaume!

      Ila kichupi,tena cha beach.... Aah.. Vitambaa maalum tu mkuu!

    6. #24
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2193
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default

      Quote By Judgement
      Of coz yes !
      Pande za NASA
      Mambo ya ma'AIRSPACE ! Shughuli za Anga zinahusika.
      Yap...

      Pamoja na kutumia baada ya "mechi"...!

    7. #25
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,318
      Rep Power : 18678
      Likes Received
      1099
      Likes Given
      1049

      Default

      Quote By anne maria
      mmmhhh duuuhh sijawahi kuziona ndo nasikia hapa
      Kuna moja wifi yako alliacha ghetto hapa, if you wont mind uje uitazame.
      Sawasawa anne maria?


    8. #26
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 431
      Likes Received
      79
      Likes Given
      257

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Quote By Mphamvu
      Kuna moja wifi yako alliacha ghetto hapa, if you wont mind uje uitazame.
      Sawasawa anne maria?
      hahahaha itabidi niijie nije kujionea mambo ya kileo teh teh teh teh khaaa

    9. #27
      Chipukizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Location : Manzese
      Posts : 1,055
      Rep Power : 731
      Likes Received
      263
      Likes Given
      30

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Ni kwa ajili ya kuweka locker keys.kwenye beach nyingi au kwenye hotel zenye swiming pool kuna lockers za kuweka Nguo na vitu vyako unapoenda oga.so ukishafunga locker unakuwa na kajifunguo chako unakiweka katika chup¥

    10. #28
      Deejay nasmile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 1,075
      Rep Power : 691
      Likes Received
      172
      Likes Given
      142

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Ndo maana sometime ukipishana na sista duu pale kati pamejaa jaa nilikuwa nadhani ni upepo tu

    11. #29
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,584
      Rep Power : 2553
      Likes Received
      2143
      Likes Given
      1862

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Beach ulienda kwa shughuli yako binafsi au kuchunguza vyupi vya wadada? taratibu mpwa

    12. #30
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,318
      Rep Power : 18678
      Likes Received
      1099
      Likes Given
      1049

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Quote By anne maria
      hahahaha itabidi niijie nije kujionea mambo ya kileo teh teh teh teh khaaa
      Sasa fanya usichelewe maana naweza kubadili maamuzi bure?
      Hima hima...
      "...kukaa kimya ni jibu la mjinga!"
      -Leila Rashid (Jahazi Modern Taarab)

    13. #31
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 817
      Rep Power : 561
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Swaga za kishamba tu hizo wengi wao wanaweka ugoro na bange.au unakuta mdada kavaa BONGE la mchupi kama pensi

    14. #32
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,997
      Rep Power : 916
      Likes Received
      402
      Likes Given
      162

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      ,,,hela za malipo baada ya shughuli

    15. #33
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By anne maria
      hahahaha itabidi niijie nije kujionea mambo ya kileo teh teh teh teh khaaa
      Uende kabisa na dawa ya penzi maana lolote laweza kutokea!!! anne maria
      Anne Maria likes this.

    16. #34
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 431
      Likes Received
      79
      Likes Given
      257

      Default Re: Chup* za wadada zenye mfuko kwa mbele,ni maalum kwa kuweka nini???

      Quote By Maprosoo
      Uende kabisa na dawa ya penzi maana lolote laweza kutokea!!! anne maria
      hahahaha kweli eeehh??? mmhh mbona naogopa sasa,, mie ni sista kabisaa wa kitambaa tena teh teh teh teh teh

    17. #35
      Deejay nasmile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 1,075
      Rep Power : 691
      Likes Received
      172
      Likes Given
      142

      Default

      Quote By Elli
      Beach ulienda kwa shughuli yako binafsi au kuchunguza vyupi vya wadada? taratibu mpwa
      mi naenda kuthaminisha tu maumbo ya viburudisho vyetu.Mbona kama kuogelea kwa jirani kuna swiming pool

    18. #36
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,262
      Rep Power : 26196
      Likes Received
      2941
      Likes Given
      3814

      Default

      Quote By Judgement
      Mmh! Pekee haikidhi, tuelewe umeipenda hiyo mifuko au ? Tomboka !
      Tomboka ndo nini? Khaa......mr judge bana!!

    19. #37
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,172
      Rep Power : 622
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Huyo kwenye bold hapo nimemmiss sana! Hivi hujui id yake nyingine uninong'oneze

      Quote By osaka
      mabomu ya faiza foxy!

    20. #38
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,262
      Rep Power : 26196
      Likes Received
      2941
      Likes Given
      3814

      Default

      Quote By by default
      Swaga za kishamba tu hizo wengi wao wanaweka ugoro na bange.au unakuta mdada kavaa BONGE la mchupi kama pensi
      Sasa hivyo viugoro na bange....si vitalowalana tu akiwa anaogelea? Alafu ndugu, yategemea mapenzi ya mhusika kuvaa chupi anayoipendelea yeye......iwe ni BONGE la mchupi or whatever kind!!

    21. #39
      Deejay nasmile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 1,075
      Rep Power : 691
      Likes Received
      172
      Likes Given
      142

      Default

      Quote By Kipipi
      Sasa hivyo viugoro na bange....si vitalowalana tu akiwa anaogelea? Alafu ndugu, yategemea mapenzi ya mhusika kuvaa chupi anayoipendelea yeye......iwe ni BONGE la mchupi or whatever kind!!
      sasa akivaa mchupi si sambusa yote itabaki nje!

    22. #40
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,262
      Rep Power : 26196
      Likes Received
      2941
      Likes Given
      3814

      Default

      Quote By Deejay nasmile
      sasa akivaa mchupi si sambusa yote itabaki nje!
      Aaa wapi, labda kama kavaa kaptura ya mpirani!!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...