Mimi sijambo...hofu kwenu nisiyewafaham...
nimepata wazo,baada ya kuona mitandao mingine wana tshirt zenye majina ya mtandao husika...kwa mfano facebook...
nikawaza je si vema na sisi tukawa na tshirt zenye chata la huu mtandao wa kijamii...nambari one tanzania...?
Omg...I LOVE JF

Reply With Quote

Follow Us Here