Nimeuskia huu wimbo wa Dr Jose Chameleone, anaimba 'sina barubaru baibe'' ivi ni barubaru huyu huyu wa hapa JF au? pia siku izi simuona wala simskii hapa mkekani. sijui kapotelea wapi? ni wimbo mzuri sana huu
Nimeuskia huu wimbo wa Dr Jose Chameleone, anaimba 'sina barubaru baibe'' ivi ni barubaru huyu huyu wa hapa JF au? pia siku izi simuona wala simskii hapa mkekani. sijui kapotelea wapi? ni wimbo mzuri sana huu
Promises are comfort to a fool
naomba kuuliza,
huyu jamaa naona anaitwa Dr. Chameleon,
je ana PhD ya kusomea au ya heshima ya kupewa au ya kujipachika kama kina Professa Jay au Prof. MajiMarefu????
Follow Us Here