Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ujue una laana kama.......................... ........

    Report Post
    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast
    Results 101 to 120 of 157
    1. #1
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Post Ujue una laana kama.......................... ........

      1.Umefanya kazi kwenye kampuni miaka saba na hujapandishwa cheo.

      2.Unafeli hesabu,english na kiswahili pamoja.

      3.Ukiwa polisi halafu unaonea raia.

      4.Kama gari lako mwuda mwingi lipo garage kuliko kuwa barabarani.

      5.Ukiwa mshabiki wa Arsenal.

      6.Mara ya kwanza kutoka nje ya ndoa ndo mara ya kwanza kufumaniwa

      7.Umetumia photoshop halafu bado unaambiwa hupendezi.

      8.Ukikuta document zako panya kala sehemu iliyoandikwa jina.

      9............................. .

      10......................

      11..............

      endelea
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    2. Miaka 50

    3. #101
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2878

      Default

      Quote By klorokwini
      Rejao bana, Canta leo nimemfuma kwenye boda boda anawahi kibarua.
      Aaaah!! Umefananisha..
      Canta nipo naye hapa tunakula asali mwenzi!
      klorokwini and Cantalisia like this.

    4. #102
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2878

      Default

      Quote By klorokwini
      Usisahau Rejao anafanya kazi ya ulinzi wa magari, usije ukatafutwa ukaisaidie polisi. Think! canta think!
      Hahah...leo mbinu zako zote hazifanyi kazi! Canta tayar yupo kwenye himaya yangu.
      Angalizo: usimtumie PM yoyote..mimi ndiye incharge wa password yake.
      klorokwini and Cantalisia like this.

    5. #103
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default

      Quote By bht
      Utakuwa na matende basi
      Upo? Shikamoo!

    6. #104
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default

      Quote By Rejao
      Thanxxx SL, endelea hivyo hivyo kunilindia mywaif wangu Canta..naona hawa tablets hawana nia nzuri!
      Wewe tena? Brother from another mother, wala usiwaze!..
      Cantalisia likes this.

    7. #105
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Quote By Rejao
      Hahah...leo mbinu zako zote hazifanyi kazi! Canta tayar yupo kwenye himaya yangu.
      Angalizo: usimtumie PM yoyote..mimi ndiye incharge wa password yake.
      Acha nimtafte faza mtambuzi nimpe chake achafue muvi sasa
      Cantalisia likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    8. RukaaJuu Final

    9. #106
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3054
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Quote By klorokwini
      Usisahau Rejao anafanya kazi ya ulinzi wa magari, usije ukatafutwa ukaisaidie polisi. Think! canta think!
      Sina wasi wasi na hilo kwan loya upo tutakukatia mkwanja wa maana utasimamia kesi km hizo,
      Isitoshe hata km angekua mgambo wa jiji,kwake sion wala sisikii,
      Nimekwama kwa rejao na kunasuliwa sitaki mie!!
      klorokwini likes this.
      "Be good to the people on your way up,coz you might meet them on your way down"

    10. #107
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Quote By Cantalisia
      Sina wasi wasi na hilo kwan loya upo tutakukatia mkwanja wa maana utasimamia kesi km hizo,
      Isitoshe hata km angekua mgambo wa jiji,kwake sion wala sisikii,
      Nimekwama kwa rejao na kunasuliwa sitaki mie!!
      Dah! hapa kimewaka! acha nimtafte keren happuch wangu. Halaf hasira zangu mchango wa harusi stoi
      Cantalisia likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    11. #108
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3054
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Quote By klorokwini
      Dah! hapa kimewaka! acha nimtafte keren happuch wangu. Halaf hasira zangu mchango wa harusi stoi
      Hahahaha hahaha,asiye na mwana aeleke jiwe lol!

      Harusi ilikuwa jana,hapa tuko hane muni nabembelezwa mie!
      "Be good to the people on your way up,coz you might meet them on your way down"

    12. #109
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      ukiwa mwanasimba.
      Excellent likes this.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    13. #110
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,220
      Rep Power : 13077
      Likes Received
      14123
      Likes Given
      14986

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Afu wewe
      Ngoja niwe delila nikutoboe macho kama samsoni

      Quote By Rejao
      Hahahah...rejao ni bonge ya pedeshee full kugawa minoti!
      Kwa advataiz nimemkabidhi Canta ka Vits open roof ka kuendea gengeni!
      Cantalisia likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    14. #111
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Husninyo
      Duh! Afadhali sina.
      Husny" hujambo dada angu.

    15. #112
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,200
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4194
      Likes Given
      636

      Default

      Quote By ritz
      Husny" hujambo dada angu.
      sijambo kaka, miss yuuu. We huna laana bila shaka.

    16. #113
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Husninyo
      sijambo kaka, miss yuuu. We huna laana bila shaka.
      Namba 7 ndio tatizo langu inawezekana nina laana..lol..

    17. #114
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,200
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4194
      Likes Given
      636

      Default

      Quote By ritz
      Namba 7 ndio tatizo langu inawezekana nina laana..lol..
      aaah wapi! Kaka yangu u bonge la HB.

    18. #115
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Husninyo
      aaah wapi! Kaka yangu u bonge la HB.
      Du! Kumbe sina laana, Mie naipenda Avatar yako.

    19. #116
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,200
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4194
      Likes Given
      636

      Default

      Quote By ritz
      , Mie naipenda Avatar yako.
      mmmh! Kweli? Nilitaka niibadilishe ila ngoja nitumie hiyo hiyo tu.

    20. #117
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 631
      Rep Power : 0
      Likes Received
      185
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Excellent
      ukiwa unadanganywa kwa ubwabwa mweupe halafu unauza kura
      je pilau?
      Excellent likes this.

    21. #118
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default

      Quote By DOMA
      je pilau?
      Laana pia!

    22. #119
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Quote By DOMA
      je pilau?
      laana kubwa sana
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    23. #120
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Ujue una laana kama.......................... ........

      Quote By TaiJike
      ukiwa mwanasimba.
      ila,kumbe nayo laana
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...