Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11341
      Likes Received
      324
      Likes Given
      236

      Default Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ambaye ndiyo alitoa msimamo wa serikali kuhusu swala la ushoga imeonekena kutaka kuligawa kanisa hilo na baadhi ya waumini wake hapa nchini. Baadhi ya waumini waliohojiwa na mwandishi wa habari hii walisema kuwa kitendo cha tanzania kutokuwatambua mashoga na wasagaji wakati katika jamii yetu wapo, tunawafahamu na wengine tunaishi nao , tunasali nao makanisani na misikitini ni kitendo cha kinafiki.
      wanadai kuwa kanisa hilo limewahi kutangaza kuwa ushoga ni halali kwao na askofu wa jimbo kuu la Dodoma aliunga mkono hoja hiyo na wala serikali haikumkemea, hivyo swala la ushoga na usagaji ni swala la kiimani zaidi kama ambavyo mapadre wa kanisa katoliki wasivyoruhusiwa kuowa. Walienda mabli zaidi na kutoa baadhi ya mifano kuwa katika mji mmoja tu wa Tanga kuna mashoga zaidi ya 100 na serkrli inajuwa hilo na hakuna hata kesi moja ya shoga iliyoko mahakamani kuthibitisha kuwa serikali ya Tanzania inapinga swala hilo> Kwa macheni, jolly club na maeneo mengine mengi tu jijini Dar yamejaa mashoga na polisi wanapishana nao na hakuna hata mmoja anayejaribu kuwakamata na
      kuwafungulia mashitaka.

      Ikumbukwe kuwa waziri mkuu wa uingerza amesema hayo kwa mjibu wa imani ya dini yake amabye yeye ni muangilikana na hilo swala la ushoga kwenye hilo kanisa ni sehemu ya imani yao.
      source; mazungumzo ya waumini wa kanisa la anglicana mjini dododma


    2. FJM
      #2
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      MODs tafadhali fanyeni kazi yenu. JF is going down - fast! Jukwaa hili linatoa uhuru wa watu kutoa michango mbalimbali lakini haiminishi kuwa ni jukwaa la umbeya na michango ya maji taka. Msimamo rasmi wa Kanisa la Anglikana Tanzania unajulikana. Sijui ni kwa nini au ni kwa maslahi ya nini mleta mada hii ameaumua kuandika alichoandika. Maoni ya mchungaji mmoja au waumini wawili nje ya mfumo rasmi wa kanisa hauwezi kuchukuliwa kama huo ndio msimamo wa kanisa.

      Kwa mtindo huu tunaua kabisa reputation nzuri ya JF.
      Last edited by FJM; 6th November 2011 at 18:41.
      Bigirita and kamatembo like this.

    3. #3
      prakatatumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 823
      Rep Power : 552
      Likes Received
      99
      Likes Given
      8

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      Wasukumizane ngozi hukohuko kwenye kanisa lao la Anglikana,m nadhani tuweke sheria madhubuti na sisi kama raia weng wao tuonapnga ushoga tuongoze mapgano,wajifche vivyohvyo kuliko kuoekana wazi.AKILI ZA MBAYUWAYU CHANGANYA NA ZAKO

    4. #4
      JOASH MUSSA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 411
      Likes Received
      31
      Likes Given
      13

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      Hayo mambo yanafanyika sawa na uchafu mwingine, hilo kanisa la Anglican kama linataka kujiingiza katika harakati za kuwatetea mashoga wajiingize tu, na kama wanajiridhisha serikali haiwakamati wajaribu kufungisha ndoa then we shall see what we shall see

    5. #5
      MAYOO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 458
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      Nina wasiwasi n souce yako. By the way mods ondoeni ----- huu uliojengwa na hisia za huyu mtu.


    6. #6
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11341
      Likes Received
      324
      Likes Given
      236

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      kazi ni kwenu jamani hayo ni maoni ya watu

    7. #7
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,081
      Rep Power : 16339
      Likes Received
      2263
      Likes Given
      1278

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      Quote By kifochamende
      kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ambaye ndiyo alitoa msimamo wa serikali kuhusu swala la ushoga imeonekena kutaka kuligawa kanisa hilo na baadhi ya waumini wake hapa nchini. Baadhi ya waumini waliohojiwa na mwandishi wa habari hii walisema kuwa kitendo cha tanzania kutokuwatambua mashoga na wasagaji wakati katika jamii yetu wapo, tunawafahamu na wengine tunaishi nao , tunasali nao makanisani na misikitini ni kitendo cha kinafiki.
      wanadai kuwa kanisa hilo limewahi kutangaza kuwa ushoga ni halali kwao na askofu wa jimbo kuu la Dodoma aliunga mkono hoja hiyo na wala serikali haikumkemea, hivyo swala la ushoga na usagaji ni swala la kiimani zaidi kama ambavyo mapadre wa kanisa katoliki wasivyoruhusiwa kuowa. Walienda mabli zaidi na kutoa baadhi ya mifano kuwa katika mji mmoja tu wa Tanga kuna mashoga zaidi ya 100 na serkrli inajuwa hilo na hakuna hata kesi moja ya shoga iliyoko mahakamani kuthibitisha kuwa serikali ya Tanzania inapinga swala hilo> Kwa macheni, jolly club na maeneo mengine mengi tu jijini Dar yamejaa mashoga na polisi wanapishana nao na hakuna hata mmoja anayejaribu kuwakamata na
      kuwafungulia mashitaka.

      Ikumbukwe kuwa waziri mkuu wa uingerza amesema hayo kwa mjibu wa imani ya dini yake amabye yeye ni muangilikana na hilo swala la ushoga kwenye hilo kanisa ni sehemu ya imani yao.
      source; mazungumzo ya waumini wa kanisa la anglicana mjini dododma
      Serikali haina Dini na msimamo wake ndio huo inapinga vitendo vya ushoga kama wapo nikama mwauza gongo kwani wapo lakini serikali haiwatambui!!
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    8. #8
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,833
      Rep Power : 5673
      Likes Received
      6318
      Likes Given
      2414

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      Quote By kifochamende
      kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ambaye ndiyo alitoa msimamo wa serikali kuhusu swala la ushoga imeonekena kutaka kuligawa kanisa hilo na baadhi ya waumini wake hapa nchini. Baadhi ya waumini waliohojiwa na mwandishi wa habari hii walisema kuwa kitendo cha tanzania kutokuwatambua mashoga na wasagaji wakati katika jamii yetu wapo, tunawafahamu na wengine tunaishi nao , tunasali nao makanisani na misikitini ni kitendo cha kinafiki.
      wanadai kuwa kanisa hilo limewahi kutangaza kuwa ushoga ni halali kwao na askofu wa jimbo kuu la Dodoma aliunga mkono hoja hiyo na wala serikali haikumkemea, hivyo swala la ushoga na usagaji ni swala la kiimani zaidi kama ambavyo mapadre wa kanisa katoliki wasivyoruhusiwa kuowa. Walienda mabli zaidi na kutoa baadhi ya mifano kuwa katika mji mmoja tu wa Tanga kuna mashoga zaidi ya 100 na serkrli inajuwa hilo na hakuna hata kesi moja ya shoga iliyoko mahakamani kuthibitisha kuwa serikali ya Tanzania inapinga swala hilo> Kwa macheni, jolly club na maeneo mengine mengi tu jijini Dar yamejaa mashoga na polisi wanapishana nao na hakuna hata mmoja anayejaribu kuwakamata na
      kuwafungulia mashitaka.

      Ikumbukwe kuwa waziri mkuu wa uingerza amesema hayo kwa mjibu wa imani ya dini yake amabye yeye ni muangilikana na hilo swala la ushoga kwenye hilo kanisa ni sehemu ya imani yao.
      source; mazungumzo ya waumini wa kanisa la anglicana mjini dododma





      shame on you mtoa mada hii, mtu mzima huoni aibu kudanganya. hovyoooo
      Nehondo likes this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    9. #9
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 458
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      Quote By BADILI TABIA
      shame on you mtoa mada hii, mtu mzima huoni aibu kudanganya. hovyoooo

      umeona eeenh....msameheni hajui asemalo....

    10. #10
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 458
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana

      let your speech be better than silent otherwise be silent

    Similar Topics

    1. Chadema:ni sahihi serikali kuingilia uhuru wa mahakama??
      By kulwa12 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 7th November 2011, 21:58
    2. Kanisa Anglikana laiasa Kamati Kuu ya CCM
      By Rutashubanyuma in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 19th April 2011, 09:10
    3. Kanisa la anglikana kuna ulaji asikwambie m2
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 15th March 2011, 09:44

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...