Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana
kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ambaye ndiyo alitoa msimamo wa serikali kuhusu swala la ushoga imeonekena kutaka kuligawa kanisa hilo na baadhi ya waumini wake hapa nchini. Baadhi ya waumini waliohojiwa na mwandishi wa habari hii walisema kuwa kitendo cha tanzania kutokuwatambua mashoga na wasagaji wakati katika jamii yetu wapo, tunawafahamu na wengine tunaishi nao , tunasali nao makanisani na misikitini ni kitendo cha kinafiki.
wanadai kuwa kanisa hilo limewahi kutangaza kuwa ushoga ni halali kwao na askofu wa jimbo kuu la Dodoma aliunga mkono hoja hiyo na wala serikali haikumkemea, hivyo swala la ushoga na usagaji ni swala la kiimani zaidi kama ambavyo mapadre wa kanisa katoliki wasivyoruhusiwa kuowa. Walienda mabli zaidi na kutoa baadhi ya mifano kuwa katika mji mmoja tu wa Tanga kuna mashoga zaidi ya 100 na serkrli inajuwa hilo na hakuna hata kesi moja ya shoga iliyoko mahakamani kuthibitisha kuwa serikali ya Tanzania inapinga swala hilo> Kwa macheni, jolly club na maeneo mengine mengi tu jijini Dar yamejaa mashoga na polisi wanapishana nao na hakuna hata mmoja anayejaribu kuwakamata na
kuwafungulia mashitaka.
Ikumbukwe kuwa waziri mkuu wa uingerza amesema hayo kwa mjibu wa imani ya dini yake amabye yeye ni muangilikana na hilo swala la ushoga kwenye hilo kanisa ni sehemu ya imani yao.
source; mazungumzo ya waumini wa kanisa la anglicana mjini dododma
Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana
MODs tafadhali fanyeni kazi yenu. JF is going down - fast! Jukwaa hili linatoa uhuru wa watu kutoa michango mbalimbali lakini haiminishi kuwa ni jukwaa la umbeya na michango ya maji taka. Msimamo rasmi wa Kanisa la Anglikana Tanzania unajulikana. Sijui ni kwa nini au ni kwa maslahi ya nini mleta mada hii ameaumua kuandika alichoandika. Maoni ya mchungaji mmoja au waumini wawili nje ya mfumo rasmi wa kanisa hauwezi kuchukuliwa kama huo ndio msimamo wa kanisa.
Kwa mtindo huu tunaua kabisa reputation nzuri ya JF.
Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana
Wasukumizane ngozi hukohuko kwenye kanisa lao la Anglikana,m nadhani tuweke sheria madhubuti na sisi kama raia weng wao tuonapnga ushoga tuongoze mapgano,wajifche vivyohvyo kuliko kuoekana wazi.AKILI ZA MBAYUWAYU CHANGANYA NA ZAKO
Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana
Hayo mambo yanafanyika sawa na uchafu mwingine, hilo kanisa la Anglican kama linataka kujiingiza katika harakati za kuwatetea mashoga wajiingize tu, na kama wanajiridhisha serikali haiwakamati wajaribu kufungisha ndoa then we shall see what we shall see
Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana
By kifochamende
kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ambaye ndiyo alitoa msimamo wa serikali kuhusu swala la ushoga imeonekena kutaka kuligawa kanisa hilo na baadhi ya waumini wake hapa nchini. Baadhi ya waumini waliohojiwa na mwandishi wa habari hii walisema kuwa kitendo cha tanzania kutokuwatambua mashoga na wasagaji wakati katika jamii yetu wapo, tunawafahamu na wengine tunaishi nao , tunasali nao makanisani na misikitini ni kitendo cha kinafiki.
wanadai kuwa kanisa hilo limewahi kutangaza kuwa ushoga ni halali kwao na askofu wa jimbo kuu la Dodoma aliunga mkono hoja hiyo na wala serikali haikumkemea, hivyo swala la ushoga na usagaji ni swala la kiimani zaidi kama ambavyo mapadre wa kanisa katoliki wasivyoruhusiwa kuowa. Walienda mabli zaidi na kutoa baadhi ya mifano kuwa katika mji mmoja tu wa Tanga kuna mashoga zaidi ya 100 na serkrli inajuwa hilo na hakuna hata kesi moja ya shoga iliyoko mahakamani kuthibitisha kuwa serikali ya Tanzania inapinga swala hilo> Kwa macheni, jolly club na maeneo mengine mengi tu jijini Dar yamejaa mashoga na polisi wanapishana nao na hakuna hata mmoja anayejaribu kuwakamata na
kuwafungulia mashitaka.
Ikumbukwe kuwa waziri mkuu wa uingerza amesema hayo kwa mjibu wa imani ya dini yake amabye yeye ni muangilikana na hilo swala la ushoga kwenye hilo kanisa ni sehemu ya imani yao.
source; mazungumzo ya waumini wa kanisa la anglicana mjini dododma
Serikali haina Dini na msimamo wake ndio huo inapinga vitendo vya ushoga kama wapo nikama mwauza gongo kwani wapo lakini serikali haiwatambui!!
Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!
Re: Serikali ya tanzania yaanza kuingilia uhuru wa kanisa la anglikana
By kifochamende
kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania ambaye ndiyo alitoa msimamo wa serikali kuhusu swala la ushoga imeonekena kutaka kuligawa kanisa hilo na baadhi ya waumini wake hapa nchini. Baadhi ya waumini waliohojiwa na mwandishi wa habari hii walisema kuwa kitendo cha tanzania kutokuwatambua mashoga na wasagaji wakati katika jamii yetu wapo, tunawafahamu na wengine tunaishi nao , tunasali nao makanisani na misikitini ni kitendo cha kinafiki.
wanadai kuwa kanisa hilo limewahi kutangaza kuwa ushoga ni halali kwao na askofu wa jimbo kuu la Dodoma aliunga mkono hoja hiyo na wala serikali haikumkemea, hivyo swala la ushoga na usagaji ni swala la kiimani zaidi kama ambavyo mapadre wa kanisa katoliki wasivyoruhusiwa kuowa. Walienda mabli zaidi na kutoa baadhi ya mifano kuwa katika mji mmoja tu wa Tanga kuna mashoga zaidi ya 100 na serkrli inajuwa hilo na hakuna hata kesi moja ya shoga iliyoko mahakamani kuthibitisha kuwa serikali ya Tanzania inapinga swala hilo> Kwa macheni, jolly club na maeneo mengine mengi tu jijini Dar yamejaa mashoga na polisi wanapishana nao na hakuna hata mmoja anayejaribu kuwakamata na
kuwafungulia mashitaka.
Ikumbukwe kuwa waziri mkuu wa uingerza amesema hayo kwa mjibu wa imani ya dini yake amabye yeye ni muangilikana na hilo swala la ushoga kwenye hilo kanisa ni sehemu ya imani yao.
source; mazungumzo ya waumini wa kanisa la anglicana mjini dododma
shame on you mtoa mada hii, mtu mzima huoni aibu kudanganya. hovyoooo
Follow Us Here