Habari JF.
Nmechunguza sana mpaka nimeamua kueleza hisia zangu hapa hapa ...
Jukwaa gani ukituma mada hukaa mda mrefu hadi ikapotea bila kupata majib au michango mbali mbali?
Tafauti na haya Habari na hoja M. MMU na ........
Habari JF.
Nmechunguza sana mpaka nimeamua kueleza hisia zangu hapa hapa ...
Jukwaa gani ukituma mada hukaa mda mrefu hadi ikapotea bila kupata majib au michango mbali mbali?
Tafauti na haya Habari na hoja M. MMU na ........
Majukwaa yote yapo active japokuwa siasa na MMU yanaongoza kwa watu kuingia na kuchnagia ukiachilia mtoa hoja anavyoiweka thread yake. Kuna baadhi ya waweka thread hawazifanyi thread zao zivutie au wakianzisha hupotea kabisa na kupoteza mvuto au ufafanuzi inapobidi.
mi naona watu wanaamua wasome thread hii kwa kuwa kaweka fulani, yakwako kama vipi wanakupotezea tu.
Nadhani jukwaa huwachangiwa zaidi pale mleta mafa anapokuwa ametoa maelezo ya kutosha. Hivyo sina hakika kama kuna majukwaa hayachangiwi.
Sijui chochote, hata swali sijalielewa. Naomba nisichangie chochote. Wasalamu.
Mi majukwaa mengine huwa siyaoni.
..Kuna Kuchangia mada kwa Kuangalia Jina la mleta thread..ninaweza kuthibitisha hili..ofcoz kwa upande mwingine kama thread yako inajieleza vizuri naona pia watu wanachangia..
..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear
kila jukwwaa lina watu wake
majukwaa kama international na tech and gadgets yana watu wao huwaoni kwingine
halafu jukwaa la jf doctors lina watu wake pia....
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Good discussion ....
Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
"Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.
mfano mmoja wa haraka mimi sijawahi kumwona the boss akichangia thread yangu.
kwenye jukwaa la mapenzi kuna dada/mama hakosi huko .
Kwenye jukwaa la dini kuna jamaa wanne hata ukikuta ID ni tafauti lakin kuna mlngano wa matamko.
Kwenye siasa humo usiseme....
Hata kama kila jukwaa lina watu wake...suali liloulizwa....mbona maswali ukiuliza hayajibiwi?
jukwaa lolote ukiona husomi yaliyomo kama lile la dini...
Tuma maombi yako ujielezee vzuri ili uruhusiwe ...andika utume e mail : [email protected]
Follow Us Here