Kwa wale wanaokufahamu kwa yule mtemi maarufu wa enzi hizo Milambo na mwenzie Isike,tukumbuke kidogo maeneo mbalimbali ya huko,iwe mitaa,vijiji,vitongoji nk kama:
Isevya
Kanyenye
Ngoma Sakasi
Ipuli
Makokola
Kaze Hill
Nata
Sikonge
Kaliua
Bachu
Kwa wale wanaokufahamu kwa yule mtemi maarufu wa enzi hizo Milambo na mwenzie Isike,tukumbuke kidogo maeneo mbalimbali ya huko,iwe mitaa,vijiji,vitongoji nk kama:
Isevya
Kanyenye
Ngoma Sakasi
Ipuli
Makokola
Kaze Hill
Nata
Sikonge
Kaliua
Bachu
Nakumbuka Rufita Club,Tabora Hotel.enzi hizo mwana isungu,mwanza load,kanyenye,ipuli.huko ndio UNYAMWEZINI
Ukondamoyo
Ipili
Kuna sehemu hizi mkoa waTabora:
USEGA
USUPILO
ULYANYAMA
USOKE
UYUI
USONGWA
URAMBO N.K.
mi kwetu kanyenye..
Hivi kuna waliosoma Mwenge Primary enzi za Chiboni? Siwezi sahau poems zake; "Once l went to Fairly land" na "Water, water everywhere but no any drop to drink".
Mwalimu Fundi na somo lake la sayansi!
Mihogo ya babu Amri??? na sauce yake (hii ni pia ni kwa waliosoma Uyui pia)
Sambusa za Kassu na Bagia za Hotel.
Miogoni kule kwa akina hayati Saidi Mwamba Kizota,vp na kule MABAMA tumbaku bado inatoka?kuna karanga za kufa mtu kule na "swalu na nsansa" zilizoungwa "ntwili"nimepamisi sana kule.
Magengati
Mwanhala
Kaziwa.
n'gambo,tukutuku,inara,rufitac lub,mwinyi,kanijobaba,itonjand a,taboraboys,mirambo,taboragir ls,kitete,whitesandclub,!
Frankmanpalace,bybasguesthouse &hotels,taborattc,kariakoo,mta awamusomabattery,studentcenter ,uhimacenter,royalclub,
Follow Us Here