Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Da Pretty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Bush Kwetu
      Posts : 690
      Rep Power : 570
      Likes Received
      150
      Likes Given
      83

      Default Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Habari wapendwa.
      Miaka 12 iliyopita nilikua A'level shule moja DSM.
      Kuna binti nilikaa nae hostel. Hatukua tunapatana kabisa na kiukweli nilimpa wakati mgumu sana siku zile kwa sababu nilikua na nguvu kubwa ya kushawishi kuliko yeye, ikamlazimu kuhama pale akatafuta hostel ingine lakini darasani tulikua tunakutana. Tukamaliza shule hatuongei kabisa!
      Baadae kila mtu akawa na mambo yake, tukasoma vyuo tofauti katika mikoa tofauti.
      Mwenzangu wakati yupo Chuo akapata kazi kwenye NGO moja na baadaye akaajiriwa hapo.
      Ninavyoandika hapa, ni kwamba nimemkuta yeye ni Senior na ni Line Manager wangu!!
      Ni mwezi wa nne sasa nipo kazini lakini mazingira ni magumu.
      Hatusalimiani,nimejaribu kujishusha wala hana mpango.
      Mbaya zaidi kila siku nakumbushwa kuwa nipo kwenye probation na anamwambia mwenzangu kama sitaki kazi niseme.
      Sielewi ni utumwa na manyanyaso tu,hapa natafuta kazi nyingine.


    2. #2
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Mmmmh pole!
      Kama vipi tafuta nafasi uongee nae umwombe msamaha!Next time jifunze kuwachukulia watu poa tu...kama mtu hana matatizo na wewe usiyatafute kwa lazima!!
      Michelle, Da Pretty and Mamndenyi like this.

    3. #3
      chomete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 1,058
      Rep Power : 641
      Likes Received
      107
      Likes Given
      0

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      hapo tu ndipo wanadamu huwa wanajisahau lakini na yeye alipaswa kusamehe kama kweli ni mtu anayempenda Mungu alitakiwa akutende wema zaidi ili iwe fundisho kwako na kwa kizazi chako na ingekuwa njia nzuri zaidi ya wewe kuwalea wanao jinsi ya kuishi na watu lakini unyama anao ufanya yeye hata Mungu apendi

    4. #4
      Gad ONEYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 2,552
      Rep Power : 953
      Likes Received
      125
      Likes Given
      574

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Quote By Lizzy View Post
      Mmmmh pole!
      Kama vipi tafuta nafasi uongee nae umwombe msamaha!Next time jifunze kuwachukulia watu poa tu...kama mtu hana matatizo na wewe usiyatafute kwa lazima!!
      Utakoma....

    5. #5
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8707
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2694

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Quote By Lizzy View Post
      Mmmmh pole!
      Kama vipi tafuta nafasi uongee nae umwombe msamaha!Next time jifunze kuwachukulia watu poa tu...kama mtu hana matatizo na wewe usiyatafute kwa lazima!!
      well said dearest,na akiona haelekei kumsamehe,atafute kazi nyingine,kuna watu hawasamehi wala kusahau hata jambo moja,na wanapopata nafasi ya kukomoa,hawaichezei.....pole sana Da Pretty, we learn through mistakes,ila usiteseke kwa makosa yaliyopita,tafuta njia kuondoa tofauti zenu,ukiona haiwezekani,riziki si hapo tu...Mungu atafungua mlango mwingine,tafuta kazi sasa.
      BAK, Lizzy, Rubi and 1 others like this.
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.


    6. #6
      itnojec's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Location : the under world
      Posts : 1,725
      Rep Power : 765
      Likes Received
      252
      Likes Given
      64

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      ulifkiri ubaya unalipwa motoni?

    7. #7
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Quote By Lizzy View Post
      Mmmmh pole!
      Kama vipi tafuta nafasi uongee nae umwombe msamaha!Next time jifunze kuwachukulia watu poa tu...kama mtu hana matatizo na wewe usiyatafute kwa lazima!!
      Acha ukome na ukomae.we ulikuwa unaona karibu kama kondoo sasa unateseka nini kama yeye aliama hostel we acha kazi

    8. #8
      Chipukizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Location : Manzese
      Posts : 1,065
      Rep Power : 736
      Likes Received
      265
      Likes Given
      31

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Angekuwa ni mwanaume na wewe ni mwanaume angeweza samehee,lakini mara nyingi Wabejingi huwa hamsamehani katu,so hapo wewe anza tafuta kazi pengine. Hapo umeingia kwenye chaka la simba lazima uliwe
      Shedafa, Kanigini, sirmudy and 1 others like this.

    9. #9
      Mbwiga_Plus's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 145
      Rep Power : 458
      Likes Received
      25
      Likes Given
      9

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Weye ndiye mbaya!
      SASA mnasema huyo dada amsamehe Da Prety....Pretty ndiye mwenye jukumu la kwenda kuongea na huyo mdada amwombe yaishe!

      Roho Mbaya inakuja kulipwa haki yake somewhere maishani!..Unalo mwaya!
      When The Character Of a Woman Is Not Clear To You, Look At Her Friends!

    10. #10
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      haaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

      duh.........................hi ii ni filam ya kinigeria kabisa lol ...............
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    11. #11
      Gurta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Location : Mang'ola
      Posts : 1,948
      Rep Power : 911
      Likes Received
      375
      Likes Given
      483

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Huwa nikikutana na stori kama hizi huwa nazidi kuamini kuwa hakuna motoni (jehanam), what comes around goes around they say!

      Shukuru Muumba kwa kupata nafasi ya kufanya malipizi, mimi naona njia yako kwenda mbinguni inazidi kuwa nyeupe!
      My IGNORANCE amuses me!

    12. #12
      babukijana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2009
      Posts : 2,917
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      324
      Likes Given
      152

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      teh teh,we bana jikaze mpigie magoti mwombe msamaha km unataka kazi,vinginevyo utaacha kazi utapigwa jua kinoma halafu baadae utatakiwa umwombe yeye tena kurudi kazini maana kapanda cheo,shauri yako chelewa zaidi majuto zaidi
      In all african country they show nature,trees and animals because they are the only good ,Healthy and looking things. HUMANS have no value.neglected by corrupt states.

    13. #13
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      jifanye umesahau uone atafanya nini...

      watu wa aina hiyo huwa sio watu wa visasi

      tayari yeye ana enjoy wewe kuwa chini yake
      na roho yake imeshafurahi na hatakufukuza kazi
      bali ata enjoy kukutuma tuma

      so wewe now go with the flow uone itakuwaje....
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    14. #14
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      1326
      Likes Given
      2661

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Quote By Da Pretty View Post
      Habari wapendwa.
      Miaka 12 iliyopita nilikua A'level shule moja DSM.
      Kuna binti nilikaa nae hostel. Hatukua tunapatana kabisa na kiukweli nilimpa wakati mgumu sana siku zile kwa sababu nilikua na nguvu kubwa ya kushawishi kuliko yeye, ikamlazimu kuhama pale akatafuta hostel ingine lakini darasani tulikua tunakutana. Tukamaliza shule hatuongei kabisa!
      Baadae kila mtu akawa na mambo yake, tukasoma vyuo tofauti katika mikoa tofauti.
      Mwenzangu wakati yupo Chuo akapata kazi kwenye NGO moja na baadaye akaajiriwa hapo.
      Ninavyoandika hapa, ni kwamba nimemkuta yeye ni Senior na ni Line Manager wangu!!
      Ni mwezi wa nne sasa nipo kazini lakini mazingira ni magumu.
      Hatusalimiani,nimejaribu kujishusha wala hana mpango.
      Mbaya zaidi kila siku nakumbushwa kuwa nipo kwenye probation na anamwambia mwenzangu kama sitaki kazi niseme.
      Sielewi ni utumwa na manyanyaso tu,hapa natafuta kazi nyingine.
      Mazungumo na record za kiofisi zinakwenda kwa maandishi sio kwa mazungumzo ya mdomo

      Wewe anaandika memo mwambie kwa uzoefu wake na kama incharge mzoefu anaonaje utendaji/performnce yako ili ujue kama uko kwenye track sawa au si sawa na nini unaweza kujireebisha kiofisi. ili uwe mfanyakazi mzuri kwenye majukumu yako.

      yaani hiyo ni memo ya kuomba ushauri but kama ana akili atagundua na atatofautisha mambo ya ofisi na mambo personal. Na asipkujibu atauwa upata ujumbe kiofisi na somo kalipata.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    15. EMT is offline
      EMT
      #15
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,181
      Rep Power : 68916
      Likes Received
      7556
      Likes Given
      6676

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Wanasema malipo ni hapa hapa duniani. Nafikiri utakuwa umejifunza mengi kwenye hii situation. Milima haikutani lakini binadamu hukutana. Kwa kuwa ullimpa wakati mgumu sana siku zile kwa sababu ulikuwa na nguvu kubwa ya kushawishi naona sasa she is on the driving seat. I have always said kuwa wakati mtu unamaliza shule na kuna mtu umemkorofisha ni bora umtafute na kwomba msamaha mapema kabla ya kuingia mitaani. Ukishaingia mtaani inakuwa ngumu.

      Unaweza kumwomba msamaha huyo dada kwa vile tuu ni bosi wako. Vipi kama ingekuwa the other way round? Wewe ndio bosi halafu ndio kaja kufanya kazi hapo? Ungemwomba msamaha kwa uliyomtendea? Au tuseme tuu ungekutana naye njiani, ungemsimamisha na kuomba msamaha? Yaani hata akikusamehe sijui kama utaenjoy kufanya kazi hapo. I bet the whole office now know what you did to her. Ushauri wangu omba msamaha akubali asikubali sepa, tafuta kazi nyingine, and learn from your mistakes.
      TANMO and Da Pretty like this.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    16. #16
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,624
      Rep Power : 4427
      Likes Received
      794
      Likes Given
      753

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Pole sana. Ni vizuri kujifunza kuishi na watu vizuri hata kama kuna mambo mnatofautiana. ni bora kumpuuza mtu kuliko kujaribu kumjengea mazingira magumu kwa vile humpendi.

      Vizuri umetambua kosa lako na sasa kwa vile umekubali kujishusha nakushauri umtafute mtu hapo kazini kwenu ambae yuko karibu nae hili hawakalishe pamoja na uweze kuomba msamaha na umuonesha kwamba umetambua kosa lako.

      Baada hapo ndio utaweza kuangalia uhusiano wenu kazini unaendeleaje na jitahidi uwe mchapa kazi usimpe nafasi ya kupata sababu ya kujitesea.

      Kazi ni ngumu kupata na uamuzi huko juu yako, uvumilivu wako wa kupuuza tofauti zenu ndio utakusaidia kuendelea kufanya kazi,lakini kama huwezi kuvumilia acha kujitesa katafute kazi sehemu nyingine.

      Kila la kheri.
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    17. #17
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,103
      Rep Power : 7784
      Likes Received
      1834
      Likes Given
      3454

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Duh, unalo..
      Hivi kama wewe ndo ungekuwa Bosi wake ungefikiria kujipendekeza kwake au ungeendelea kumnyanyasa?
      Do Something......

    18. #18
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,281
      Rep Power : 760
      Likes Received
      61
      Likes Given
      13

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      sioni pointi ya kuwa na kumbukumbu mbaya za miaka 12 iliyopita
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    19. #19
      Shedafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2008
      Location : White Hart Lane
      Posts : 647
      Rep Power : 792
      Likes Received
      77
      Likes Given
      49

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Quote By Chipukizi View Post
      Angekuwa ni mwanaume na wewe ni mwanaume angeweza samehee,lakini mara nyingi Wabejingi huwa hamsamehani katu,so hapo wewe anza tafuta kazi pengine. Hapo umeingia kwenye chaka la simba lazima uliwe
      Kama kazi unaipenda itabidi kuvumilia hayo mateso na kufanya kazi hivyo hivyo tu, ukifanya kazi yako sawasawa hatakuwa na la kukufanya zaidi ya kutoongea. Kwa ufahamu wangu juu ya wanawake kukusamehe itakuwa kazi ngumu, wanawake huwa hawasameheani. Ukizingatia kuwa uliyafanya maisha yake kuwa miserable usitegemee msamaha hapo, wewe fanya kazi yako kwa bidii yote ili usimpe nafasi ya kupata ushahidi. Mambo yakiwa magumu tafuta kazi nyingine.

    20. #20
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,339
      Rep Power : 2643
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      845

      Default Re: Kweli kutesa kwa zamu, nilimdharau leo zamu yake!!

      Quote By chomete View Post
      hapo tu ndipo wanadamu huwa wanajisahau lakini na yeye alipaswa kusamehe kama kweli ni mtu anayempenda Mungu alitakiwa akutende wema zaidi ili iwe fundisho kwako na kwa kizazi chako na ingekuwa njia nzuri zaidi ya wewe kuwalea wanao jinsi ya kuishi na watu lakini unyama anao ufanya yeye hata Mungu apendi
      kwani keshamwambia anamchukia? cha msingi ajitume tu na kama akiondolewa bila sababu ya mmsingi ndio ajue kuwa bado meneja anammaindi
      Beware of a sucker punch

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. zamu ya IFM sasa!!!
      By Bakulutu in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 15th December 2011, 09:36
    2. 2015 ni zamu ya znz.
      By in and out in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 7
      Last Post: 3rd July 2011, 00:27
    3. Ni zamu ya dar or?
      By FredKavishe in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 8
      Last Post: 28th February 2011, 18:35
    4. Replies: 0
      Last Post: 5th November 2010, 15:40
    5. Kutesa Kwa Zamu- Ikulu
      By huruma in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 118
      Last Post: 15th November 2007, 22:40

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...