Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kulikuwa na jaribio la kumdhuru Dr. Slaa?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      lwangwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 92
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Kulikuwa na jaribio la kumdhuru Dr. Slaa?

      Habari ambazo hazijathitishwa zimeaarifu kuwepo kwa jaribio la kutaka kumuua Rais wa wananchi Dr wa Ukweli Slaa ,ninaposema rais wa watanzania nina maanisha Dr Slaa ,Kikwete ni Rais wa kichina wa Tume ya uchaguzi ambaye alichakachua matokeo ya uchaguzi na kuingia ikulu kama wa china wanavyochakachua bidhaa feki.

      Jaribio hilo kwa mujibu wa vyanzo nyeti vya habari kutoka kwa baadhi ya makada wa sisiemu zinasema ,machafuko ya tarime yamekuwa ni mtaji wa kisiasa ukilenga kumwondoa Dr Slaa ,kama dr Slaa angeleenda huko tarime basi angekutwa na kitu kibaya .inasemekana kuliandaliwa mpango mahususi wa kumwangamiza kwa njia ya sumu ambayo ingempata dr Slaa angenza kuchanganyikiwa kama kichaa.

      katika mpango huo ambao wengi wameulaani wanasema kama dr slaa atakufa ndani ya kipindi kabla ya 2015 ama zaidi ya hapo kwa njia yoyote ile basi machafuko makubwa yatatokea .

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      saitama_kein's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2009
      Location : KASULU
      Posts : 962
      Rep Power : 678
      Likes Received
      88
      Likes Given
      62

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Jamani tusigeuze Jukwaa la Great Thinker Kijiwe cha Kahawa......modem fanye kazi yenu vinginevyo ukumbi huu soon utapoteza heshima na muelekeo wake!
      Freestyler and Ketav Ashurit like this.
      Tukosoane lakini Tusibezane

    4. #3
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,182
      Rep Power : 12009
      Likes Received
      2652
      Likes Given
      1583

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      jamani angalieni munayo yaandika.mimi simo.ujue dr.ni rais nje ya serikali na ana wafuasi.

    5. #4
      lwangwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 92
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      i vizuri kuwa na akili tulivu unapo soma kitu ,kielewe kwanza kuliko kukimbilia kujibu ukiwa hujaelewa vuta pumzi ,taarifa hizo zimedai kuwa hazijathibitishwa sasa ukitaka data tunaendelea kutafuta data ,tunajua hapa sio kijiwe cha kahawa tunafahamu kuwa hapa ni mahali pa fikra pevu ambapo yanapatika na majibu ya maswali yaliyoshindikana

    6. #5
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,798
      Rep Power : 776
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Unajua Rais wa watanzania na Rais wa Tanzania ni watu wawili tofauti. Sasa hilo Taifa la watanzania liko wapi? Rais wa Tanzania anafahamika , hana jina kama hilo na hakuna tishio lolote la kumwua.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    7. Miaka 50

    8. #6
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By saitama_kein
      Jamani tusigeuze Jukwaa la Great Thinker Kijiwe cha Kahawa......modem fanye kazi yenu vinginevyo ukumbi huu soon utapoteza heshima na muelekeo wake!
      ushauri mzuri sana,sijui kama utazngatiwa,hope ujumbe umekwenda

    9. #7
      The Prophet's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 682
      Rep Power : 550
      Likes Received
      94
      Likes Given
      16

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Quote By saitama_kein
      modem fanye kazi yenu vinginevyo
      mkuu kama hujui kirefu cha mods ni-PM
      MANI and Mtu Mmoja like this.
      The Prophet ndiye Jerusalem.

    10. #8
      Mtu Mmoja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 596
      Rep Power : 585
      Likes Received
      52
      Likes Given
      142

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Quote By Mzee Wa Ban
      mkuu kama hujui kirefu cha mods ni-PM
      kumbe wengine ujanja wa bure!! hahah, nimeipenda hii!!!


    11. #9
      Yericko Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Location : Kigamboni, DSM
      Posts : 4,531
      Rep Power : 22963
      Likes Received
      2826
      Likes Given
      312

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Watz wanaroho ngumu sana kama si ujinga! Viongozi wengi wenye upeo na makamanda wa mageuzi wameuawa na usalama wa taifa lakini sasa sauti za wanamapinduzi zinapaa na usalama wa taifa(ccm) wanahangaika kuzizima!! Kamwe alama za nyakati hawaziwezi!!!

      Wakeendelea tutatoa idadi ya waliouawa na usalama wa taifa na ushahidi kamili

    12. #10
      Bukanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Location : Mmahare!
      Posts : 1,274
      Rep Power : 682
      Likes Received
      356
      Likes Given
      718

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Napita.

    13. #11
      Nyami2010's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Posts : 202
      Rep Power : 522
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Quote By lwangwa
      Habari ambazo hazijathitishwa zimeaarifu kuwepo kwa jaribio la kutaka kumuua Rais wa wananchi Dr wa Ukweli Slaa ,ninaposema rais wa watanzania nina maanisha Dr Slaa ,Kikwete ni Rais wa kichina wa Tume ya uchaguzi ambaye alichakachua matokeo ya uchaguzi na kuingia ikulu kama wa china wanavyochakachua bidhaa feki.

      Jaribio hilo kwa mujibu wa vyanzo nyeti vya habari kutoka kwa baadhi ya makada wa sisiemu zinasema ,machafuko ya tarime yamekuwa ni mtaji wa kisiasa ukilenga kumwondoa Dr Slaa ,kama dr Slaa angeleenda huko tarime basi angekutwa na kitu kibaya .inasemekana kuliandaliwa mpango mahususi wa kumwangamiza kwa njia ya sumu ambayo ingempata dr Slaa angenza kuchanganyikiwa kama kichaa.

      katika mpango huo ambao wengi wameulaani wanasema kama dr slaa atakufa ndani ya kipindi kabla ya 2015 ama zaidi ya hapo kwa njia yoyote ile basi machafuko makubwa yatatokea .
      Mauti ni ya kila mmoja, yaani wewe, mimi na yule. Kile kiumbe chenye uhai, lazima mauti yakikute.

      Unataka kusema, ata Mwenyezi Mungu akimuita kwa mapenzi yake, basi wale watakao kuwa hai wakutwe na machufuko? Dr. Slaa ni mchungaji wa kondoo wa Mungu, kama alivyo Rais Kikwete, wewe na mimi na yeyote awaye. Unampangia Mungu ni lini amuite mchungaji wake?

      Dr. Slaa, wewe, mimi na yeyote awaye tutapita na Tanzania itaendelea kuwepo na kushamili zaidi.

      "Tanzania bila CHADEMA na Dr. Slaa inawezekana"

    14. #12
      papaa masikini's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Posts : 141
      Rep Power : 444
      Likes Received
      43
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Hizo zawezakuwa ni tetesi tu,ila humu ndani wamo watu wa Intelijensia wa CDM,wanaweza wakatoa info zozote kwa umma kuhusiana na hilo!!

    15. #13
      Mshindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Location : Right Here!!
      Posts : 436
      Rep Power : 611
      Likes Received
      145
      Likes Given
      194

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Hivi kuna urgency yeyote ya kuleta hiyo taarifa ambayo haijathibitishwa kabla ya kuleta hizo "data" unazozitafuta? Ungezisubiri kwanza hizo data ungepungukiwa kitu gani?
      Quote By lwangwa
      i vizuri kuwa na akili tulivu unapo soma kitu ,kielewe kwanza kuliko kukimbilia kujibu ukiwa hujaelewa vuta pumzi ,taarifa hizo zimedai kuwa hazijathibitishwa sasa ukitaka data tunaendelea kutafuta data ,tunajua hapa sio kijiwe cha kahawa tunafahamu kuwa hapa ni mahali pa fikra pevu ambapo yanapatika na majibu ya maswali yaliyoshindikana
      Sent from @non-smart phone.....bear with me

    16. #14
      Speaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 6,172
      Rep Power : 4560
      Likes Received
      1997
      Likes Given
      5029

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Quote By Mzee Wa Ban
      mkuu kama hujui kirefu cha mods ni-PM
      hahaha,hivi kumbe alikua ana maanisha mods duh,modem
      Mjinga mpe cheo...

    17. #15
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,920
      Rep Power : 3095
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      5654

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      This is funny

    18. #16
      Buruburu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 1,229
      Rep Power : 1012
      Likes Received
      56
      Likes Given
      113

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      MODs are you serious! Is Slaa a president of TZ? The insanity entered here. For your information, the Loser Dr. SLAA will never be a president of Tanzania.

    19. #17
      Shagiguku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Location : Mwanza, Tanzania
      Posts : 339
      Rep Power : 543
      Likes Received
      65
      Likes Given
      13

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Je, unauhakika na unayoyasema..??

      Je, ukiombwa ushahidi wa hayo uliyoyasema utautoa..??



    20. #18
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Quote By Speaker
      hahaha,hivi kumbe alikua ana maanisha mods duh,modem
      Nimeipenda, hahahaaaa.
      andry surlbaran likes this.

    21. #19
      Gsana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 2,227
      Rep Power : 888
      Likes Received
      215
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By Ketav Ashurit
      MODs are you serious! Is Slaa a president of TZ? The insanity entered here. For your information, the Loser Dr. SLAA will never be a president of Tanzania.
      u r so silly! Who said dr Slaa is president of Tanzania? Is not. But people name him president of TanzanIANS. Surely,really and true,he remains in souls of TanzaniANS as a presiding figure.

    22. #20
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,598
      Rep Power : 16768
      Likes Received
      2491
      Likes Given
      1855

      Default Re: Rais wa watanzania Dr Slaa ,ni habari za kweli kuwa kulikuwa na njama za kumuua

      Tunasubiri ushahidi wa hii taarifa.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Kumbe udini ndio ulitumika kumdhuru Lowassa kisiasa?
      By WATANABE in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 133
      Last Post: 29th May 2011, 22:38
    2. Replies: 6
      Last Post: 27th May 2011, 14:11
    3. Dakta mwakyembe anatafuta pepo chafu la kumdhuru
      By Divele Dikalame in forum JF Chit-Chat
      Replies: 18
      Last Post: 16th March 2011, 17:40
    4. Yanayoweza kumdhuru mtoto tumboni
      By Bikra in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 0
      Last Post: 2nd June 2009, 20:58

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...