Re: JF inahitaji memba awe kama mwanamume mwenye wake zaidi ya mmoja

By
The Prophet
why?
lazima sasa kuwa na ID zaid ya moja kwa sababu unaweza kula ban any time ikala kwako.
na kwanini ule ban mkuu...
ni wazi utakuwa umekiuka sheria za mchezo...
swali..je kuna mchezo usio na sheria?
shida hapa JF kuna watu ni lazima wachangie mada kwa kuwa wana fursa ya kufanya hivyo na si kwa sababu wanahitaji kuchangia....matokeo ni kuandika utumbo usio kifani...
...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.
Follow Us Here