Kweli Mbeya kuna upako Mwakasege katokea mbeya,Lusekelo mbeya,Bukuku mbeya,Ambwene mbeya,mwaitege mbeya,mwakyembe hukohuko,babu Ambilikile nae mbeya.Sasa sijui na Yesu nae atakaporudi atafikia Mbeya.
TAFAKARI!!! Representing to the fullest.
Kweli Mbeya kuna upako Mwakasege katokea mbeya,Lusekelo mbeya,Bukuku mbeya,Ambwene mbeya,mwaitege mbeya,mwakyembe hukohuko,babu Ambilikile nae mbeya.Sasa sijui na Yesu nae atakaporudi atafikia Mbeya.
TAFAKARI!!! Representing to the fullest.
MBEYA UNITY...... ukabila kwenye maofisi MBEYA (BIMA-NIC) NA NDIO WALIOUA SHIRIKA LA BIMA.....NA NGONYA WA SIMBA AKAMUWEKA MOSES MKANDAWILE GOLINI TUKAISHIA KUBAMIZWA MIBAO TU
BILA RUSHWA..HAKI HAIPATIKANI....TOA RUSHWA UPATE HAKI.....(?)
RUSHWA NA TANZANIA DAM-DAM.....!
TAASISI IPI RUSHWA KWAO MWIKO?
NASEMA KWA KUWA YAMENIKUTA......!
Wanawake wenye Maumbo - Mbeya
"The trouble ain't that there many fools, but the lightning ain't distributed right" Mark Twain
kuchuna ngozi MBEYA
kwendeni zenu huko
"HE WHO BUILD ON PEOPLE, BUILDS ON MAD" DON VITO CORLEONE AND " KEEP YOUR FRIEND CLOSE BUT YOUR ENEMY CLOSER"
Hongera wana Mbeya kwa kuwa na wahubiri wengi. Ila mbona imani za kichawi nazo zimeenea sana huko, inatia wasi wasi kama hawa wahibiri nao sio ndo wale wale. Na huyu Mzee wa upako, kama msanii vile!
The glass is neither half-full nor half-empty: it's twice as big as it needs to be!
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
BILA RUSHWA..HAKI HAIPATIKANI....TOA RUSHWA UPATE HAKI.....(?)
RUSHWA NA TANZANIA DAM-DAM.....!
TAASISI IPI RUSHWA KWAO MWIKO?
NASEMA KWA KUWA YAMENIKUTA......!
Nasikia Mbeya ndo mkoa unaoongoza kwa madhehebu kuna mwaka yalifika 250.
Alafu wimbo wa dini bila kuweka kinyaki yaani bado hawajaimba.
Naendelea kutafakari haya mambo ya mbeyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaa
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
Mbeya kama NIGERIA kwa makanisa.
Ausindileeee![]()
If u can't stand for something , u will fall for anything !
Na majina karibia yote yanaanzia na MWA!--- na kuendelea
If u can't stand for something , u will fall for anything !
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
Ukija maswala ya vivutio vya utalii kuna jiwe la ajabu lililodondoka toka mbinguni lipo mbeya wilayani mbozi eneo la ndolezi.
Huu ni ukabila full. Jamani tukiendeleza hili kuna hatali kubwa huko mbele. Utaanza ww kisha utarithisha na watoto wako, kitakachotokea baadae ni kuwa na jamii inayochukia jamii nyingine ndani ya nchi moja. Tafadhali tujadili kama thread ilivyonza na siyo kuanza na ukabila.
"Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako"
kweli kuna mambo mengi mazuri kwenye mkoa wa mbeya ila umesahaulika,hamna utalii wa maana..............
Follow Us Here