hili swali ni kwa wadada zaidi, me nywele zangu zimekatika sana hadi huruma, hasa mbele, nafikiria kunyoa nianze upya ila duh!!! nina kichwa kibaya , uzuri wangu utaharibika so nataka nikomae nazo, naomba mnishauri cjui nipake dawa gani , mafuta gani nitumie au nisuke nini ili zirudi
Pole sana Niwaely....Nywele kukatika kuna sababu nyingi....matunzo duni,kutumia kemikali sana,stress,upungufu wa vitamini na madini fulani ya kurutubisha nywele na haya ma weaving,wig kila kukicha kiasi kwamba hata hewa hazipati na mwanga wa jua,au pengine ujauzito au menopause....na pia magonjwa.....ushauri wangu,jaribu kwanza kujua chanzo cha kukatika nywele ni nini?? kubadili mafuta?usafi duni,stress au? ukishajua,waweza shaurika....
Kuhusu kunyoa...might be a good solution kama wewe ni mtumiaji wa kemikali na msuka ma weaving sana au una magonjwa ya ngozi...kichwa kibaya si chako bana? ukiwa unatafuta suluhisho la tatizo lako usiangalie watasemaje....watakaosema hawapati adha unayopata.....so nyoa kama unaweza.......be proud of yourself hata kama una milima na mabonde hakuna atakayekusaidia kujikubali na kujipenda ni wajibu wako vyovyote vile ulivyo......!!!!
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
niwaely pole sana,,,ila michelle amekueleza vema,,naweka tu msisitizo kny kujikubali,umesema ukinyoa uzuri wako utaharibika!sitaki kuamini kuwa ulipokuwa na nywele fupi ulikuwa mbaya!na huo ubaya ukoje cjui pia,,,kifupi ni kuwa jikubali na jiamini either kwa kuwa na nywele fupi au ndefu bado ww ni mzuri,,,kwa tatizo ulilo nalo kama umeweka relaxer acha iishe kny nywele then punguza nywele zako kwa level ambayo utaona zimelingana,,,ukipenda waweza kuwa unasuka zaidi na uwe selective kny steaming,hair fertilizer,conditioner na shampoo kulingana na nature ya nywele zako.gud cheer
niwaely pole sana,,,ila michelle amekueleza vema,,naweka tu msisitizo kny kujikubali,umesema ukinyoa uzuri wako utaharibika!sitaki kuamini kuwa ulipokuwa na nywele fupi ulikuwa mbaya!na huo ubaya ukoje cjui pia,,,kifupi ni kuwa jikubali na jiamini either kwa kuwa na nywele fupi au ndefu bado ww ni mzuri,,,kwa tatizo ulilo nalo kama umeweka relaxer acha iishe kny nywele then punguza nywele zako kwa level ambayo utaona zimelingana,,,ukipenda waweza kuwa unasuka zaidi na uwe selective kny steaming,hair fertilizer,conditioner na shampoo kulingana na nature ya nywele zako.gud cheer
asante kwa msisitizo wifi mpendwa....natumai hujambo...kaka yako hajambo?kanichunia!
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
Pole sana Niwaely....Nywele kukatika kuna sababu nyingi....matunzo duni,kutumia kemikali sana,stress,upungufu wa vitamini na madini fulani ya kurutubisha nywele na haya ma weaving,wig kila kukicha kiasi kwamba hata hewa hazipati na mwanga wa jua,au pengine ujauzito au menopause....na pia magonjwa.....ushauri wangu,jaribu kwanza kujua chanzo cha kukatika nywele ni nini?? kubadili mafuta?usafi duni,stress au? ukishajua,waweza shaurika....
Kuhusu kunyoa...might be a good solution kama wewe ni mtumiaji wa kemikali na msuka ma weaving sana au una magonjwa ya ngozi...kichwa kibaya si chako bana? ukiwa unatafuta suluhisho la tatizo lako usiangalie watasemaje....watakaosema hawapati adha unayopata.....so nyoa kama unaweza.......be proud of yourself hata kama una milima na mabonde hakuna atakayekusaidia kujikubali na kujipenda ni wajibu wako vyovyote vile ulivyo......!!!!
nywele zilianzia kukatika nilivyosuka kimasai, baada ya hapo hazijaendelea tena , nikisuka yeboyebo zinawahi kufumuka coz za mbele hazipo, na njia 3 nazo zinazidi kunikata nywele, na hapa kichwani nina weavinga na kwa sasa ndio nayasuka sana coz zinafunika pale palipokatika, kuusu kunyoa dada angu hapana
niwaely pole sana,,,ila michelle amekueleza vema,,naweka tu msisitizo kny kujikubali,umesema ukinyoa uzuri wako utaharibika!sitaki kuamini kuwa ulipokuwa na nywele fupi ulikuwa mbaya!na huo ubaya ukoje cjui pia,,,kifupi ni kuwa jikubali na jiamini either kwa kuwa na nywele fupi au ndefu bado ww ni mzuri,,,kwa tatizo ulilo nalo kama umeweka relaxer acha iishe kny nywele then punguza nywele zako kwa level ambayo utaona zimelingana,,,ukipenda waweza kuwa unasuka zaidi na uwe selective kny steaming,hair fertilizer,conditioner na shampoo kulingana na nature ya nywele zako.gud cheer
nataka nijitahidi hapa zaidi , inshort me kichwa changu kina kisogo so hata nilivyokuwa cna nywele enzi zile nilikuwa cjipendi
nywele zilianzia kukatika nilivyosuka kimasai, baada ya hapo hazijaendelea tena , nikisuka yeboyebo zinawahi kufumuka coz za mbele hazipo, na njia 3 nazo zinazidi kunikata nywele, na hapa kichwani nina weavinga na kwa sasa ndio nayasuka sana coz zinafunika pale palipokatika, kuusu kunyoa dada angu hapana
kama ulishaamua hapana usingeweka kwenye post yako.....uamuzi ni wako kwa kuwa pia kichwa ni chako sisi tunakushauri hatukuambii fanya hivi!!
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
nywele zilianzia kukatika nilivyosuka kimasai, baada ya hapo hazijaendelea tena , nikisuka yeboyebo zinawahi kufumuka coz za mbele hazipo, na njia 3 nazo zinazidi kunikata nywele, na hapa kichwani nina weavinga na kwa sasa ndio nayasuka sana coz zinafunika pale palipokatika, kuusu kunyoa dada angu hapana
By niwaellyester1
b shoct nahic kufunga vitambaa cpendezi, nikinyoa labda nivae wigi, ila nitalipata wapi wigi zuri? affordable
ukishaamua kunyoa au kusuka au kufunga vitambaa utasaidika kirahisi sana....make up your mind first!
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
asante kwa msisitizo wifi mpendwa....natumai hujambo...kaka yako hajambo?kanichunia!
wifi yangu bana!kaka kakuchunia maana unarukaruka mno ila haachi kukupenda maana ndo kafika hivyo!mie mzima kaa mkao wa wk end,,,,,,hebu assume ikatokea hakuna mawig,weaving,relaxer,au hata rasta za kusuka kitatokea nini kwa wanawake?
nyoa afu tafuta mawigi yako mawili mazuri uwe unavaa,zikianza kukua suka za mkono huku unaendelea kuvaa wigi,kama unaogopa kunyoa na kuacha kichwa wazi.
Pole sana mpendwa kwa lililokusibu wengi hukutwa na hali kama yako pindi wanaposuka mtindo huo wa kimasai,ila kwasababu umesema hutaki kunyoa japo kuna mitindo mbalimbali ya kunyoa ambayo ungependeza sana ,na hata kama ukinyoa basi unaweza kuvaa wigi kama ulivyopendekeza mwenyewe,kama hutaki kufunga lemba, sijajua upo mkoa gani lakini unapoishi unaweza kupata weaving la gharama utakayomudu endapo utapita kwenye maduka ya urembo/vipodozi.
Na pia unaweza kutumia vitu vya asili kama parachichi,,samli kama steaming pia.
Kingine kuna shampoo nyingi ambazo zinatumika kwenye saloon zipo chini ya viwango na huchangia pia kuharibika kwa nywele hivyo uwe makini na hilo.
Uzuri unao ila tayari umeshajitia kasoro mwenyewe kuwa una kichogo,kichogo si kasoro bali ni jinsi Mungu alivyokuumba
wifi yangu bana!kaka kakuchunia maana unarukaruka mno ila haachi kukupenda maana ndo kafika hivyo!mie mzima kaa mkao wa wk end,,,,,,hebu assume ikatokea hakuna mawig,weaving,relaxer,au hata rasta za kusuka kitatokea nini kwa wanawake?
wifi mbona sasa hivi nimetulia....au wataka kuniambia hujaona nilivyokuwa mpole?.....nimekaa ki wikiendi tayari.....mimi hayo mavitu kwa nadra sana...labda nina event inayonilazimu......kusema ukweli wifi visingekuwepo ningefurahi,manake watu tunatumia hela nyingi sana kwenye hayo mambo na kuumia pia.....life would have been better!!!
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
wifi mbona sasa hivi nimetulia....au wataka kuniambia hujaona nilivyokuwa mpole?.....nimekaa ki wikiendi tayari.....mimi hayo mavitu kwa nadra sana...labda nina event inayonilazimu......kusema ukweli wifi visingekuwepo ningefurahi,manake watu tunatumia hela nyingi sana kwenye hayo mambo na kuumia pia.....life would have been better!!!
hahaha!nimeona mpenzi nilitaka tu nikupime unajiamini kiasi gani,,ama kweli kaka kapata,,sa kumi na moja basi tuchekiane kaka atakuwa amerudi kutoka loli......msisitizo,,,,leo nitapenda uje umenyoa nasema kwa niaba ya kaka,,,lol
hahaha!nimeona mpenzi nilitaka tu nikupime unajihamini kiasi gani,,ama kweli kaka kapata,,sa kumi na moja basi tuchekiane kaka atakuwa amerudi kutoka loli......
hakuniaga anaenda huko?ana tatizo gani tena wifi? nafurahi umeona juhudi zangu....ndo maana nakupenda!!
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
Follow Us Here