Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 94
    1. #1
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Tangu nikiwa na umri wa miaka 25 nilitamani kuwa na mwenza lakini kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata ambaye naona tunaweza kuanzisha familia pamoja. Naomba nieleweke kuwa I'm not so selective au sio kila mwanamke hafai au sio mwaminifu katika mahusiano ila mimi kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata wa ubavu wangu, kwani kila nimpataye tunakosa chemistry kabisa huku naona uzee unazidi kupiga hodi. Wakati nasubiri kujaaliwa kupata mchumba nimeamua kutafuta mwanamke nitakayepata nae mtoto tu (kuzaa naye) ili kwa pamoja tuwe na mtoto wetu.

      Nina umri wa miaka 32, urefu 180cm na uzito 84kg. Mweusi, nimeajiriwa, kipato cha wastani, nina umbo la wastani na dini yangu ni mkristu. Ninajiheshimu na kuheshimu wengine na tabia ni ya kuridhisha. Ninaishi Arusha maeneo ya Makao mapya. Mwanamke awe mwenye tabia njema ili mtoto aweze kujifunza mazuri kutoka kwa wazazi. Umri wake usiwe zaidi ya miaka 45. Awe anajishughulisha ili asiwe tegemezi kwa asilimia 100 kwani gharama za matunzo ya mtoto tutasaidiana kwa kadiri ya uwezo na tutakavyokubaliana. Awe tayari tukapime afya zetu kabla ya kuanza mchakato pia kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa. Sibagui dini, rangi, elimu, umbile wala kabila.

      Kwa mwanamke mwenye hitaji kama langu ambaye yupo serious aniandikie email [email protected]

      You are warmly welcome.

    2. Miaka 50

    3. #2
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      mhh kazi imeanza

    4. #3
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By shosti
      mhh kazi imeanza
      hujakidhi viwango?
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    5. #4
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8703
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2691

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      wow,kwa nini usizidishe bidii ya kutafuta huo ubavu wako unataka wa kuzaa nae tu??kama ni ngumu kupata mke,unafikiri itakuwa rahisi kupata wa kuzaa nae tu??? something might be wrong with your attitude......tueleze zaidi,yaani uko tayari kuzaa na mtu usiyekuwa na chemistry nae,strange!!! anyway,just thinking loud....Kila la kheri Jamesh!!
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    6. #5
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,188
      Rep Power : 24905
      Likes Received
      4179
      Likes Given
      603

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Hivi katika mazingira tunayoishi kumbe huwa ni ngumu kupata wachumba.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.



      UTAWEZA?
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    9. #7
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,801
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      853
      Likes Given
      250

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Jamesh
      Tangu nikiwa na umri wa miaka 25 nilitamani kuwa na mwenza lakini kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata ambaye naona tunaweza kuanzisha familia pamoja. Naomba nieleweke kuwa I'm not so selective au sio kila mwanamke hafai au sio mwaminifu katika mahusiano ila mimi kwa bahati mbaya sijajaliwa kumpata wa ubavu wangu, kwani kila nimpataye tunakosa chemistry kabisa huku naona uzee unazidi kupiga hodi. Wakati nasubiri kujaaliwa kupata mchumba nimeamua kutafuta mwanamke nitakayepata nae mtoto tu (kuzaa naye) ili kwa pamoja tuwe na mtoto wetu.

      Nina umri wa miaka 32, urefu 180cm na uzito 84kg. Mweusi, nimeajiriwa, kipato cha wastani, nina umbo la wastani na dini yangu ni mkristu. Ninajiheshimu na kuheshimu wengine na tabia ni ya kuridhisha. Ninaishi Arusha maeneo ya Makao mapya. Mwanamke awe mwenye tabia njema ili mtoto aweze kujifunza mazuri kutoka kwa wazazi. Umri wake usiwe zaidi ya miaka 45. Awe anajishughulisha ili asiwe tegemezi kwa asilimia 100 kwani gharama za matunzo ya mtoto tutasaidiana kwa kadiri ya uwezo na tutakavyokubaliana. Awe tayari tukapime afya zetu kabla ya kuanza mchakato pia kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa. Sibagui dini, rangi, elimu, umbile wala kabila.

      Kwa mwanamke mwenye hitaji kama langu ambaye yupo serious aniandikie email [email protected]

      You are warmly welcome.

      Hizo bold za red especial za chini zimenichekesha sana anyway nakutakia kila la kheri maana single ladies watakuwa wana note books zao wanaandka details tayari kwa kufanya upembuzi yakinifu.....
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    10. #8
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By hashycool
      hujakidhi viwango?
      hahaahhahah ndio najaribu hapa kama ataweza kunitumia huku kijijini niliko...

    11. #9
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By hashycool


      UTAWEZA?
      Nitajitahidi mkuu.

    12. #10
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Michelle
      wow,kwa nini usizidishe bidii ya kutafuta huo ubavu wako unataka wa kuzaa nae tu??kama ni ngumu kupata mke,unafikiri itakuwa rahisi kupata wa kuzaa nae tu??? something might be wrong with your attitude......tueleze zaidi,yaani uko tayari kuzaa na mtu usiyekuwa na chemistry nae,strange!!! anyway,just thinking loud....Kila la kheri Jamesh!!
      Asante bibie,

      Nimeamua nijaribu kwa hitaji hili labda nitabahatika. Hapo hapahitaji chemistry kwani hakuna mapenzi ya moyoni. Mapenzi yanakuwa kwa mtoto tu labda baadaye itokee kuwa mmekuwa na chemistry na kupendana kwa dhati.

    13. #11
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By shosti
      hahaahhahah ndio najaribu hapa kama ataweza kunitumia huku kijijini niliko...
      kutuma nini hiyo?

    14. #12
      Lasikoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2010
      Posts : 618
      Rep Power : 2699
      Likes Received
      98
      Likes Given
      39

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      kaah! Wewe kweli mkristo? Unafahamu maana ya kuwa au kujiita mkristo? Tafadhali piga magoti, umuombe mungu akupe mke halafu umuombe akupathe watoto

    15. #13
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Husninyo
      Hivi katika mazingira tunayoishi kumbe huwa ni ngumu kupata wachumba.
      Kila mtu na bahati yake. Kama hujajaaliwa unaweza kushtukia miaka hamsini hiyo na bado unategemea utampata tu.

    16. #14
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By lasikoki
      kaah! Wewe kweli mkristo? Unafahamu maana ya kuwa au kujiita mkristo? Tafadhali piga magoti, umuombe (M)mungu akupe mke halafu umuombe akupathe watoto
      Ndio nafahamu na bado napiga goti kumuomba. Maombi kwa Mungu yanaweza yakajibiwa haraka sana au baada ya milongo kadhaa kwa hiyo bado sijakata tamaa kwa hilo.

    17. #15
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8703
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2691

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Jamesh
      Asante bibie,

      Nimeamua nijaribu kwa hitaji hili labda nitabahatika. Hapo hapahitaji chemistry kwani hakuna mapenzi ya moyoni. Mapenzi yanakuwa kwa mtoto tu labda baadaye itokee kuwa mmekuwa na chemistry na kupendana kwa dhati.
      mimi najiamini tutakuwa na chemistry na tutakuwa na watoto na tutawapenda sana.....ila nataka uondoe kwanza hiyo attitude ya kuwa umekosa mwenye chemistry na wewe na sasa wataka kuwa tu na mtoto,nafikiri una tatizo hilo.....!!!
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    18. #16
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Jamesh
      kutuma nini hiyo?
      kunitumia hizo mbegu au unataka kwa njia ipi!

    19. #17
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8703
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2691

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By shosti
      kunitumia hizo mbegu au unataka kwa njia ipi!
      shosti my dear,salama???
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    20. #18
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Michelle
      shosti my dear,salama???
      salama mpenzi wangu,naona unawarusha tu...

    21. #19
      Jamesh's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 31
      Rep Power : 560
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By shosti
      kunitumia hizo mbegu au unataka kwa njia ipi!
      ahaaa! njia zozote zile bora mtoto apatikane.

    22. #20
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

      Quote By Jamesh
      ahaaa! njia zozote zile bora mtoto apatikane.
      hapo tuko sawa,ngoja nikupm maana nami nna shida kama yako...

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Natafuta mwanamke wa kuzaa nae!
      By Primitive in forum Love Connect
      Replies: 22
      Last Post: 8th November 2011, 14:47
    2. Mwanamke wa kuzaa naye
      By Kaitaba in forum Love Connect
      Replies: 27
      Last Post: 7th October 2011, 23:50
    3. natafuta mwanamke wa kuzaa nae
      By serious1 in forum Love Connect
      Replies: 17
      Last Post: 12th September 2011, 08:54
    4. Je mwanamke mwenye umri zaidi ya miaka hamsini anaweza kuolewa na kuzaa
      By Namdawa in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 11
      Last Post: 21st December 2010, 13:15
    5. Nahitaji mwanamke wa kuzaa naye
      By mwanalumango in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 28
      Last Post: 15th December 2010, 18:05

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...