Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Kimbori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 1,179
      Rep Power : 600
      Likes Received
      157
      Likes Given
      11

      Default Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

      Heshima zenu wote.
      Niliwahi kusikia ya kwamba ndugu zangu Wakristo - Wasabato (samahani kwa kutaja dini, lakini kwa nia njema kabisa) huwa wanafundishwa mbinu za mapishi ikiwamo kuandaa vyakula kwa njia ya kiasili.
      Mimi naomba ,kutoka kwa yeyote anayejua,maelezo juu ya mbinu za kutengeneza majani chai kutokana na majani ya mlimao. Naamini wengi wenu mnaweza, naomba kuwakilisha.

    2. Study Abroad

    3. #2
      kiokote3's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 393
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

      Unayachuma na kuyaosha then unachemsha na maji na sukari, kama nakumbuka vizur enz zile at ma grany kule kijijini

    4. #3
      Rubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2009
      Posts : 1,237
      Rep Power : 736
      Likes Received
      154
      Likes Given
      132

      Default Re: Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

      Hata mimi nasubiri zaidi jinsi ya kutengeneza hayop majani. tuepukane na haya ya viwandani.

      Mwenye kujua zaidi plz
      Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee.

    5. #4
      Kimbori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 1,179
      Rep Power : 600
      Likes Received
      157
      Likes Given
      11

      Default Re: Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

      Niliwahi kusikia ya kwamba kuna utaalamu wa kuyaandaa ili yadumu muda mrefu.
      Wadau tunaomba ufafanuzi wenu! Elimu ya kuboresha vyakula asilia ni muhimu sana.

    6. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...