Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwanafunzi afia majini

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,887
      Rep Power : 19450
      Likes Received
      8655
      Likes Given
      28290

      Angry Mwanafunzi afia majini

      Click image for larger version. 

Name:	1.jpg 
Views:	90 
Size:	146.3 KB 
ID:	14263
      Mwanafunzi wa Darasa la sita katika Shule ya Msingi Manzese, jijini Dar es alaam, Ally Omary leo mchana aliopolewa na wasamaria baada ya kuzama kwenye bwawa la maji lenye kina kirefu lililopo karibu na viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilichopo Mlimani. Katika zoezi hilo Kikosi cha Uokoaji cha Zimamoto cha Halmashauri ya Jiji kilijaribu kuutafuta mwili wa mtoto huyo bila mafanikio mpaka walipotokea wasamaria wanaojua kuogelea na kuamua kupiga mbizi kuutafuta mwili huo.

      Click image for larger version. 

Name:	2.jpg 
Views:	56 
Size:	204.6 KB 
ID:	14262
      Umati ukitafakari jinsi ya kuusaka mwili wa mwanafunzi huyo.

      Kikosi cha uokoaji kikingia kazini.

      [Click image for larger version. 

Name:	4.jpg 
Views:	56 
Size:	179.3 KB 
ID:	14264
      Waokoaji wa kikosi cha Halimashauri ya Jiji wakitumia miti kuusaka mwili wa marehemu lakini waliambulia patupu na kunusurika kupigwa na wananchi wenye hasira.

      Click image for larger version. 

Name:	5.jpg 
Views:	44 
Size:	142.3 KB 
ID:	14265
      Ulinzi uliimarishwa eneo la tukio kuwadhibiti wananchi wenye hasira waliotaka kutoa kipigo kwa waokoaji hao baada ya kuwaona huduma zao si lolote.

      Click image for larger version. 

Name:	6.jpg 
Views:	59 
Size:	121.7 KB 
ID:	14266
      Wakati zoezi la utafutaji mwili likiendelea ulionekana mwili wa kukualiyechinjwa ukielea kwenye bwawa hilo.



      Click image for larger version. 

Name:	7.jpg 
Views:	49 
Size:	150.9 KB 
ID:	14267
      Mwili ukiendelea kutafutwa.

      Baada ya kuonekana huduma za waokoaji hao ni za ubabaishaji wasamaria hawa walijitosa kwenye bwawa hilo na kufanikiwa kuupoa mwili wa marehemu.

      Click image for larger version. 

Name:	9.jpg 
Views:	55 
Size:	159.8 KB 
ID:	14268
      Mmoja kati ya wasamaria waliojitolea kuusaka mwili huo akiwa kazini.
      Click image for larger version. 

Name:	1.jpg 
Views:	90 
Size:	146.3 KB 
ID:	14263
      Wasamaria wakiwa na mwili wa marehemu baada ya kuupoa Kikosi cha Halmashauri kilipochemka.

      Click image for larger version. 

Name:	11.jpg 
Views:	70 
Size:	127.3 KB 
ID:	14269
      Mwili wa Marehemu.

      Click image for larger version. 

Name:	12.jpg 
Views:	53 
Size:	119.7 KB 
ID:	14270
      Kikosi cha Halmashauri ya kikiondoka eneo la tukio.

      Chanzo: MWANAFUNZI AFIA MAJINI - Global Publishers

      hivi ni kweli hicho Kikosi cha Zima moto kinafanya kazi yake barabara? Wameshindwa kumtowa Mtoto marehemu ndani ya Dimbwi la maji? Ehhhh ndugu zanguni hatuna Serikali jamani tuna Utawala wa nguvu jamani. Poleni ndugu jamaa wa Marehemu mfiwa Mwenyeezi Mungu amuweke pema peponi Marehemu ameen.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]


    2. #2
      Ambassador's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Posts : 884
      Rep Power : 740
      Likes Received
      28
      Likes Given
      70

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      Jamani, mtoto MMOJA tu kadondoka kwenye BWAWA kikosi cha uokoaji kinashindwa kumtoa, vipi ikitokea so kubwa? (Mungu apishe mbali). Niliwacheki jana wanamkacha mtangazaji asiwahoji, wakati anawauliza zoezi limeendaje wanasema limeenda vizuri! Shame on them!!
      Watcha gonna do when they come for you?

    3. #3
      Mdondoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 4,731
      Rep Power : 1490
      Likes Received
      808
      Likes Given
      343

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      Pumbavu kabisa halafu kodi zetu zinawaendea kwakweli hili linchi letu mwe saa zengine unaweza kumzaba mtu vibao kabisa!!!

    4. #4
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,714
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default

      Quote By mdondoaji View Post
      pumbavu kabisa halafu kodi zetu zinawaendea kwakweli hili linchi letu mwe saa zengine unaweza kumzaba mtu vibao kabisa!!!
      inasikitisha sana. Mpka lini hali hii itaendelea nchini petu?!.kwa nn mamlaka zinazofanya uzembe kma huu wa kushindwa kuzingatia sheria za afya na usalama wa watu (health & safety) haziwajibishwi?. Tumepoteza wenzetu wengi kwa uzembe wa hata wa kushindwa kuweka onyo,kuweka mlinzi wa kuchunga sehemu za madhala kma hizi nk...

    5. #5
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,913
      Rep Power : 22570
      Likes Received
      6526
      Likes Given
      2933

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      pOLE sana dogo, pole sana wafiwa!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]


    6. #6
      upele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2010
      Posts : 367
      Rep Power : 538
      Likes Received
      31
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      KWANI HAPO WEYE KAZI YAO WANAOGOPA MAJI MPAKA WANATUMIA HIYO MITI,NAONA HAO WATALAMU WAO WANATOKA KWEYE MAWE,
      kAZI IPO WANA JF KAMA MASAADA HAUWEZEKANI BASI SIO KUTUZINGUA
      cONQUEST-HAKUNA MSAADA MPAKA TUKALIE KITI KAMA KUFA KUFENI SIE NI UCHAGUZI TUU,TUPO KIUCHAGUZI TUU.

    7. #7
      kisoti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 74
      Rep Power : 514
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      Sidhani kama wanayafahamu vizuri majukumu yao. Kama wanayafahamu basi they are incompetent

    8. #8
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,052
      Rep Power : 3723
      Likes Received
      3621
      Likes Given
      5885

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      Inasikitisha sana
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    9. #9
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,486
      Rep Power : 24256
      Likes Received
      5127
      Likes Given
      2740

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      Quote By Mdondoaji View Post
      Pumbavu kabisa halafu kodi zetu zinawaendea kwakweli hili linchi letu mwe saa zengine unaweza kumzaba mtu vibao kabisa!!!
      Na lile sakata la stika zao umelisahau?

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    10. #10
      Dreamliner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2010
      Location : Kijijini
      Posts : 1,975
      Rep Power : 874
      Likes Received
      169
      Likes Given
      168

      Default Re: Mwanafunzi afia majini

      Poleni sana wafiwa.. Hao Zimamoto walikuja uza sura.
      T0 test the SWEETNESS of life, you must have the power to forget the past.

    Similar Topics

    1. Mtu mmoja afia ndani ya basi la 'Mombasa raha'
      By Slave in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 27
      Last Post: 17th December 2011, 16:19
    2. Replies: 25
      Last Post: 13th July 2011, 08:58
    3. Binti afia gesti,Kinondoni!!!
      By mchajikobe in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 177
      Last Post: 3rd March 2011, 16:51
    4. Mama afia lodge na mme wa mtu
      By Fidel80 in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 92
      Last Post: 16th December 2010, 12:44
    5. Mtu afia guest house- manzese
      By Mahesabu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 24th August 2008, 17:09

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...