Ndugu yangu, ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania
Hayo ndio matokeo ya kazi nzuri anayojivunia JK. Unafika mahali unawashangaa sana watu wanafiki wanaojifanya hawazioni shida hizi, na bila aibu wanaisifia na kuitukuza CCM. Nakereka sana na watu wa aina hii.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Natamani ningekuwa na uwezo kutengeneza posters zenye maandishi " Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania".
Kukusanya picha za maisha bora haya na kuzipachika sambamba na zile za Waheshimiwa na Mahekalu/mashangingi yao.
Chini unaandika
1.Vote CCM- Vote JK- kuyaendeleza au
2.Vote Chadema Vote Dr. Slaa- kuyabadilisha.
Posters hizo kuzibandika kila mahali, watu wezeze ku- compare & contrast
Wafanye uamuzi sahihi October 31.
Na bado wahaahidi watajenga Barabara za lami kuzunguka mlima kilimanjaro. Bajaji 400 Mbeya. SUBILI TUJICHANGANYE TUWAPE KURA, MWENDO MDUDO KWENYE BEMBEA NA MKEWE.
SHIDA KUBWA NI HAYA YANAYOJADILIWA HUMU KUISHAI HUMU HUMU NA HIZI PICHA NI FACTS AND FIGURES KUTHIHIRISHA KINACHOSEMWA NA HALI HALISI YA WATANZANIA WALIOWENGI.
BAYA ZAIDI NI HAO KWENYE HIZO MACHELA NA TOLOLI WAKITOKA HAPO WANAIMBA WAO NAMBALI ONE DAMU. HURUMA INAISHA HAPO HAPO.
Inasikitisha sana, sijui kama haya yataisha.
selikali haina hata aibu, imefika kipindi naichukia kabisa, nikiona hata sura ya JK tu kwenye luninga, natamani kuzima tv
Vita na chuki za kidini, hazinaga mshindi, washindwa huwa pande zote mbili! na viongozi wa chuki hizo huwa hawaishi sana, Mungu anawalaani mapemaaaa!
Wataletewa Bajaj 400 wakichagua CCM wataletewa Landcruser Mkonge wakichagua CHADEMA
Punguzeni jazba jamani na muitumie kura yenu kwa umakini siku ya kupiga kura,ila shingangai unaweza kukuta hawa hawa watanzania kwenye picha ndio watakuwa wa kwanza kusahau yaliyowakuta na kufanya makosa.
Hiyo picha ya mwisho huyo mama mbona kama hana nguo?.....ni mgonjwa au mgoni maana hilo kundi lote la nini sasa?....samahani lakini
Zogolo Dangu Dawika Miye!
Ccm, jk,na wale wote walioko madarakani, can you explain what "maisha bora kwa kila mtanzania means to these people"
its a shame
TANZANIA ITAKOMBOLEWA MIKONONI MWA MAFISADI NA WATANZANIA WENYE UCHUNGU NA NCHI HII
Tetesi zinaonesha kuwa hata tukipiga kura kuleta mabadiliko hakutakuwa na mshindi atakayetangazwa mbali na Jk. Sababu ni kuwa kuna wizi mkubwa umeandaliwa na CCM so inabidi tulinde kura zetu maana kuna uwezekano wa kushinda uchaguzi wa Urais na akatangazwa mwingine.
TANZANIA ITAKOMBOLEWA MIKONONI MWA MAFISADI NA WATANZANIA WENYE UCHUNGU NA NCHI HII
oooh my god inasikitisha sana kuona maisha ya wenzetu bado yako katika hali hii pasipokuwepo na tumaini lolote mbeleni.
No one is in charge of your happiness except you...
God time is the best..
Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma
hii ni miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru chini ya serikali ya sisiem.
halafu anaahidi vitu kibao ndani ya miaka mitano wkt miaka mitano iliopita hata pantoni hakununua..!
VOTE CHADEMA..!
POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER
Mambo poa, hakuna matata, shwari, Bongo tambarare ndio hivi muonavyo
Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.
Aiseee
Tanzani hiii hiii ya sisi sisi hii?
" If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
[email protected]
Mshijari zinakuja Bajaj 400 Muungwana ameahidi
Follow Us Here