Mheshimiwa Kikwete akiwa mkutanoni Kampala - Uganda, mambo mengi kichwani, maana uongozi si lele mama. Mambo kuyaacha yaende yenyewe ni vigumu.
Mheshimiwa Kikwete akiwa mkutanoni Kampala - Uganda, mambo mengi kichwani, maana uongozi si lele mama. Mambo kuyaacha yaende yenyewe ni vigumu.
Kalonzo anamuwakilisha mzee Kibaki kila sehemu, mzee wetu apewe muwakilishi anachoka sana na hizi safari.
Success Requires No Explanations, Failure Permits No Alibis- Napoleon Hill
Tatizo lake mbishi sana halafu bora angekuwa anajua kiinfereza huko kwenye mikutano..aghhh
Ni hatari sana kwa afya yako kushabikia siasa za Tanzania....
Ukiwa huna tishio la usalama nyumbani kwako kuna taizo gani? IGP polisi shemejio, mkuu wa majeshi mshikaji wako shuleni. Iliyobaki ni wewe kula bata tuuuuuuuuuuuu!!
'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama
Hapo namuona kama ameuchapa hivi au anatafakari??
Follow Us Here